Dating

Dating

nimekuelewa mkuu, nilitaka kushangaa kuwa uswahiba wetu umekwisha.

Mkuu @mtoto halali na hela uswahiba hauwezi kuisha kwa namna yoyote mkuu ni utani tuu wa kawaida aise

hahahaha. lol. Ngoja waje. Mi simo aisee:rapture:

Wamekuja wote na wameufyata hawawezi kuongea lolote

KWELI Mkuu kitambo sn!

Mwanangu ila mwanadamu Ni jasiri sn hasa anapokua ktk Hali ya atari ujasiri huongezeka sn!

Kabisa mkuu Ntuzu mwanadam akiwa kwenye hatari yoyote ana uwezo wa kufanya lolote la kijasiri sana

hahahaha. Lol. Tized is my little brother usiwasikilize Mr Rocky na Mndengereko.

Little brother kwenye nini maana tunamjua Tized long way to back akiwa anakupenda sasa huo ulittle brother huo mhhh
 
Mkuu @mtoto halali na hela uswahiba hauwezi kuisha kwa namna yoyote mkuu ni utani tuu wa kawaida aise



Wamekuja wote na wameufyata hawawezi kuongea lolote



Kabisa mkuu Ntuzu mwanadam akiwa kwenye hatari yoyote ana uwezo wa kufanya lolote la kijasiri sana



Little brother kwenye nini maana tunamjua Tized long way to back akiwa anakupenda sasa huo ulittle brother huo mhhh

umesomeka
 
Mkuu Mtoto halali na hela uswahiba hauwezi kuisha kwa namna yoyote mkuu ni utani tuu wa kawaida aise



Wamekuja wote na wameufyata hawawezi kuongea lolote



Kabisa mkuu Ntuzu mwanadam akiwa kwenye hatari yoyote ana uwezo wa kufanya lolote la kijasiri sana



Little brother kwenye nini maana tunamjua Tized long way to back akiwa anakupenda sasa huo ulittle brother huo mhhh


Ata Mimi nataka fahamu Vzr maelezo ya Karucee dhidi ya Tized Maana simuelewi Na Hiyo @litlle brother yake!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu @mtoto halali na hela uswahiba hauwezi kuisha kwa namna yoyote mkuu ni utani tuu wa kawaida aise



Wamekuja wote na wameufyata hawawezi kuongea lolote



Kabisa mkuu Ntuzu mwanadam akiwa kwenye hatari yoyote ana uwezo wa kufanya lolote la kijasiri sana



Little brother kwenye nini maana tunamjua Tized long way to back akiwa anakupenda sasa huo ulittle brother huo mhhh
hahahaha. Ina maana hawezi nipenda as my little brother?

Hapo nawasiwasi!
wala! wewe tu.

Ata Mimi nataka fahamu Vzr maelezo ya Karucee dhidi ya Tized Maana simuelewi Na Hiyo @litlle brother yake!
hamna rafiki. usijali
Karucee alikuwa amepotea ghfla sasa ndo karudi tumemuuliza alikokuwepo wapi mpk sasa hana jibu lakini kinachoshangaza sana kwanini kipindi ambacho yeye kpotea tu ghfala na Tized nae kapotea ghafla?
Afu wewe ndo unasisitizaaaa. Muone kwanza.
 
Last edited by a moderator:
Hamna bwana eee umewaza mbaliii. Lo! siamini. lols!!
Karucee you just tell us iwe no string attached between you and Tized maana huu ulittle brother huo tuna wasi wasi nao ndo maana kila mtu Ntuzu na Mndengereko wana wasi wasi

Hamna, wanakupotosha haooo. Alikuwa anani...?? hahaha. Malizia basii
Mweeeh Yani unajaribu kutufunga ivi ivi??

Karucee !! Tized KWELI Yule tunamfahamu alivyokua anaku!!!

Wapi hapo? Toa evidence.
mi sina wasiwasi mkuu i knw lipi tui ipi maziwa,najua ukweli wao hawa niliwabamba somewhere

hahaha. Mamamiaaaa. Umeamua kumuita troublemaker OS?? Ngoja nitafute pa kujificha. lols.
Huu ulittle bro ata Mimi Leo Karucee ananichanganya! Maana Siku moja ndugu yng OLESAIDIMU Karucee kamkataa hivi hivi Na kumng'ang'ania Tized

Karucee tuambie Vzr!
 
Back
Top Bottom