David Kafulila,na Serikali Tatu

David Kafulila,na Serikali Tatu

Utumwa ni kulilia mkoloni na mambo yake kuanzia majina aliyo tuachia kama tanganyika na siasa za CUF na Jamsheed wao. Mimi ni mwafrikna na proud of being one na ntapigania chochote chenye kulinda hadhi yetu including umoja wetu.

Mtumwa ni yule anaejitambulisha kinyume na hapo na kuona mambo anayofanya mwafrika na jitihada za kujikomboa hazina maana.
mbona baba yako kikwete kila leo yuko kwa hao wakoloni kuombeleza! kwanini hujampa akili za kujikomboa?
 
mbona baba yako kikwete kila leo yuko kwa hao wakoloni kuombeleza! kwanini hujampa akili za kujikomboa?

Swali zuri sana, haya ngoja tupate majibu kama si matusi kutoka kwa msemaji husika
 
Kafulila umenikuna kwa tanganyika yangu... na pia kuwakumbusha maprof kuwa sample maana yake ni nin yaan hawa wanatuona sis washenz kweli....tanganyika oyeeeee
 
Kwa kweli, hata mimi nimemwelewa vizuri. Amejieleza kiufasaha sana. Natumaini Kamati nyingine zijitahidi kuwapa watu wa jinsi hii nafasi kuwatetea wachache. Hapa mwananchi wa kawaida ameelewa na hata wzle wenye mioyo migumu kushtuka kiasi fulani.
CCM wanapepo hawaelewi chochote mkuu. Hata kama wakielewa wakitoka nche wakirudi utadhani ni wengine wamepaka maker up kumbe ni wao wamebadilishwa akili na mabwana zao. huwezi jua hata tofauti ya mwanamke na mwanaume maana hawana misimamo hata chembe. kule watu ni Deo, Kangi, Easter na Lembeli tu.
 
Hotuba ya JK ya zaidi ya masaa mawili, imejibiwa na Kafulila kwa nusu saa.
 
Ndio walichobakiza tena wapinzani hawana lengine, kelele za serikali tatu tu kwa sasa.

Kila wakitia maguu vijijini na hadithi za ufisadi wanakuta wanaulizwa fine tunajua hupo lakini maji vipi? soko la mazao liko wapi? miundombinu hipo wapi? na mtatusaidia vipi?. Wanauma uma majibu hawana sera hawana, zaidi ya kutukana jitihada zinazo onekana.

Sasa wanakimbilia serikali tatu kwa sababu ni popular stand ndani ya JF, wasubiri uchaguzi ujao yetu macho badala ya kuwa concerned na what really their local constituents want wao unafiki tu kama kiongozi alietoa mapendekezo ya serikali tatu.

Huyo Sharif Hamad kapewa tamko moja tu tayari anaweweseka, wapemba watabaki bara, asubiri aone watavyopanga mstari uhamiaji kuomba visa, mnajianzia tu serikari tatu.
Mkuu naomba nikutukane kidogo, wewe ni tahahira, Hujui uhujui chochote zaidi ya Upinzani na CCM "Blaliful"
CCM, CHADEMA ,CUF ,NCCR n.k hivi ni vyama tu ,leo vinaweza kuwepo na kesho visiwepo, Lakini Tanzania yetu itakuwepo milele kwa hiyo kwenye mambo ya msingi yanayoihusu nchi hatuangalia vyama tunaangalia hoja zenye nguvu, na tunatakiwa kuungana kwa maslahi ya nchi yetu, Acha mambo ya vyama vyama kwenye maslahi ya nchi .
 
Unapoambiwa hujitambui si kwamba hujui kabila lako, ina maana hujui kwa nini ulizaliwa na umezaliwa ili ufanye nini na hujui umuhimu wako kwa jamii inayokuzunguka.

Kama wewe ni Mtanzania je unajua asili ya Tanzania na kwa nini iliitwa Tanzania? Je wazazi wako waliozaliwa kabla ya Tanzania watajiita Watanzania? Kama ndivyo ikitokea shirikisho la EAC likaungana na kuwa nchi moja wewe utajiitaje MEAC?
mkuu Feedback chukua "like" ngoja nimuache huyu Happy feet coz soon anaweza kuji-mkwawa!!
 
Nimevutiwa na jinsi Mbuge Huyu alivyo weza kujieleza na kutetea Serikali Tatu kwenye Bunge Maaluma La Katiba,ameeleza kwa ufasaha na nguvu za hoja kiasi kwa waliosikiliza/kuangalia live.
Ametetea Serikali Tatu na Kumpongeza Jaji Mstaafu Joseph Warioba kwa kazi aliyoifanya na Tume yake,na kuwabeza wanaoipinga Tume ya Warioba.

Anamsaliti Nyerere na Pengo?
 
big up kafulila, tuwatathimini madokta na maprofesa wetu wanaolazisha hoja zisizo na mashiko kwa njaa zao!
 
Hapa panahitaji mtu mwenye hoja za ukweli. Ukija na zile hoja za ccm na cdm lazima uonekane mpuuzi.
 
Back
Top Bottom