mlima porrrraaandi
Teh teh teh
Kafulila kakimbia ku M-SULULUlize
teh teh teh teh
mlima porrrraaandi
Heshima kwako Mwafrika.
Naona povu linakutoka kwa kushabikia ujinga na unafiki wa CHADEMA.Taratibu kaka / dada kuna watu wasiopenda kuburuzwa na siasa za hila ambazo CHADEMA wamekuwa wakizifanya.Ni nani asiojuwa Kafulila katoswa kwasababu alikuwa akimuunga mkono Mheshimiwa Zitto,kama si unafiki ni nini au unafikiri ni rahisi kutuhadaa na hizo propaganda zenu za kitoto.
Mwafrika.Kaka/Dada Ngongo,
Mimi ni mmoja wa watu wasiojuwa kuwa Kafulila kafukuzwa kwa sababu ulizozitaja hapo. Naona wewe ndio mapovu yanazidi kutoka huku ukitaka watu wote wakubaliane nawe kuwa kafulila kafukuzwa kwa ajili ya Zitto - kitu ambacho nina hakika kuwa Zitto atakipinga hapa muda si mrefu.
Hata ningekuwa mimi Kafulila ningejitoa tu, Yaani napanda Mbegu za Chuki halafu siungwi mkono come on
Kafulila tunamhitaji Bungeni iwe ni kwa Kupitia CHADEMA au NCCR-Mageuzi maadam ana ushawishi Kigoma kusini basi
Hakuna kaogopa SULULU unafikiri sululu mchezo wewe!!
Mwafrika.
acha ujinga hivi na wewe uko kwenye hiyo NGO ya kina Ndesamburo,Mtei,Mbowe ?.Nilidhani una akili kumbe tayari virusi vya upumbavi vimeshakuvamia.Chadema si chama cha siasa Kafulila kagundua ingawa kachelewa sana bora aende CUF,NCCR au TLP hivi ni vyama vya siasa makini si chadema hata kidogo.
Unajua mkuu ilikuwa hivi!
Mwandishi Mtanzania: Unajua kuwa Viongozi wako wanafanya mkutano Dom wa kukung'oa?
Kafulila: Aah, mimi mbona sifahamu hizo habari, hebu nipe ishu mkuu
Mwandishi Mtanzania: Ndiyo hivyo mkuu, Wamekaa Mbowe, Slaa, Mdee nk wanajdili kukung'oa wewe, Jandu na ( ili kumtia hasira Kafulila na Kumconnect na Zitto) mama yake Zitto
Kafulila ( Bila kupima): Dah mi sina habari mkuu hicho kitakuwa ni Kikaao cha Gheto
Mwandishi Mtanzania akakata simu kecho kwenye Front Page
Bundi Lainyemela Chadema
1: Kikao chafanyika kuwang'oa wafuasi wa Zitto
2: Kiliendeshwa kwa Siri
3: Yeye Kafulila asema ni kikao cha Gheto
Sasa wewe ungekuwa Dr. Slaa ungefanyaje
Kumbe Kafulila naye ni Dr? Tuhabarishane ni wa u dr. wa kitu gani?Ningekuwa kama DR Kafulila lazima ningefanya alivyofanya hasa hasa nikikumbuka Kitufe alichokipata maremu Wangwe. No way ni kulala mbele kukaa mbali na jopo la wazee wa busara.
Kumbe Kafulila naye ni Dr? Tuhabarishane ni wa u dr. wa kitu gani?
Well, tatizo la wanasiasa wetu walio wengi ni kwamba siasa kwao ni kazi. Akinyang'anywa cheo maana yake ni kwamba wamemnyang'anya namna ya kuishi hapa mjini. Sasa mdogo wangu Kafulila naye inaonekana yumo kwenye kundi hilo. Taarifa tulizo nazo ni kwamba anaenda NCCR na ameahidiwa mambo kedekede ikiwemo kupangishwa nyumba na mshahara wa kila mwezi. It is not about philosophical and policy issues; it is about instrumental needs! What a shame!
Chadema kwa sasa ni taasisi. Huu ni mchujo mzuri, watabaki wanasiasa wa kweli na wenye mapenzi ya kweli ya kufanya siasa na kuleta ukombozi katika nchi hii. Hatukatishwi tamaa, tunaendelea kukanyaga kwenda mbele hadi kieleweka. Tutaweweseka lakini hatuanguki na tunasonga mbele.
Kila la heri mdogo wangu Kafulila huko uendako. Uwe makini sana huko, na uangalie usije ukawa unaruka mkojo....but then it is too late, you have already made your decision. Best wishes!
Kitila kwani hujui kuwa Mbowe anaishi mjini kwa mgongo wa Chadema? hapa umejichanganya kwani toka mwanzo unajulikana wewe ulikuwa kwa Zitto Kabwe ambako Kafulillah yuko wakati wa mkakati wa kumpata Mwenyekiti wa Chama.
umeona uliyotaka hayajawa sasa unawaruka wenzako.huu ni unafiki mkubwa. kama Mbowe ambaye kila cheque lazima asaini wakati wenyeviti wa CCM,CUF NA NCCR hawashiriki kwenye kusaini Cheque.
najua unajikomba kwa Mbowe baada ya Zitto kukosa uenyekiti na wewe ukaonekana msaliti kwa Mbowe.
Kitila kwani hujui kuwa Mbowe anaishi mjini kwa mgongo wa Chadema? hapa umejichanganya kwani toka mwanzo unajulikana wewe ulikuwa kwa Zitto Kabwe ambako Kafulillah yuko wakati wa mkakati wa kumpata Mwenyekiti wa Chama.
Huo ndio utoto, sasa ulitaka Dr. Baada ya Uchaguzi anedeleze Makundi? Hiyo ndiyo Tofauti iliyopo kati ya Zitto na Kafulila na Dr .Kitila na Kafulila kwa Upande Mwingine
umeona uliyotaka hayajawa sasa unawaruka wenzako.huu ni unafiki mkubwa. kama Mbowe ambaye kila cheque lazima asaini wakati wenyeviti wa CCM,CUF NA NCCR hawashiriki kwenye kusaini Cheque.
Hizo ni taratibu tu ndugu yangu, ningekuona wa maana kama ungekuja hapa na Kusema CHADEMA wamekiuka kipengele huki na hiki, CCM, CUF nk wana utaratibu wao wa Kusign Cheque ambao siyo lazima ufanane na CHADEMA
najua unajikomba kwa Mbowe baada ya Zitto kukosa uenyekiti na wewe ukaonekana msaliti kwa Mbowe.
Mkuu Najua ungempa thanks nyingi sana Dr. kama angecheza Ngoma inayipigwa na Kafulila
Kitila kwani hujui kuwa Mbowe anaishi mjini kwa mgongo wa Chadema? hapa umejichanganya kwani toka mwanzo unajulikana wewe ulikuwa kwa Zitto Kabwe ambako Kafulillah yuko wakati wa mkakati wa kumpata Mwenyekiti wa Chama.
umeona uliyotaka hayajawa sasa unawaruka wenzako.huu ni unafiki mkubwa. kama Mbowe ambaye kila cheque lazima asaini wakati wenyeviti wa CCM,CUF NA NCCR hawashiriki kwenye kusaini Cheque.
najua unajikomba kwa Mbowe baada ya Zitto kukosa uenyekiti na wewe ukaonekana msaliti kwa Mbowe.
Unajua mkuu ilikuwa hivi!
Mwandishi Mtanzania: Unajua kuwa Viongozi wako wanafanya mkutano Dom wa kukung'oa?
Kafulila: Aah, mimi mbona sifahamu hizo habari, hebu nipe ishu mkuu
Mwandishi Mtanzania: Ndiyo hivyo mkuu, Wamekaa Mbowe, Slaa, Mdee nk wanajdili kukung'oa wewe, Jandu na ( ili kumtia hasira Kafulila na Kumconnect na Zitto) mama yake Zitto
Kafulila ( Bila kupima): Dah mi sina habari mkuu hicho kitakuwa ni Kikaao cha Gheto
Mwandishi Mtanzania akakata simu kecho kwenye Front Page
Bundi Lainyemela Chadema
1: Kikao chafanyika kuwang'oa wafuasi wa Zitto
2: Kiliendeshwa kwa Siri
3: Yeye Kafulila asema ni kikao cha Gheto
Sasa wewe ungekuwa Dr. Slaa ungefanyaje
Kama mtu anapigania maendeleo/ukombozi wa nchi yake, lazima siasa iwe ni kazi. Niambie ni msomi gani anayeweza kukubali kudhalilishwa na kihiyo kwa vile tu ana pesa na madaraka?Well, tatizo la wanasiasa wetu walio wengi ni kwamba siasa kwao ni kazi.
Kama Kafulila angekuwa anataka kukaa mjini kwa starehe si angekuwa ameshakimbilia CCM kuliko na madaraka yenye marupurupu kibao?Akinyang'anywa cheo maana yake ni kwamba wamemnyang'anya namna ya kuishi hapa mjini. Sasa mdogo wangu Kafulila naye inaonekana yumo kwenye kundi hilo.
Taarifa tulizo nazo ni kwamba anaenda NCCR
Kwa hiyo unataka kutuambia Kafulila kilichokuwa kinamuweka CHADEMA ni mshahara? Unafikiri kwa elimu yake hangeweza kupata mshahara mnono kuliko wa CHADEMA au NCCR? Shame on you Kitila. You should apologize to Kafulila.na ameahidiwa mambo kedekede ikiwemo kupangishwa nyumba na mshahara wa kila mwezi. It is not about philosophical and policy issues; it is about instrumental needs! What a shame!
Chadema kwa sasa ni taasisi.
Eti CHADEMA ni taasisi? What a joke? Taasisi gani yenye kufuata maamuzi ya mtu mmoja tu, Mbowe/Mtei?Huu ni mchujo mzuri, watabaki wanasiasa wa kweli na wenye mapenzi ya kweli ya kufanya siasa nakuleta ukombozi katika nchi hii.
Kitila, Kama wewe hujakatishwa tamaa na yanayoendelea ndani ya CHADEMA, basi una sababu nzito za kukumbatia uongozi wa Mbowe/Mtei.Hatukatishwi tamaa, tunaendelea kukanyaga kwenda mbele hadi kieleweka. Tutaweweseka lakini hatuanguki na tunasonga mbele.