nimesikiliza mahojiano ya kafulila mlimani tv...kwa kifupi ni kijana ambaye hata kwa mpangilio wa hoja zake ..anaaonyesha bado anahitaji malezi ya kisiasa....nadhani haukuwa wakati muafaka kwake kuhama ....nitamshauri tu asifanye kosa kwenda CCM ..kwani hatapata cheo anachotarajia.....ni vema akaenda chama kidogo kama NCCR ambacho kule kigoma kinajulikana ..ili aendelee kujijenga kisiasa..au la afikirie upya msimamo wake na kubakia CHADEMA.
Nadhani tubadilike kifikra ...kuhama vyama kwa tofauti ya kimtazamo kumepitwa na wakati ...internal power strugle kwenye association yeyote ni jambo la kawaida......na unatakiwa upiganie mabadiliko ndani ....kabla ya kutaka umaarufu nje..ya kundi au chama chako...that is normal political evolution....
ndio maana unaona hata rebels wa CCM wanapigana wakiwa ndani....ninafurahisha hata muheshimiwa zitto ..anakubaliana na dhana ya kupigania mabadiliko ndani ....kwa ndani...hiyo ndiyo siasa...historia haiwapi nafasi nzuri sana rebels wanao ditch boat...kwani angalia looosers kama kina kabourou,hiza tambwe na wengine...zaidi ya kupata pesa ya kununua mkate kurudi nao nyumbani jioni...they lack a really constituets as of now......ndani hawaaminiki ..na nje hawaaminiki....
na si vema mwanasiasa kujijengea legacy ya kutoaminika.....bora uwe na msimamo hadi mwisho....
Akipigana ndani kwa ndani..mchochezi...anatumiwa...amepewa pesa kuvuruga chama...
Akitoka chama...Hajafikia muda wa kuhama chama...anatakiwa alelewe kisiasa....!!!