Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,306
- 3,413
Mimi sio miss. Ni Mrs:smile-big::smile-big:. Malizia Mrs nani basiiii.
mimi sijui mrs nani malizia mwenyewe.!
Mimi sio miss. Ni Mrs:smile-big::smile-big:. Malizia Mrs nani basiiii.
Wewe kaka yao mkubwa ukijua inatosha sana kaka!!!
Khe Khe Khe Khe
Aaaaaanh wapi kama hakuwepo hapa basi ana aje aseme wapi alikuwa!!!!!
coincidence ya mwaka hii.
miss neddy hebu njoo uweke wazi hapa naona unagonganisha magari..nimemaliza kugombana na Asprin kwasababu yako haya na Ntuzu je?Ivi Kua busy ndio kuawaje ETI ? Huyu miss neddy na YEYE asinichangaye akili yng! Mara utamuona NA Excel Mara Leo nasikia Yuko Na busy na utafiti
Labda anatumia absence yangu kufanya yake! !!!!Mkuu OLESAIDIMU na Karucee wote hapa wanaikataa hiyo coincidence na haiwezi tuu kuwa mere coincidence bali ni planned coincidence ambayo ina ill motives ndani yake
Mr Rocky kwani Excel karudi?utafiti ina maana hujui kuwa miss neddy yuko na Excel au ulipitiwa OLESAIDIMU hope uko salama kaka na mambo yanaenda vyema
Nipo safi kaka!!!!utafiti ina maana hujui kuwa miss neddy yuko na Excel au ulipitiwa OLESAIDIMU hope uko salama kaka na mambo yanaenda vyema
Mimi sio miss. Ni Mrs:smile-big::smile-big:. Malizia Mrs nani basiiii.
miss neddy hebu njoo uweke wazi hapa naona unagonganisha magari..nimemaliza kugombana na Asprin kwasababu yako haya na Ntuzu je?
Sasa si umeona hapo?
Mimi Ntuzu ni rafiki yangu siku nyingi sanaaaa unajua hilo?
kumbe ni rafikio ??? sasa badala ya rafiki mpe jina mbadala (kimya kimya)
Haahahah ookeyyy ntamfata pm
hahahaha ndo mana nakuchukia sana kuliko wote lol
kuna watu wako doriaUnachukia nini tena??