David Kafulila: Nchi imewekwa mfukoni na singasinga mmoja

David Kafulila: Nchi imewekwa mfukoni na singasinga mmoja

[JFMP3][/JFMP3]
Teeeeh,teeeeh,teeeeh,teeee

Teh teh teh Mmawia image.jpg
 
Kafulila ni tumaini jipya bungeni na ni zaidi ya wabunge 100 wa ccm
Huyo kijana ni tumaini la familia yake na wala si Bunge labda kama unamaanisha bunge la nyumbani kwake ambalo yeye ni spika mke wake mbeba siwa
 
Huo mfuko wake huyo Singasinga ana bonge la mfuko kakuingiza ndani wewe na mke wako nawatotomuwe na ufahamu nyie kama gewezekana ungeuzwa wewe kwa huyo Singasinga ukae kwenye mfuko wake daima!

haaa!! kumbe TZ ina zamwamwa wengi tu ka wewe.
 
Akichangia jioni ya leo katika makadilio ya mapato na matumizi ya bajeti ya wizara ya maji, amesema tatizo ka serikali hii ya CCM ni serikali ambayo imewekwa mfukoni na singasinga mmoja.

"Mtu mmoja analipwa bilioni tano kwa mwezi, azalishe au asizalishe umeme wakati mradi wa maji jimboni kwangu unahitaji shilingi milioni mia nne, tukisema serikali hii ya CCM imewekwa mfukoni na singasinga mmoja mnakataa. "

Ewe punguani, huyo mtu anazalisha umeme wa majimbo mangapi kama ya kwako?

Wewe umeshindwa nini kuzalisha huo umeme ukawapa jimboni kwako? au hauna mayai?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Kafulila ataendelea kutumikishwa tu na ndo maana alikoswakoswa kufukuzwa NCCR
ni kibaraka sana huyo na ndo anapochangia bungeni huwa hamalizi,waliomtuma wanakua wanamsogezea makaratasi asomeView attachment 257591
 
Hujui hata kuwekwa mfukoni ni nahau....ambayo ina maana na kubeba umbuji ndani yake. Wewe umeichukulia kama ilivyo yaani wewe ni mjingaaaaaaaaaaa......hata unachotetea hukijui nyambaaaafuuuu...Hujishangai humu jamvini wwe tu ndo unatetea ujinga.

msamehe ni mke wa singasinga
 
lala viroba vikiisha uombe msamaha maana una pepo wengi sana uck huu na cartoon yko ya kianti ngoja nikuache
 
Back
Top Bottom