Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 4,367
- 2,404
Muhtasari wa mgogoro wote huu, umefunikwa ni vitu vitatu. Navyo ni kama vifuatavyo:
1. Ruzuku
2.Taratibu za fedha ndani ya Chama
3.Ufinyu wa Demokrasia (Mbowe vs Zitto/uchaguzi M/Kiti)
Kifupi yote hayo hapo juu ni mambo ya FWEZA, kazi ipo. Sasa chama kisichokuwa wazi katika mambo ya fedha, tutadiki vipi kukipa nchi. Matatizo haya niliyajadili siku za nyuma, si mara moja bali mara nyingi tu. Lakini kwa bahati mbaya kama alivyoelezqa Kafulilo, kuwa wanaCHADEMA ni wagumu sana kujirekebisha. nA MBISHI HAFAIDI MPAKA SIKU YA idd.
Kafulilo ameendelea kwa kutoa ujumbe muhimu sana kama ninavyounukuu hapa chini:
"Taifa linapita katika kipindi kigumu sana chenye misukosuko ambayo msingi wake ni siasa duni ambazo msingi wake ni upinzani dhaifu kwa upande mmoja na Chama tawala kilicho choka kwa upande wa pili"
Kweli tutafika? Hivi ni watanzania ndio wajinga au Viongozi wa upinzani ndio waroho na majuha?
1. Ruzuku
2.Taratibu za fedha ndani ya Chama
3.Ufinyu wa Demokrasia (Mbowe vs Zitto/uchaguzi M/Kiti)
Kifupi yote hayo hapo juu ni mambo ya FWEZA, kazi ipo. Sasa chama kisichokuwa wazi katika mambo ya fedha, tutadiki vipi kukipa nchi. Matatizo haya niliyajadili siku za nyuma, si mara moja bali mara nyingi tu. Lakini kwa bahati mbaya kama alivyoelezqa Kafulilo, kuwa wanaCHADEMA ni wagumu sana kujirekebisha. nA MBISHI HAFAIDI MPAKA SIKU YA idd.
Kafulilo ameendelea kwa kutoa ujumbe muhimu sana kama ninavyounukuu hapa chini:
"Taifa linapita katika kipindi kigumu sana chenye misukosuko ambayo msingi wake ni siasa duni ambazo msingi wake ni upinzani dhaifu kwa upande mmoja na Chama tawala kilicho choka kwa upande wa pili"
Kweli tutafika? Hivi ni watanzania ndio wajinga au Viongozi wa upinzani ndio waroho na majuha?