David Kafulila ajivua uanachama CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Well, tatizo la wanasiasa wetu walio wengi ni kwamba siasa kwao ni kazi. Akinyang'anywa cheo maana yake ni kwamba wamemnyang'anya namna ya kuishi hapa mjini. Sasa mdogo wangu Kafulila naye inaonekana yumo kwenye kundi hilo. Taarifa tulizo nazo ni kwamba anaenda NCCR na ameahidiwa mambo kedekede ikiwemo kupangishwa nyumba na mshahara wa kila mwezi. It is not about philosophical and policy issues; it is about instrumental needs! What a shame!

Chadema kwa sasa ni taasisi. Huu ni mchujo mzuri, watabaki wanasiasa wa kweli na wenye mapenzi ya kweli ya kufanya siasa na kuleta ukombozi katika nchi hii. Hatukatishwi tamaa, tunaendelea kukanyaga kwenda mbele hadi kieleweka. Tutaweweseka lakini hatuanguki na tunasonga mbele.

Kila la heri mdogo wangu Kafulila huko uendako. Uwe makini sana huko, na uangalie usije ukawa unaruka mkojo....but then it is too late, you have already made your decision. Best wishes!
 
Well, tatizo la wanasiasa wetu walio wengi ni kwamba siasa kwao ni kazi. Akinyang'anywa cheo maana yake ni kwamba wamemnyang'anya namna ya kuishi hapa mjini. Sasa mdogo wangu Kafulila naye inaonekana yumo kwenye kundi hilo. Taarifa tulizo nazo ni kwamba anaenda NCCR na ameahidiwa mambo kedekede ikiwemo kupangishwa nyumba na mshahara wa kila mwezi. It is not about philosophical and policy issues; it is about instrumental needs! What a shame!

Chadema kwa sasa ni taasisi. Huu ni mchujo mzuri, watabaki wanasiasa wa kweli na wenye mapenzi ya kweli ya kufanya siasa na kuleta ukombozi katika nchi hii. Hatukatishwa tamaa, tunaendelea kukanyaga kwenda mbele hadi kieleweka. Tutaweweseka lakini hatuanguki na tunasonga mbele.

Kila la heri mdogo wangu Kafulila huko uendako. Uwe makini sana huko, na uangalie usije ukawa unaruka mkojo....but then it is too late, you have already made your decision. Best wishes!

Hili nililigundua kitambo kuhusu Kafulila. Kinachogomba kwake ni pesa na namna ya kuishi mjini na wala sio vinginevyo. Mwenye dau kubwa anawin when it comes to Kafulila.
 
Well, tatizo la wanasiasa wetu walio wengi ni kwamba siasa kwao ni kazi. Akinyang'anywa cheo maana yake ni kwamba wamemnyang'anya namna ya kuishi hapa mjini. Sasa mdogo wangu Kafulila naye inaonekana yumo kwenye kundi hilo. Taarifa tulizo nazo ni kwamba anaenda NCCR na ameahidiwa mambo kedekede ikiwemo kupangishwa nyumba na mshahara wa kila mwezi. It is not about philosophical and policy issues; it is about instrumental needs! What a shame!

Chadema kwa sasa ni taasisi. Huu ni mchujo mzuri, watabaki wanasiasa wa kweli na wenye mapenzi ya kweli ya kufanya siasa na kuleta ukombozi katika nchi hii. Hatukatishwa tamaa, tunaendelea kukanyaga kwenda mbele hadi kieleweka. Tutaweweseka lakini hatuanguki na tunasonga mbele.

Kila la heri mdogo wangu Kafulila huko uendako. Uwe makini sana huko, na uangalie usije ukawa unaruka mkojo....but then it is too late, you have already made your decision. Best wishes!

Mkuu Kitila Maneno yanatia matumaini sana kwamba CHADEMA bado iko pamoja kudos mkuu!

Ila maneno haya ungekuwa unatutumia kwenye PM Maana kuna watu walikuwa wanasubiria kwa hamu kusikia unacheza nyimbo za akina Kafulila sasa ikiwa tofauti wanapata Matumbo ya Kuhara ghafla. Sina cha kuongeza mkuu
 
Well, tatizo la wanasiasa wetu walio wengi ni kwamba siasa kwao ni kazi. Akinyang'anywa cheo maana yake ni kwamba wamemnyang'anya namna ya kuishi hapa mjini. Sasa mdogo wangu Kafulila naye inaonekana yumo kwenye kundi hilo. Taarifa tulizo nazo ni kwamba anaenda NCCR na ameahidiwa mambo kedekede ikiwemo kupangishwa nyumba na mshahara wa kila mwezi. It is not about philosophical and policy issues; it is about instrumental needs! What a shame!

Chadema kwa sasa ni taasisi. Huu ni mchujo mzuri, watabaki wanasiasa wa kweli na wenye mapenzi ya kweli ya kufanya siasa na kuleta ukombozi katika nchi hii. Hatukatishwa tamaa, tunaendelea kukanyaga kwenda mbele hadi kieleweka. Tutaweweseka lakini hatuanguki na tunasonga mbele.



Kila la heri mdogo wangu Kafulila huko uendako. Uwe makini sana huko, na uangalie usije ukawa unaruka mkojo....but then it is too late, you have already made your decision. Best wishes!

DR acha kutupiga propaganda.

Kila mmoja tunafahamu Kafulila kagombea uenyekiti vijana mkamtunishia vifua japo nafikiri aliibuka kidedea.Kafanya mmeitana dodoma kumjadili ,mara anapigwa chini sasa kaamuwa kujaribu kwingine kama ni kweli.

Dr siwezi kuwa narudisha mwaka hapo UDSM kwa sababu ya somo lako na kibaya zaidi ama kizuri kila mwaka wewe ndo unafundisha hilo soma , wakiletwa ma external eximiner inaonekana nimefaulu ila kwa vile wewe ndiye wenda mhimili wa udsm basi unasema huyu akipita basi naacha CHUO. Yawezekana ukawa mhimili kwa sababu hii na ile.

Sasa ktk hali kama hiyo ni bora mimi mwanafunzi nibadirishe chuo. Hayo ni maamuzi nafikiri mema kabisa huwezi ngangania kurudia wakati unajuwa wazi hutopita mbele ya Dr Kitila.Teh teh teh teh
 
Well, tatizo la wanasiasa wetu walio wengi ni kwamba siasa kwao ni kazi. Akinyang'anywa cheo maana yake ni kwamba wamemnyang'anya namna ya kuishi hapa mjini. Sasa mdogo wangu Kafulila naye inaonekana yumo kwenye kundi hilo. Taarifa tulizo nazo ni kwamba anaenda NCCR na ameahidiwa mambo kedekede ikiwemo kupangishwa nyumba na mshahara wa kila mwezi. It is not about philosophical and policy issues; it is about instrumental needs! What a shame!

Chadema kwa sasa ni taasisi. Huu ni mchujo mzuri, watabaki wanasiasa wa kweli na wenye mapenzi ya kweli ya kufanya siasa na kuleta ukombozi katika nchi hii. Hatukatishwi tamaa, tunaendelea kukanyaga kwenda mbele hadi kieleweka. Tutaweweseka lakini hatuanguki na tunasonga mbele.

Kila la heri mdogo wangu Kafulila huko uendako. Uwe makini sana huko, na uangalie usije ukawa unaruka mkojo....but then it is too late, you have already made your decision. Best wishes!

Sio kwamba anaenda kusajili chama kipya cha Rev.Kishoka?
Sasa sijui gazeti la mwananchi ambao waliandika kuwa Jibo la kigoma kusini CHADEMA walishinda zaidi ya aslimia 80 wataandika tena nini kwani huo ulikuwa ni uongo.

Uongo siku zote hauwezi kushinda, kule kigoma kusini ngoma ni droo kati ya CHADEMA na NCCR nahisi ndio maana anaweza kwenda huko kwani ndani ya CHADEMA walikuwa wagombea wawili yeye na Musilim Hassanal ambaye alienda kule kushiriki uchaguzi wa vijiji.
 
Anayetaka kuanza sharti AANZE na atakaye kumaliza sharti AMALIZE. Kumaliza hakuji kabla ya kuanza. MWANZO huenda hadi kwenye MWISHO. Na kwa kuwa wengi tunapenda kurahisishiwa kufikia HITIMISHO; tunajikuta tukiutambua MWANZO mwishoni kabisa.

Hata hivyo si lazima kila kujifunza kufanyikie ndani. Kujifunzia nje nako kuna umuhimu wake katika kuhawilisha somo.
 
Kama ni kweli itakuwa katimiza haki yake ya kidemokrasia ila bahati mbaya sisi raia wapiga kura hatukuwa tunamfahamu Kafurira. Inaelekia alikuwa anafahamika na mwajiri wake tu. NIDHAMU NDANI YA CHAMA NI MUHIMU ZAIDI YA UBINAFSI WA MAKADA ELFU!!
 
Well, tatizo la wanasiasa wetu walio wengi ni kwamba siasa kwao ni kazi. Akinyang'anywa cheo maana yake ni kwamba wamemnyang'anya namna ya kuishi hapa mjini. Sasa mdogo wangu Kafulila naye inaonekana yumo kwenye kundi hilo. Taarifa tulizo nazo ni kwamba anaenda NCCR na ameahidiwa mambo kedekede ikiwemo kupangishwa nyumba na mshahara wa kila mwezi. It is not about philosophical and policy issues; it is about instrumental needs! What a shame!

Chadema kwa sasa ni taasisi. Huu ni mchujo mzuri, watabaki wanasiasa wa kweli na wenye mapenzi ya kweli ya kufanya siasa na kuleta ukombozi katika nchi hii. Hatukatishwi tamaa, tunaendelea kukanyaga kwenda mbele hadi kieleweka. Tutaweweseka lakini hatuanguki na tunasonga mbele.

Kila la heri mdogo wangu Kafulila huko uendako. Uwe makini sana huko, na uangalie usije ukawa unaruka mkojo....but then it is too late, you have already made your decision. Best wishes!

Heshima kwako Kitila Mkumbo.

Tupunguze unafiki kidogo maana najua kuacha unafiki kwa watanzania hasa makada wa CHADEMA ni vigumu sana.Miezi michache mlipomchukua W Lwakatare kwa mbwembwe na vibweka hamkusema kaondoka CUF kwasababu alipewa ahadi na CHADEMA !.

Kafulila kakimbia CHADEMA kwasababu ya ukosefu wa demokrasia na matumizi mabaya ya fedha za chama.Kafulila yuko huru kwenda chama chochote anachotaka tuache kejeli eti kahaidiwa nyumba na blah blah zisizo na kichwa wala miguu.Fikiria matusi ya Dr Slaa kwamba Kafulila ni kama sisimizi,ulitegemea aendelee kubaki kwenye chama kinachowadhalilisha wanachama wake?.

CHADEMA ifike mahali mkubali kwamba wanachama wenu wana uhuru wa kwenda vyama vingine si kuja na tuhuma za kipuuzi.Mbona mnapochukuwa wanachama wa vyama vingine mnafanya sherehe kubwa kubwa.
 

Heshima kwako Kitila Mkumbo.

Tupunguze unafiki kidogo maana najua kuacha unafiki kwa watanzania hasa makada wa CHADEMA ni vigumu sana.Miezi michache mlipomchukua W Lwakatare kwa mbwembwe na vibweka hamkusema kaondoka CUF kwasababu alipewa ahadi na CHADEMA !.

Kafulila kakimbia CHADEMA kwasababu ya ukosefu wa demokrasia na matumizi mabaya ya fedha za chama.Kafulila yuko huru kwenda chama chochote anachotaka tuache kejeli eti kahaidiwa nyumba na blah blah zisizo na kichwa wala miguu.Fikiria matusi ya Dr Slaa kwamba Kafulila ni kama sisimizi,ulitegemea aendelee kubaki kwenye chama kinachowadhalilisha wanachama wake?.

CHADEMA ifike mahali mkubali kwamba wanachama wenu wana uhuru wa kwenda vyama vingine si kuja na tuhuma za kipuuzi.Mbona mnapochukuwa wanachama wa vyama vingine mnafanya sherehe kubwa kubwa.

Hili ni tatizo kubwa la demokrasia changa yenye chenga na pumba nyingi za chama tawala ndani ya upinzani... True democracy itakuja pale CCM itakapomeguka na kundi kuungana na vyama vpinzani

Kwa sasa wanasema kulinganisha CHADEMA na CCM (kwa mfano) nikama kulinganisha bwana na Ziwa... kwenye bwawa kila kitu ni significant
 
DR acha kutupiga propaganda.

Kila mmoja tunafahamu Kafulila kagombea uenyekiti vijana mkamtunishia vifua japo nafikiri aliibuka kidedea.Kafanya mmeitana dodoma kumjadili ,mara anapigwa chini sasa kaamuwa kujaribu kwingine kama ni kweli.

Dr siwezi kuwa narudisha mwaka hapo UDSM kwa sababu ya somo lako na kibaya zaidi ama kizuri kila mwaka wewe ndo unafundisha hilo soma , wakiletwa ma external eximiner inaonekana nimefaulu ila kwa vile wewe ndiye wenda mhimili wa udsm basi unasema huyu akipita basi naacha CHUO. Yawezekana ukawa mhimili kwa sababu hii na ile.

Sasa ktk hali kama hiyo ni bora mimi mwanafunzi nibadirishe chuo. Hayo ni maamuzi nafikiri mema kabisa huwezi ngangania kurudia wakati unajuwa wazi hutopita mbele ya Dr Kitila.Teh teh teh teh

Wewe ulisoma lini mlimani?
 
Heshima kwako Kitila Mkumbo.

Tupunguze unafiki kidogo maana najua kuacha unafiki kwa watanzania hasa makada wa CHADEMA ni vigumu sana.Miezi michache mlipomchukua W Lwakatare kwa mbwembwe na vibweka hamkusema kaondoka CUF kwasababu alipewa ahadi na CHADEMA !.

.......

Unafiki ni wako ambaye unaongea udaku na maneno ya kijiweni.
 
Hili ni tatizo kubwa la demokrasia changa yenye chenga na pumba nyingi za chama tawala ndani ya upinzani... True democracy itakuja pale CCM itakapomeguka na kundi kuungana na vyama vpinzani

Kwa sasa wanasema kulinganisha CHADEMA na CCM (kwa mfano) nikama kulinganisha bwana na Ziwa... kwenye bwawa kila kitu ni significant

Teh teh teh

Kulinganisha bwana na ziwa ndio nini tena?
 


Give Dr. the Break mkuu
Heshima kwako Kitila Mkumbo.

Tupunguze unafiki kidogo maana najua kuacha unafiki kwa watanzania hasa makada wa CHADEMA ni vigumu sana.Miezi michache mlipomchukua W Lwakatare kwa mbwembwe na vibweka hamkusema kaondoka CUF kwasababu alipewa ahadi na CHADEMA !.

Mkuu wangu hizo ni Tuhuma ambazo zingetakiwa kutolewa na CUF yaani sawa sawa na sasa hivi NCCR waseme wame mahidi kafulila this and this

Yaani kifupi unataka Chama kijituhumu au

Kafulila kakimbia CHADEMA kwasababu ya ukosefu wa demokrasia na matumizi mabaya ya fedha za chama.Kafulila yuko huru kwenda chama chochote anachotaka tuache kejeli eti kahaidiwa nyumba na blah blah zisizo na kichwa wala miguu.Fikiria matusi ya Dr Slaa kwamba Kafulila ni kama sisimizi,ulitegemea aendelee kubaki kwenye chama kinachowadhalilisha wanachama wake?.


Mbona unapingana na Kafulila kuhusu hilo?

Kwa mfano, Mh Chacha anazungumza hadharani kuwa ruzuku ya chama haiendi mikoani. Lakini anasahau kuwa Kamati Kuu ilisha agiza kuwa kila mkoa ufungue akaunti utumiwe sh 100,000/=(laki moja kwa mwezi). Je Chacha anaweza kutoa mfano wa mkoa uliokwisha fungua akaunti na haujatumiwa pesa hiyo?..Sio hayo, kila wilaya yenye diwani na zile za makao makuu ya mkoa ziilikwishaagizwa kufungua akaunti ili zitumiwe sh 200,000/= kwa mwezi tangu mwaka 2007.

Na ikumbukwe kuwa CHADEMA kinapata ruzuku ya kiasi cha takribani milioni60 kwa mwezi,dhidi ya CCM inayopata ruzuku ya bilioni1.2 kwa mwezi(takribani mara20 ya ile ya CHADEMA). Ruzuku ya CCM kwa mwezi ni takribani sawa na jumla ya ruzuku ya CHADEMA kwa zaidi ya mwaka mmoja na nusu.

Zaidi ya fedha hizo kutumwa, Chama kinatengeneza vifaa vya uenezi kama vitabu, bendera,nk na kusambaza wilayani bure ili kuhakikisha chama kinafanya kazi. Viongozi wa taifa wanafanya ziara mikoani mara kwa mara.Kwa mfano, kwa miezi miwili tangu mei2008, Viongozi wamefanya ziara mikoa mbalimbali. Zitto Kabwe amefanya ziara ya Chama Tanga kwa siku nne, na Kigoma kwa wiki mbili. Ilhali Dk Slaa emefanya ziara Singida na Manyara., Ni bahati mbaya kwamba wakati wengine wanaendelea kujenga chama wengine wanahaha huku na kule kutafuta jinsi ya kubomoa badala ya kwenda bungeni au mikoni kufanya kazi.
CHADEMA ifike mahali mkubali kwamba wanachama wenu wana uhuru wa kwenda vyama vingine si kuja na tuhuma za kipuuzi.Mbona mnapochukuwa wanachama wa vyama vingine mnafanya sherehe kubwa kubwa.

Hayo juu ni maneno ya Kafu

Kafulila tunamhitaji Bungeni iwe ni kwa Kupitia CHADEMA au NCCR-Mageuzi maadam ana ushawishi Kigoma kusini basi
 
Ni jambo la bahati mbaya sana kwamba, ndani ya Chadema anaungwa mkono na vijana wajinga. - ABSALOM KIBANDA .

Utabiri unatimia?
 
Unafiki ni wako ambaye unaongea udaku na maneno ya kijiweni.

Heshima kwako Mwafrika.

Naona povu linakutoka kwa kushabikia ujinga na unafiki wa CHADEMA.Taratibu kaka / dada kuna watu wasiopenda kuburuzwa na siasa za hila ambazo CHADEMA wamekuwa wakizifanya.Ni nani asiojuwa Kafulila katoswa kwasababu alikuwa akimuunga mkono Mheshimiwa Zitto,kama si unafiki ni nini au unafikiri ni rahisi kutuhadaa na hizo propaganda zenu za kitoto.
 
Heshima kwako Mwafrika.

Naona povu linakutoka kwa kushabikia ujinga na unafiki wa CHADEMA.Taratibu kaka / dada kuna watu wasiopenda kuburuzwa na siasa za hila ambazo CHADEMA wamekuwa wakizifanya.Ni nani asiojuwa Kafulila katoswa kwasababu alikuwa akimuunga mkono Mheshimiwa Zitto,kama si unafiki ni nini au unafikiri ni rahisi kutuhadaa na hizo propaganda zenu za kitoto.

Kaka/Dada Ngongo,

Mimi ni mmoja wa watu wasiojuwa kuwa Kafulila kafukuzwa kwa sababu ulizozitaja hapo. Naona wewe ndio mapovu yanazidi kutoka huku ukitaka watu wote wakubaliane nawe kuwa kafulila kafukuzwa kwa ajili ya Zitto - kitu ambacho nina hakika kuwa Zitto atakipinga hapa muda si mrefu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom