Ndio walichobakiza tena wapinzani hawana lengine, kelele za serikali tatu tu kwa sasa.
Kila wakitia maguu vijijini na hadithi za ufisadi wanakuta wanaulizwa fine tunajua hupo lakini maji vipi? soko la mazao liko wapi? miundombinu hipo wapi? na mtatusaidia vipi?. Wanauma uma majibu hawana sera hawana, zaidi ya kutukana jitihada zinazo onekana.
Sasa wanakimbilia serikali tatu kwa sababu ni popular stand ndani ya JF, wasubiri uchaguzi ujao yetu macho badala ya kuwa concerned na what really their local constituents want wao unafiki tu kama kiongozi alietoa mapendekezo ya serikali tatu.
Huyo Sharif Hamad kapewa tamko moja tu tayari anaweweseka, wapemba watabaki bara, asubiri aone watavyopanga mstari uhamiaji kuomba visa, mnajianzia tu serikari tatu.