David Kafulila ameongea haya baada ya kushindwa kesi yake

David Kafulila ameongea haya baada ya kushindwa kesi yake

Watanzania bana, wakishindwa upande huu haki haijatendeka, akishindwa Wasira haki imetendeka. Hebu tujifunze kuwa wavumilivu wa kupokea Yale yasiyotupendeza.
Mkuu kwa scenario kama hizi na siasa wa nchi yetu, waungwana huwa tunatunza maneno kulingana na upepo!
Kwanza ieleweke kuwa CCM they are capable of doing/spinning anything they like..
Awamu hii mtu kama wasirra hakutakiwa na hatatakiwa tena kuwepo kwenye siasa za Tanzania na ndiyo maana alikosa ushirikiano kutoka mamlaka kuu ili wamuweke madarakani.
 
David (NCCR Mageuzi) Kafulila kayaongea haya Baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Tabora kutoa maamuzi ya Kesi ya kupinga Matokeo ya uchaguzi aliyokuwa Ameifunguwa na hivyo kumpa ushindi Hasna Mwilima( CCM).


Kafulila karibu Uswahilini Kaka ! Tatizo wanasiasa wengi wa Bongo hamna plan B, mmefanya siasa ndio ajira zenu! Kama kweli umetumia milioni 100 kuendesha kesi yako basi wewe ni " myopic viewer"! Kwani lazima wewe ndo uwe Mbunge wa Kigoma Kusini!? Watanzania wanaoweza kuwa Wabunge hapo ni wengi ! Mwache Mama Husna Mwilima afanye kazi,kajipange kivingine!
 
Yaani uchaguzi huu hakuna kesi ambayo matokeo yake yamefutwa mpaka sasa!! Nahisi hii itawajengea kiburi watawala kwa kusema we tangaza tu mshindi tunaemtaka sisi mambo mengine tutajuana mbele kwa mbele.
 
Tatizo la kafulila ni kukataa ushauri zitto na kukubali kunadiwa na fisadi jukwaani jambo ambalo ni halikubaliki kwa wana kigoma.

Atulie kama mkosamali, asitake kuonewa huruma kwani hatamsaidia kitu.
 
Sorry Kafulila, game is over now. Acha tufanye mengine...., tutaumis uwakilishi wako bungeni.
 
Kwani lazima awe mbunge? Kuna watu wanaona wao tu wanaweza. Msiwe kama Wasira. Miaka 5 mingi sana.
 
Kafulila pole sana ndugu yangu haki imeonekana imetendeka kwa hakika Mungu humpa kila ampendae kwa wakati wake

Ulikuwa mbunge kwa miaka mitano sasa Allah amempa Husnah kwa miaka mitano mingine na atampa mwingine ampendae Tena kwa miaka 5 mingine

Acha kukufuru wewe Allah sio mwizi wa kura? Akitaka kukupa sii anageuza wapiga kura wampe Huyo Husna sio kukubali upate kura 2+ 2= aseme 6 na 3+3= aseme ni 4
 
Jamani tumbili wetu. Hukukosea shabaha shujaa wetu, ulimlenga kichwa adui ESCROW ndio maana vita imekuwa kubwa, wewe ni shujaa wetu, safari bado ni ndefu usivunjike moyo, popote Tanzania inakubalika, just relax usubiri next.
 
Yan mm kitu ambacho huwa naamin ktka maisha yangu hakuna kitu ambacho CCM wamewahi kushindana wakashinda fair huwa wanaiba karibu KILA KITU so kushindana nao ukawashinda unakuta tu Jaji anayeamua hizo kesi anaamua tu kujitoa muhanga yan liwalo na liwe, kama mtu uliwahi kufanya kaz serikal hii utakubaliana na mm, mambo mengi ni magumashi tu nchi hii, basi tu wanaamua kukaa kimya.
 
Escrow haikupiga kura,ila Kafulila aliharibu ulaji wa wakubwa kupitia issue hiyo,kwa vyovyote kulikuwa na mchezo mchafu wa kumkomoa Kafulila asirudi bungeni
 
David (NCCR Mageuzi) Kafulila kayaongea haya Baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Tabora kutoa maamuzi ya Kesi ya kupinga Matokeo ya uchaguzi aliyokuwa Ameifunguwa na hivyo kumpa ushindi Hasna Mwilima( CCM).


Ajipange tu 2020
 
Aliwatukana wana Kigoma na chama cha mawese.. Hiyo dhambi itamtafuna milele haji kupata ubunge kwenye jimbo hili
 
Kwahiyo ngoma droo,
alifukuzisha watu kazi,na yeye sasa hana kazi,
Mungu kaoffset
 
Laana hiyo alisema watu hawana uwezo wa kuanzisha vyama vya mawese lakini wanadiriki kuanzisha vyama vya siasa .naona wananchi wa kigoma wampa discipline.....ccm mbele kwa mbele
Laana inakuwa laana kama kweli umefanya jamabo baya, wananchi wa Kigoma hawajampa adhabu but kuna watu wachache ndio wanafanya hivyo
 
Back
Top Bottom