David Kafulila,na Serikali Tatu

David Kafulila,na Serikali Tatu

safi sna kafulila nimeipenda hotuba yako m2 wng
 
Ndio walichobakiza tena wapinzani hawana lengine, kelele za serikali tatu tu kwa sasa.

Kila wakitia maguu vijijini na hadithi za ufisadi wanakuta wanaulizwa fine tunajua hupo lakini maji vipi, soko la mazao liko wapi, miundombinu hipo wapi na mtatusaidia vipi wanauma uma majibu hawana sera hawana. Zaidi ya kutukana jitihada zinazo onekana. Sasa wanakimbilia serikali tatu kwa sababu ni popular stand ndani ya JF, wasubiri uchaguzi ujao yetu macho wapiga kura badala ya kuwa concerned na what really their local constituents want wao unafiki tu kama alietoa mapendekezo ya serikali tatu.

Huyo Sharif Hamad kapewa tamko moja tu tayari anaweweseka, wapemba watabaki bara, asubiri aone watavyopanga mstari uhamiaji kuomba visa, mnajianzia tu serikari tatu.

Hizi Ndio hoja zako za kutetea serikali mbili!!??

Ngoja nikusaidie
Mwaka 1992 Maccm mlizunguka Tanzania yote kupiga propaganda kuwa vyama vingi vitaleta vita!
Sasa chama gani kilicholeta vita?-Kafulila

Propaganda zilezile za 1992 leo mnazirudia kwa style nyengine kuwa seikali 3 zitavunja Muungano-Kafulila
 
Hizi Ndio hoja zako za kutetea serikali mbili!!??

Ngoja nikusaidie
Mwaka 1992 Maccm mlizunguka Tanzania yote kupiga propaganda kuwa vyama vingi vitaleta vita!
Sasa chama gani kilicholeta vita?-Kafulila

Propaganda zilezile za 1992 leo mnazirudia kwa style nyengine kuwa seikali 3 zitavunja Muungano-Kafulila

Vp leo unamkubali Kafulila?? Wakati Babu Majanga alimuita sisimizi
 
kawaambia maprofesa sampling ya watu elfu mbili mpaka elfu tatu ndiyo inatumika duniani kote kutoa maoni ya jambo fulani. Warioba yeye katumia dodoso la watu zaidi ya elfu kumi na saba sasa ni bora zaidi?

Synovate inayoheshimika sana duniani na Afrika imekuwa ikitoa kura ya maoni ikwemo Kenya na nchi kadhaa duniani na kila mara imekuwa sahihi kwenye maoni yake. Hata mwaka 2005 ilitumia sampling ya watu elfu mbili mpaka elfu tatu ikasema kikwete atashinda kwa zaidi ya asilimi themanini kitu ambacho kilikuja kuwa kweli, iweje leo Warioba na tume yake itumie sampling ya watu zaidi ya elfu kumi na saba waonekane siyo wakweli.

Anasema kama mapato ya ushuru ya bidhaa hayatoshi kuhudumia serikali ya muungano watafute vyanzo vingine. Yeye amependekeza ushuru wa bandari 'customs' ambayo ni zaidi ya asilimia arobaini ya mapato ya Serikali ya JMT. Hivyo hii serikali ya JMT itakuwa na nguvu na hata kuweza kusaidia serikali washirika.

Hoja ya kusema kuwa Tanganyika itabeba gharama kubwa ni kuwa hata sasa kiuhalisia ndivyo hali ilivyo na hivyo ndivyo ilivyo duniani kote maana mambo ya muungano ni 'give' and 'take'. kwanza Tanganyika ni kubwa hivyo hata mahitaji yake ya serikali ya muungano ni kubwa. Haya mambo yapo hata Marekani akatolea mfano wa jimbo la California linalochangia kodi kubw kwenye Federal Government na halilalamiki.

Amesema Warioba ni mtu mkubwa sana kwenye nchi hii na mwenye weledi wa hali ya juu. Wanaomtukana na kumbezaa hawafikii hata chembe ya weledi wake. Anaheshimika sana kikanda na kimataifa. Kumtukana Warioba ni sawa sawa na kuwatukana wale wote waliomtuma, maana maoni ya serikali tatu yalitolewa na hata ofisi ya makamu wa raisi, wazirimkuu na taasisi zingine nyeti za serikali hii hiii.

Amemnukuu Ban Kimoon kuwa tatizo la nchi za dunia ya tatu siyo nakisi ya bajeti ya serikali zao bali ni 'deficit of trust'.
 
...ukweli usimama wenyewe na wala hauitaji mtu ili uweze kusiimama...akichofanya Kafulila leo bungeni ni kitu raisi sana kufanywa na mtu yeyote aliye huru kwa maana ya kupanda juu ya ukweli na kusimama juu yake...

"SAUTI YA UMMA NI SAUTI YA MUNGU"
TANGANYIKA BILA CCM INAWEZEKANA
 
Kafulila kasaidia kuwafungua wengi, sasa iwe mwisho propaganda za ccm za kupinga serikali tatu. Ili kuwe na uwazi na maendeleo ya kweli.
 
Ndio walichobakiza tena wapinzani hawana lengine, kelele za serikali tatu tu kwa sasa.

Kila wakitia maguu vijijini na hadithi za ufisadi wanakuta wanaulizwa fine tunajua hupo lakini maji vipi? soko la mazao liko wapi? miundombinu hipo wapi? na mtatusaidia vipi?. Wanauma uma majibu hawana sera hawana, zaidi ya kutukana jitihada zinazo onekana.

Sasa wanakimbilia serikali tatu kwa sababu ni popular stand ndani ya JF, wasubiri uchaguzi ujao yetu macho badala ya kuwa concerned na what really their local constituents want wao unafiki tu kama kiongozi alietoa mapendekezo ya serikali tatu.

Huyo Sharif Hamad kapewa tamko moja tu tayari anaweweseka, wapemba watabaki bara, asubiri aone watavyopanga mstari uhamiaji kuomba visa, mnajianzia tu serikari tatu.

dont panic mkuu!!hujitambui sikun ukijielewa huta kuja kuonyesha jinsi gani ulivyo mjinga
 
Ndio walichobakiza tena wapinzani hawana lengine, kelele za serikali tatu tu kwa sasa.

Kila wakitia maguu vijijixni na hadithi za ufisadi wanakuta wanaulizwa fine tunajua hupo lakini
maji vipi? soko la mazao liko wapi? miundombinu hipo wapi? na mtatusaidia vipi?. Wanauma uma majibu hawana sera hawana, zaidi ya kutukana jitihada zinazo onekana.


Sasa wanakimbilia serikali tatu kwa sababu ni popular stand ndani ya JF, wasubiri uchaguzi
ujao yetu macho badala ya kuwa concerned na what really their local constituents want wao unafgki tu kama kiongozi alietoa mapendekezo ya serikali tatu.g


Huyo Sharif Hamad kapewa tamko moja tu tayari anaweweseka, wapemba watabaki bara,
asubiri aone watavyopanga mstari uhamiaji kuomba visa, mnajianzia tu serikari tatu.
"Mapenzi yakizidi ni upofu"
Inaonekana akili unayo lakini umeruhusu akili yako kwenda likizo ili utetee hoja dhaifu ya CCM
Mnaweza mkazipata hizo selikali mbili kwa kutumia wingi wenu lakini mjue kuwa ipo siku Tanganyika itarudi
 
Ndio walichobakiza tena wapinzani hawana lengine, kelele za serikali tatu tu kwa sasa.

Kila wakitia maguu vijijini na hadithi za ufisadi wanakuta wanaulizwa fine tunajua hupo lakini maji vipi? soko la mazao liko wapi? miundombinu hipo wapi? na mtatusaidia vipi?. Wanauma uma majibu hawana sera hawana, zaidi ya kutukana jitihada zinazo onekana.

Sasa wanakimbilia serikali tatu kwa sababu ni popular stand ndani ya JF, wasubiri uchaguzi ujao yetu macho badala ya kuwa concerned na what really their local constituents want wao unafiki tu kama kiongozi alietoa mapendekezo ya serikali tatu.

Huyo Sharif Hamad kapewa tamko moja tu tayari anaweweseka, wapemba watabaki bara, asubiri aone watavyopanga mstari uhamiaji kuomba visa, mnajianzia tu serikari tatu.
Serikali tatu hazikwepeki,

Leo wakitumia nguvu kuikataa Tanganyika huko tuendako watairudisha kwa aibu kubwa tena kwa kulazimishwa.
 
Tupeni hotuba sasa mbona mimi sijaangalia ntelewa vipi kasema nini mbona mnavitu nusu nusu
 
Amekosha hasa kipande alichosema "serikali 3 wanazodai wananchi pasipo na maafa yoyote mkiwakatalia leo, mtazitoa kwa lazima baadaye kwa maafa makubwa"
 
Mm nimeshindwa kumuelewa 6 jinsi alivyo mnyima muda kafulilala wakati uwezekano ulikuwepo wakuendelea kumsikiliza mjenga hoja alivyo kuwa anatiririka. Akaona bora airishe kikao kabla muda wake.
 
Tupeni hotuba sasa mbona mimi sijaangalia ntelewa vipi kasema nini mbona mnavitu nusu nusu
moja ya mambo aliyosema ni kwamba watu 17 elfu walipendekeza serikali tatu katika tume ya warioba, je bunge la watu 600 wana uwingi gani wakukataa maoni ya watu elfu 17?
 
Mkuu huna imani na sixgate ? Btw how is shambalai? Umewaambia na wewe mipango dhalimu ya serikali mbili?


Sent from my iPad using JamiiForums
sina tatizo na sixgate ila huyo jamaa mchokozi tu, iweje kila jambo linalomhusu kafulila yeye anamuita na sixgate?
naogopa jamaa atalimwa ban ya name calling, anyway , shambalai na lushoto kwa ujumla wanazidi kuelewa somo, ngoja msimu wa mapeasi upite kwanza.
 
Last edited by a moderator:
Kafulila kawakilisha vyema.Ni vyema "kundi la wachache" likazitumikia dakika zile 30 vizuri kwa kuweka watu wanaoweza kujenga hoja vizuri na zikaeleweka. Hizi zikitumika vizuri ni kisu kikali sana kwa Wahafidhina wa CCM.

Nasikitika kwenye kamati Namba 2, Emmanuel Makaidi ameshindwa kabisa uwakilisha na kuishia kujiwakilisha mwenyewe kwa hoja nyepesi nepesi zisiyoelewek. Please wekeni watu makini watakokuwa wakitupa nondo kama alivyofanya Kafulila leo.

Tanganyika Kwanza, Tanzania Baadae.
 
Back
Top Bottom