David Kafulila ameongea haya baada ya kushindwa kesi yake

David Kafulila ameongea haya baada ya kushindwa kesi yake

Sawa bro , sasa kipi kimekufanya useme ya kuwa wachangiaji humu JF na magazeti yalikuwa biased, umeona na kuisoma hukumu na mwenendo wa kesi?Au you referring to what stand point to conclude hao watu walikuwa biased?

Sawa, comrade, umekuwa very king'ang'anizi (nadhani kwa nia njema) kwa suala hili ili kufahamu kwa nini nasema walikuwa biased. Nakujibu in short: Namna walivyokuwa wakiripoti walikuwa biased kwa kuwa walikuwa wanachukua habari au angle ya stori inayoonekana kumpendelea mtu mmoja tu...hata headlines zilikuwa zinamtaja huyo tu, na wengine ndani ya JF walifikia hata kuaminishwa kuwa huyo mtu angeshinda na wakawa wanasema kweli atashinda...Uandishi wa aina hiyo ni mbaya na haufai...mimi niliwaonya humu katika baadhi ya comments zangu kuwa wasiandike hivyo kwani wanaingilia uhuru wa mahakama, baadhi wakanishambulia kwa maneno ya matusi na kejeli....
 
amna walivyokuwa wakiripoti walikuwa biased kwa kuwa walikuwa wanachukua habari au angle ya stori inayoonekana kumpendelea mtu mmoja tu...hata headlines zilikuwa zinamtaja huyo tu, na wengine ndani ya JF walifikia hata kuaminishwa kuwa huyo mtu angeshinda na wakawa wanasema kweli atashinda...
Sawa mkuu, umejuaje walikuwa biased?umeiona hukumu na mwenendo wa kesi?Unasemaje?simple tu mkuu
 
Sawa mkuu, umejuaje walikuwa biased?umeiona hukumu na mwenendo wa kesi?Unasemaje?simple tu mkuu

Duh, bado hujanielewa tu...kama ungekuwa mwandishi wa habari ungeelewa...kama unaandika stori kwa upande mmoja tu, hiyo ndiyo bias katika stori...
 
N
Mkuu kwa scenario kama hizi na siasa wa nchi yetu, waungwana huwa tunatunza maneno kulingana na upepo!
Kwanza ieleweke kuwa CCM they are capable of doing/spinning anything they like..
Awamu hii mtu kama wasirra hakutakiwa na hatatakiwa tena kuwepo kwenye siasa za Tanzania na ndiyo maana alikosa ushirikiano kutoka mamlaka kuu ili wamuweke madarakani.
Ndo umetunza maneno hivo!!
 
BAWACHA ndivyo walivyo
Wewe acha kumdhalilisha lowassa,hawezi kuwa na binti kilaza kama wewe,afadhali hata angekuwa Jacqline Wolper alithibitisha yeye ni mtu wa kujiheshimu,walinunuliwa kina Ray(mzee wa kunywa maji mengi na kuwa mweupe) na yule aliezaa na dancer wa diamond lakini yeye alibaki na lowassa.Acha kutumia jina la lowassa vibaya..
 
Kafulila sio Lazima uwe Mbunge ni Muda sasa uje ujenge chama.Unakumbuka uliingia bungeni kwa NCCR bila hata kujenga Tofali kujenga chama.Sasa uje umsaidie Mbatia kujenga Chama kimekufa.Mwambie Mkosamali pia aje na sio kusubiri kipindi cha uchaguzi ndio mnaenda majimboni.

Hapo Uvinza hamna ofisi,jenga sasa!

Pia kazi zipo nyingi za kufanya hujazaliwa kuwa Mbunge.Mrema alifanya kazi kubwa sana kupambana lakini kakubali matokeo.

Mbona kwa mujibu wa Husna umepeleka matokeo ya vituo 366 badala ya 382?

Sio lazima wewe na mkeo muwe wabunge tunahitaji mawazo kutoka watu mbali mbali.Hongera kwa miaka mitano,karibu uraiani.
Mpaka akawaombe radhi walima mawese
 
Wenje,Machari na kafurila kushindwa ubunge lilikuwa agizo maalum kutika juu,hata angetumia mwanasheria kutoka scotland yard matokeo yatabaki vilevile
Hiyo ni miiba mikali ndani ya bunge lisilo na transperancy
 
Duh!! Mpunga Nouma yaani kafulila anataka kulia kabsa, mke kapata yeye chali akubali tu
 
Mnyonge ananyongwa na haki yake hapewi vilevile.
Wala upinzani usitegemee kupewa haki chini ya uongozi wa hawa jamaa zetu na kunyongwa watanyongwa tu.Yawezekana pia aliwasilisha fomu zote 382 bado wakadai kuona 366 kwani lengo lilikuwepo.Ushauri wangu kwa Kafulila na Wenje wa Mwanza wasijisumbue kukata hizo rufaa hawatakaa washinde ilihali majimbo yao yanatakiwa na wenye nguvu na mamlaka.Upinzani ushughulikie upatikanaji wa tume huru ya uchaguzi na katiba ya wananchi haswa mapendekezo yao kupitia jaji Warioba.Hivyo ndivyo vitakavyowapa wao na wananchi kwa ujumla haki.Kinyume cha hivyo upinzani hawawezi kushinda uchaguzi mkuu wowote na wenye nguvu wakilitaka jimbo lolote la upinzani haswa lenye m-bunge tishio kwao watalichukua tu.Ila Arusha hawathubutu.Najua watainuka vinyamkera wao na kudai mbona mahakama imempa haki Silinde nami nitawaambia yeye sio tishio kwao kama alivyo Kafulila.Ulizeni na jingine.
 
Tatizo ni kuendekeza harakati utafikiri umechagulia na watanzania wote na kusahau jimbo lako, ila hongera kwa mda uliotumikia taifa, siasa mbio za vijiti, usilete visingizio..
 
Ulisema hivi hivi kwa Mwakyembe,hadi Leo kimyaaa!!
Ishu ya Mwakyembe ni tofauti na hii , kwenye kesi ya Mwanyamaki viongozi wa chadema walihujumu chama chao , na sijakaa kimya kama unavyodhani , mpaka hivi tunavyoongea na wewe uongozi wote wa chadema kyela umetimuliwa na makao makuu kupitia kanda ya nyanda za juu kusini , hii ni pamoja na kufutilia mbali kamati yote ya utendaji .
 
Nadhani the better days are nearer.
Kinachonipa moyo ni ujasiri wa Kifisadi na kikatili wa kufikia hatua ya serikali (bunge) kuwapangia wabunge cha kuongea na kujadili ndani ya bunge, kinachofuatia hapo ni anguko kuu tu!
 
Back
Top Bottom