varavara
JF-Expert Member
- May 29, 2012
- 605
- 488
Wanawake Wazuri Pasua Kichwa, Ila Ndio Hakuna Namna Sasa...Sasa wazuri waolewe na nani?
Wanawake Wazuri Pasua Kichwa, Ila Ndio Hakuna Namna Sasa...Sasa wazuri waolewe na nani?
Nimeipenda hiyo tufanye kweli basiKama unasimamisha sawa kisawa,unaweza kugonga mwanamke.
Na kama nikiamua unaweza kweli kunigonga...
UtumwaUkimiliki kizuri kitakupa changamoto za kutafuta zaidi na mafanikio utayaona...
Ukiwa na mwanamke mzuri:
1. Hataki nyumba ya kupanga. Utajitahidi utajenga.
2. Hataki kutembea kwa miguu. Utajitahidi utanunua usafiri.
3. Hataki maisha ya kuunga unga.. Utajitahidi mara zote uwe nazo..
Cc: mahondaw
Utajikuta unaibaUkimiliki kizuri kitakupa changamoto za kutafuta zaidi na mafanikio utayaona...
Ukiwa na mwanamke mzuri:
1. Hataki nyumba ya kupanga. Utajitahidi utajenga.
2. Hataki kutembea kwa miguu. Utajitahidi utanunua usafiri.
3. Hataki maisha ya kuunga unga.. Utajitahidi mara zote uwe nazo..
Cc: mahondaw
Usijali nitahamia mtandao wako au ukiwa Na simu ya double line poa nitapiga zoteAlieanza kutangaza mpaka tigo huyo!!!aqkhuuu mie airtel
Uzuri ni mtizamo kaka ,unayemuona takataka mwenzako hapati usingizi hukoKatika maisha ukitaka upate mafanikio ya haraka na kuondokewa na msongo wa mawazo yasiyo ya lazima basi hakikisha una date na warembo wakali wa kila namna kadri upendavyo lakini chonde chonde usithubutu kuoa mwanamke mzuri tena hasa ukiwa hauna hela ,hapo utakuwa hujamuoa wewe bali umewaolea wenzako.
Msichana mzuri mchezee tu kisha muache ,ukitaka kuoa oa mwanamke wa wastani sio mzuri sio mbaya utafanikiwa sana maishani.
kama huyukapicha jaman ka mwanamke mzuri na mbaya ili nitofautishe
biblia inasema uzuri ni ubatiliSasa wazuri waolewe na nani?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yule jirani yako wa next door yupo, maana ni kisu sana, sasa mm visu kama vile ndio huwa navihiyaj , nipatie namba yake basihe he he he