David Kafulila: Nchi imewekwa mfukoni na singasinga mmoja

David Kafulila: Nchi imewekwa mfukoni na singasinga mmoja

Una a vr low brain capacity.......Yaani umeacha kuwa shabiki wa chama umekuwa mpenzi wa chama. So ww ni halali ya akina mwiguluneti kufanywa vibaya. Don't quote me wrongly!

Hivi na wewe kwa akili zako unapumulia mfukoni kwa Singasinga?nikuulize sasa hivi uko wapi?uko mfukoni mwa huyo Singasinga?jibu acheni ujuha mnatukanwa afu mnakenua meno tu!!!
 
Hivi na wewe kwa akili zako unapumulia mfukoni kwa Singasinga?nikuulize sasa hivi uko wapi?uko mfukoni mwa huyo Singasinga?jibu acheni ujuha mnatukanwa afu mnakenua meno tu!!!

I said dont quote me wrong!!!!
 
Kafulila ashamaliza,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,ndo maana hajatolewa nje:A S check_03:mjadala :closed_2:
 
Hivi na wewe kwa akili zako unapumulia mfukoni kwa Singasinga?nikuulize sasa hivi uko wapi?uko mfukoni mwa huyo Singasinga?jibu acheni ujuha mnatukanwa afu mnakenua meno tu!!!

Bahati mbaya fasihi na tanzu zake huzijui. Pole sana.
 
Kama sikosei tena ameiweka mfuko wa nyuma.
 
Hawa jamaa wa magamba kazi yao kubwa ni kupiga dili tu, hivi mtu kama singasinga analipwa shilingi bilioni 5 kwa mwezi kama capacity charge, ikiwa na maana hata mwezi ambao singasinga huyo hawauzii TANESCO hata uniti 1, bado singasinga huyo mwisho wa mwezi anakinga bilioni 5 za chee!

Kweli nchi hii watawala wetu wameigeuza shamba la bibi na ndiyo maana makada wao kwa idadi kubwa kabisa, ambao wengine wao hawana hata uwezo wa kuongoza kata zao, lakini hivi sasa ndiyo wanapanga foleni ndefu kabisa pale Dodoma za kuchukua fomu za kutaka kupeperusha bendera ya chama chao kwa ajili ya nafasi ya Urais!
 
Hawa jamaa wa magamba kazi yao kubwa ni kupiga dili tu, hivi mtu kama singasinga analipwa shilingi bilioni 5 kwa mwezi kama capacity charge, ikiwa na maana hata mwezi ambao singasinga huyo hawauzii TANESCO hata uniti 1, bado singasinga huyo bado mwisho wa mwezi anakinga bilioni 5 za chee!

Kweli nchi hii watawala wetu wameigeuza shamba la bibi na ndiyo maana makada wao kwa idadi kubwa kabisa, ambao wengine wao hawana hata uwezo wa kuongoza kata zao, lakini hivi sasa ndiyo wanapanga foleni ndefu kabisa pale Dodoma za kuchukua fomu za kutaka kupeperusha bendera ya chama chao kwa ajili ya nafasi ya Urais!

Na wanatangaza nia
 
Dogo yuko vizuri na hata kama anatumika but he dares to speak what other can not. Mungu amlinde Kafulila
 
I said dont quote me wrong!!!!

Huo mfuko wake huyo Singasinga ana bonge la mfuko kakuingiza ndani wewe na mke wako nawatotomuwe na ufahamu nyie kama gewezekana ungeuzwa wewe kwa huyo Singasinga ukae kwenye mfuko wake daima!
 
nabii asiyekubalika mjengoni! tupo nyuma yako bro!

Nabii wa baari nani tangu lini akawa Nabii acha dharau! Na kama ni utabiri kakutabiria wewe uko mkofukoni, wewe na wenzako mnashangilia kwa huyo Singasinga?mtoa mada na huyo Kafulila ndo wametangulia kuingia kwenye huo mfuko sijui wanapumuaje humo ndani ya hicho kiroba!hiyo ni akili tu ya kawaida kama una ujumbe kwa watanzania sio lazima ujitoe ufahamu utaeleweka tu!
 
Escrow tushasahau. Yaani bongo tamu sana, we ukipata chance PT(piga tu)
 
Akichangia jioni ya leo katika makadilio ya mapato na matumizi ya bajeti ya wizara ya maji, amesema tatizo ka serikali hii ya CCM ni serikali ambayo imewekwa mfukoni na singasinga mmoja.

"Mtu mmoja analipwa bilioni tano kwa mwezi, azalishe au asizalishe umeme wakati mradi wa maji jimboni kwangu unahitaji shilingi milioni mia nne, tukisema serikali hii ya CCM imewekwa mfukoni na singasinga mmoja mnakataa. "

hata umseme vipi huyo singasinga hakupi hongo kama huna hela za kampeni kabidhi jimbo
 
Akichangia jioni ya leo katika makadilio ya mapato na matumizi ya bajeti ya wizara ya maji, amesema tatizo ka serikali hii ya CCM ni serikali ambayo imewekwa mfukoni na singasinga mmoja.

"Mtu mmoja analipwa bilioni tano kwa mwezi, azalishe au asizalishe umeme wakati mradi wa maji jimboni kwangu unahitaji shilingi milioni mia nne, tukisema serikali hii ya CCM imewekwa mfukoni na singasinga mmoja mnakataa. "

Huyu dogo inavyoonyesha anakoendea ni chuki binafsi na singasinga. Inaelekea alitaka fungu fulani akanyimwa. Yaani "Lazy people discus people, hard workers discuss issues".
 
Dogo yuko vizuri na hata kama anatumika but he dares to speak what other can not. Mungu amlinde Kafulila

KAFULIALA ni Yuda Eskariote anatumika tu wanaomtumia huwa wanakuwa nyuma yake wakiona kama vp wanamkimbia!!
 
Huo mfuko wake huyo Singasinga ana bonge la mfuko kakuingiza ndani wewe na mke wako nawatotomuwe na ufahamu nyie kama gewezekana ungeuzwa wewe kwa huyo Singasinga ukae kwenye mfuko wake daima!

Ulipojua kupofya keyboard ndo tabu ilipoanzia......sio lazima sote tuimbeee
 
Back
Top Bottom