David Kafulila: Nchi imewekwa mfukoni na singasinga mmoja

David Kafulila: Nchi imewekwa mfukoni na singasinga mmoja

Mama anawabana watu wakitaka kutililika point, serikali makini ijayo, naye atatakiwa kutwambia kwanini alikuwa akitumika?.
Mtabaki kuwa wasindikizaji miaka laki nane! Nyie tatizo lenu ni wachumia matumbo
 
Mama anawabana watu wakitaka kutililika point, serikali makini ijayo, naye atatakiwa kutwambia kwanini alikuwa akitumika?.

Juzi tu CAG kawataiti kuhusu ufisadi wa Ruzuku mkaanza kuzima,hakuna hata mmoja aliyeinuka baadye eti mkaitisha Press kukataa hamjakwiba Ruzuku nyie, mmejaa uongo na unafiki!Hao wabunge wenu kwenye kuongeza posho humsikii hata mmoja hata Mch.Msigwa unamkuta yuko kimya kisa jambo la kitaifa tumbo teh teh teh teh njaa mbaya sana!
 
unasikia mrembo...kwanza mimi sina boss upo? Huyo singasinga unaemtetemekea kwangu ---- tu,ila kwenye unampa heshima coz anawapiga KY ili muishi mjini vizuri tunajua mlipo olewa, So endela kumsifia mme wa baba yako ili msiadhike,Maana unafikiria kwa kutumia matako.....subir kidogo mama yako ananipia anataka nikamzibue mkundu we mtoto kakojoe ulale

Kalale hauko sawa wewe naona unalazimisha nipate ban nimekushtukia kunywaView attachment 257547afu ukalale.
 
Slaa alimwita SISIMIZI leo anamwita MZALENDO,siasa mbaya
au watu wabaya?
 
Kafulila wee yupo vizuri.....ila huyu jamaa cjackia jimboni kwake kafanya nin cha maana zaid ya domo.......(samahani lakini walioko jimboni kwake wanadai wamemweleza mengi ila mmmh yote kapuni...huyu jamaa ni kibaraka wa tajiri flani hivi huwa akienda bungeni anaenda other pipoz viewz sio za maslah ya wananchi
 
Kafulila wee yupo vizuri.....ila huyu jamaa cjackia jimboni kwake kafanya nin cha maana zaid ya domo.......(samahani lakini walioko jimboni kwake wanadai wamemweleza mengi ila mmmh yote kapuni...huyu jamaa ni kibaraka wa tajiri flani hivi huwa akienda bungeni anaenda other pipoz viewz sio za maslah ya wananchi

Remote controlled!
 
Akichangia jioni ya leo katika makadilio ya mapato na matumizi ya bajeti ya wizara ya maji, amesema tatizo ka serikali hii ya CCM ni serikali ambayo imewekwa mfukoni na singasinga mmoja.

"Mtu mmoja analipwa bilioni tano kwa mwezi, azalishe au asizalishe umeme wakati mradi wa maji jimboni kwangu unahitaji shilingi milioni mia nne, tukisema serikali hii ya CCM imewekwa mfukoni na singasinga mmoja mnakataa. "
Mtu anayesema serikali iko mfukoni wakati serikali hiyo hiyo ndiyo inamlipa, inamsomeshea ndugu zake, inampa uhuru wa kusema hayo, inaonekana dhahiri kuwa hajitambui na ameanza kufulia kama jina lake. Kama anataka kujua utamu wa usemi wake aulize kilichompata Mgiriki wakati wa Mwalimu.
 
Kafulila kafulia hata mnaomfuata mefulia kama yeye maana mtu mmoja alisema kuhani alivyo ndivyo watu wake walivyo

Huyo alikua anaendesha uvuvi haramu mto Malagarasi kabla ya kuwa mbunge ndo maana bado akili yake inachembechembe za baruti!afu alibeba sana magunia ya chumvi pale uvinza afu hela akawa anapeleka kwa michepuko!
 
Kafulila ni tumaini jipya bungeni na ni zaidi ya wabunge 100 wa ccm
 

Attachments

  • 1433539885973.jpg
    1433539885973.jpg
    27.4 KB · Views: 89
Back
Top Bottom