Siasa za CDM zingechekewa na wangeshinda uchaguzi mkuu, wangeipelekea nchi matatizo tayari, sera za majimbo ni matatizo makubwa, siasa zao kuchongea na maandamano ni hatari, hivi ulijifunza nini na sakata la uchinjaji lilioanzia mwanza na kwenda kufanya watu watandikane mapanga Tunduma. Trust me tungeenda kwenye majmbo ingekuwa hatari you can see why there is the danger of multi party democracy in the third world in general, kwa sababu vyama vya siasa vikizidiwa huwa vinatumia kundi fulani kutokana na kabila, dini, regions to demand changes that is danger thanks god Lema kafanikiwa Arusha mjini tu, lakini siasa zake zingekuwa nationally ni hatari (well hilo linataka topic nyengine).
Watu hawajiamki asubuhi na kujianzia waungane tu bila ya sababu, huko nyuma baada ya kutandikana sana watu kwa kuogopa kuvamiwa mmoja mmoja ni bora waungane na serikali za majimbo ili wasaidiane kumshinda common enemy, vile vile ukubwa wa eneo la nchi ndio maana kuna kuwa na serikari nyingi hili local people waweze kuwa served locally.
Kwenye mahala watu walipoona sisi tulikuwa wamoja au tuna historia moja wengi walipenda kurudi kama historia yao, sisi tumetokea hapo na swala hili lilifanywa mara baada ya mapinduzi ya ZnZ, leo tena tuvunje muungano huko ni kuwapa ushindi watu wanaong'an'gana na historia mbaya ya utumwa as 'Salmini Amour' referred to them Manyan'gau's.
Serikali tatu ndio lenye lengo hilo kuturudisha nyuma, huyo kafulila akachungulie Kigoma kila kukicha uhamiaji inakamata raia wakirundi kwenye mashamba huko wakifanya kazi illegally without the right papers if he is so concerned na nchi yake.
Serikari mbili sio propaganda, serikali tatu ndio propaganda you cant call propaganda on what already exists, propaganda is what you want to make people believe is right for them kama wanafiki wa serikali tatu (kitu ambacho hatujawahi kuwa nacho), kwa hivyo kusema serikari tatu zinaweza vunja muungano that is a real outcome.
Si kuna proponents pia wa serikari tatu wanaosema wazi muungano uvunjwe na zanzibar ipewe mamlaka kamili. Well if you accumulate thoughts of these people plus the three tier government proposed hakuna mwenye akili timamu atakae taka kutupa hela kuendesha serikali ya tatu by virtue of common sense huko ni kutaka kuuvunja muungano in the long run.
Besides mapendekezo ya tatu, ambayo ndio serikali kuu aina nguvu kama nchi zake inazotakiwa kuziongoza ina mabavu tu kwa sababu ina majeshi lakini aina power to influence policies za nchi ,bili ambazo si maswala ya muungano, sasa Zanzibar ikisema inataka kufanya biashara na Rwanda ya madini, wakati tunajua rwanda hawana madini, where are the limitations of governments free will,.
Hiwapo Tanzania bara inataka kwenda SADC na EAC halafu ZnZ ikaamua kwenda kwenye umoja wa visiwa na nchi za kiislamu au muungano mwengine wa kimataifa, ni hivi there are no clear autonomous limitations which could lead to countries making allies who do not see eye to eye with the other union state, there are many things i can think of ambapo jaji warioba hakuzingatia ambayo yataenda leta sinto-kufahamu huko mbele.