The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,006
- 3,280
Ndugu yangu, huko unakonipeleka mimi simo. Mimi ni mlala hoi tu ninayetarajia kuwa pengine siku moja ama upinzani ama chama tawala kitajuta kwa maovu wanayotufanyia.
Si umemsikia Mkapa ameshaanza kuyaacha ya Kaisari na kumgeukia Mungu. Basi huenda akina Mbowe na Kafulila nao wakafuata mkondo na kujisuta.
Sisi ni wamoja, zaidi ya JF hatuna pakusemea. Hongera JF. Heri akina Kafulila wanauwezo wa kuwakusanya waandishi wa habari kibao na kusema watakavyo, nasi tukaamini.
Idumu JF!!!!
Acha mawazo ya kipumbavu. Nawe unajiita ni great thinker? Kumgeukia Mungu baada ya kuifisadi nchi na kuacha madaraka, kutakusaidia nini wewe?
No wonder CCM itatutawala kwa kipindi kirefu kijacho.