Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,175
- 34,407
we unakoelekea sasa utapigwa mkuu hahaha?
Akipigwa yeye ujue wewe ushalazwa chali. hahahahaaaa.
we unakoelekea sasa utapigwa mkuu hahaha?
miss neddy alinisingizia kuwa mimi na OS tumeadimika ghafla na tumerudi pamoja.OLESAIDIMU nae kaadimika ghafla mkuu hopefully atakuwa haamini kinachotokea hapa
umeamua uendelee kunitishia simba wa kuchora eehh!!!Akipigwa yeye ujue wewe ushalazwa chali. hahahahaaaa.
mi sina wasiwasi mkuu i knw lipi tui ipi maziwa,najua ukweli wao hawa niliwabamba somewhere
Huu ulittle bro ata Mimi Leo Karucee ananichanganya! Maana Siku moja ndugu yng OLESAIDIMU Karucee kamkataa hivi hivi Na kumng'ang'ania Tized
Karucee tuambie Vzr!
Hamna bwana eee umewaza mbaliii. Lo! siamini. lols!!
Karucee sijawaza mbali niko hapa hapa nakuangalia tuu uniambiae wazi bana
nilijua tu lazima uombe support ya miss neddy by the way ndo nilikuwa niko mbioni kukwambia tafta mtu aje kukusaidia. na pia usifanye analysis/conclusion ya current issue kwa kutumia past experience ile kesi nyingine na hii nyingine,hahahaha hutoki leo tafuta kisingizio kingine.miss neddy alinisingizia kuwa mimi na OS tumeadimika ghafla na tumerudi pamoja.
Sasa mnaposema na Tized nae hivyo hivyo the equation equals to? lmao!
Hamna bwana eee umewaza mbaliii. Lo! siamini. lols!!
Hamna, wanakupotosha haooo. Alikuwa anani...?? hahaha. Malizia basii
Wapi hapo? Toa evidence.
hahaha. Mamamiaaaa. Umeamua kumuita troublemaker OS?? Ngoja nitafute pa kujificha. lols.
OLESAIDIMU nae kaadimika ghafla mkuu hopefully atakuwa haamini kinachotokea hapa
miss neddy bwana unaweza kushangaa. Unaweza expect atakupa support akaharibuuuu. Kwa kweli hatabirikagi!umeamua uendelee kunitishia simba wa kuchora eehh!!!
nilijua tu lazima uombe support ya miss neddy by the way ndo nilikuwa niko mbioni kukwambia tafta mtu aje kukusaidia. na pia usifanye analysis/conclusion ya current issue kwa kutumia past experience ile kesi nyingine na hii nyingine,hahahaha hutoki leo tafuta kisingizio kingine.
Mkuu Mndengereko umeona eehh haya mambo ya kuambiwa huyu ni little brother naghafla bin vuu unakutana nao corner mbaya haya yafe bana
Mkuu Ntuzu bora useme na OLESAIDIMU nae aje hapa maana nae amepotrea ghafla
Hamna bwana eee umewaza mbaliii. Lo! siamini. lols!!
Karucee sijawaza mbali niko hapa hapa nakuangalia tuu uniambiae wazi bana
Ole atakuja tu hapa atusaidie!
oh yesss!
miss neddy bwana unaweza kushangaa. Unaweza expect atakupa support akaharibuuuu. Kwa kweli hatabirikagi!
hahahahahah. Lazima nichezee nakos. Mungu asaidie awe bizeeee asije leo wala kesho.:israel:
She will tell the width and depth of the tunnel she is busy digging!!!!!
hahaha umenifanya nicheke kwa sauti mopk naonekana kama chizi,ngoja nikupe umbea kidogo though hayanihusu miss nedyy sasa hivi yupo busy na utafiti,hii nimekwambia kimya kimya so na wewe usimwambie mtu wala usiseme kwa nguvuoh yesss!
miss neddy bwana unaweza kushangaa. Unaweza expect atakupa support akaharibuuuu. Kwa kweli hatabirikagi!
.
Borthers Mr Rocky, Mndengereko and Ntuzu am back now!!!!!
I hate bone breaking activity but this Karucee woman will land me in the same activity i hate most!!!!
Borthers Mr Rocky, Mndengereko and Ntuzu am back now!!!!!
I hate bone breaking activity but this Karucee woman will land me in the same activity i hate most!!!!
She will tell the width and depth of the tunnel she is busy digging!!!!!
Watch this space!!!!!
nashkuru mkuu umekuja ngoja nimuangalie Karucee kama ataendelea na porojo zake au atasizi kidogo baada ya kukuona umekuja maana ulikuwa offline alikuwa anatmba sana hapa!!!Borthers Mr Rocky, Mndengereko and Ntuzu am back now!!!!!
I hate bone breaking activity but this Karucee woman will land me in the same activity i hate most!!!!
Ntuzu na Mndengereko mmeona na olasaidimu nae karudi baada ya Karucee kuonekana
Hii coincidence hii ni balaa sijui tuiiteje bana