Date na mwanamke mzuri ila usioe mwanamke mzuri

Date na mwanamke mzuri ila usioe mwanamke mzuri

566509874f85cfa4215b05bf1e73526e.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaoa mwanamke mbaya haingiliki popote iwe kanisani iwe msiban iwe kwenye sherehe taabu tupu...wanawake ni walewale bora kupata stress toka kwa mke mzuri kuliko kupata stress toka mke mbaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba uniambie tofauti ya mwanamke mbaya na mzuri ni nin?
Vilevile naomba unifahamishe mwanamke mbaya yupoje na mwanamke mzuri yupoje ili niweze kuelewa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimiliki kizuri kitakupa changamoto za kutafuta zaidi na mafanikio utayaona...

Ukiwa na mwanamke mzuri:
1. Hataki nyumba ya kupanga. Utajitahidi utajenga.
2. Hataki kutembea kwa miguu. Utajitahidi utanunua usafiri.
3. Hataki maisha ya kuunga unga.. Utajitahidi mara zote uwe nazo..



Cc: mahondaw
 
Katika maisha ukitaka upate mafanikio ya haraka na kuondokewa na msongo wa mawazo yasiyo ya lazima basi hakikisha una date na warembo wakali wa kila namna kadri upendavyo lakini chonde chonde usithubutu kuoa mwanamke mzuri tena hasa ukiwa hauna hela ,hapo utakuwa hujamuoa wewe bali umewaolea wenzako.


Msichana mzuri mchezee tu kisha muache ,ukitaka kuoa oa mwanamke wa wastani sio mzuri sio mbaya utafanikiwa sana maishani.
Kutojiamini at its best

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akili za usiku hizi...
Mwanamke yeyote anaweza kuwa Malaya tu mzuri au mbaya...issue umpate mtu mwenye hofu ya Mungu tu pekee...
Uzuri au ubaya wa mtu sio kigezo...kumbuka mwanaume anaweza kudate hata na chizi tu...mradi dushe ipite...
So kigezo ni mwanaume au ke mwenye sifa na tabia nzuri pekeee
 
Tena umesisitiza chonde chonde ....[emoji38] [emoji38]

LOVE ABOVE ALL[emoji173]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom