Dating

Dating

hahaha umenifanya nicheke kwa sauti mopk naonekana kama chizi,ngoja nikupe umbea kidogo though hayanihusu miss nedyy sasa hivi yupo busy na utafiti,hii nimekwambia kimya kimya so na wewe usimwambie mtu wala usiseme kwa nguvu

aka miss kauzibe? lol. Safiiiii. Aisee utafiti atamuweka bize manake akiona ishu yako unafanya kwa siri lazima akuumbue.

Nilipitiwa nikamkonyeza mtu flani hivi ( Arushaone) mbiooo kamuita OS na akanisemea kwa mkewe. Basi tu OS mvumilivu, azawaissssss....
 
Last edited by a moderator:
TEH TEH TEEEEEEH unaweza dondoka kwa presha aisee. hahahaha. You guys bwana are hilarious.
Mkuu OLESAIDIMU bora umekuja

Ntuzu na Mndengereko mmeona na olasaidimu nae karudi baada ya Karucee kuonekana
Hii coincidence hii ni balaa sijui tuiiteje bana

Khe Khe Khe Khe

Ataomba poo Leo!

nashkuru mkuu umekuja ngoja nimuangalie Karucee kama ataendelea na porojo zake au atasizi kidogo baada ya kukuona umekuja maana ulikuwa offline alikuwa anatmba sana hapa!!!

Ata Mimi Nashangaa! Ngoja tumuulize Na OLESAIDIMU alikua Wapi?
 
aka miss kauzibe? lol. Safiiiii. Aisee utafiti atamuweka bize manake akiona ishu yako unafanya kwa siri lazima akuumbue.

Nilipitiwa nikamkonyeza mtu flani hivi ( Arushaone) mbiooo kamuita OS na akanisemea kwa mkewe. Basi tu OS mvumilivu, azawaissssss....
hhaha eti miss kauzibe na wewe miss nani ??? naona unatamba kisa hajaja hapa akija unakuwa mdogo kama tundu la sindano,na pia usije kunitaja mimi baadae ishu ikiwa kubwa simo kabisaaaaaa ohoo
 
The one you hate is in now!!!!!

Trouble maker or hun come what may,remains to be labels!!!!
Content will will tell you in a louder tone this round
teh teh teeeeeeh.

Mama miaaaaaa.
 
hhaha eti miss kauzibe na wewe miss nani ??? naona unatamba kisa hajaja hapa akija unakuwa mdogo kama tundu la sindano,na pia usije kunitaja mimi baadae ishu ikiwa kubwa simo kabisaaaaaa ohoo

Mimi sio miss. Ni Mrs:smile-big::smile-big:. Malizia Mrs nani basiiii.
 
aka miss kauzibe? lol. Safiiiii. Aisee utafiti atamuweka bize manake akiona ishu yako unafanya kwa siri lazima akuumbue.

Nilipitiwa nikamkonyeza mtu flani hivi ( Arushaone) mbiooo kamuita OS na akanisemea kwa mkewe. Basi tu OS mvumilivu, azawaissssss....

azawaissssss recipe will make a good lunch for "hungry" inmates!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom