Date na mwanamke mzuri ila usioe mwanamke mzuri

Date na mwanamke mzuri ila usioe mwanamke mzuri

Mtume anatuasa tuoe wanawake wazuri...we unatushauri upuuzi...no good advice
 
Hapa kidogo umeandka kinachoeleweka chief,

Nakubaliana na wewe kuoa mwanamke mzuri sana asee ujipange kisaikolojia hasa.

Ila ndo hivyo nshapenda nipo kitanzini tu ss hivi.....

Napambana na hali yangu.
 
100% hebu agiza mznga hapo
Kwa bili yang

Nmejarbu kuona kama
Naweza kuoa mtt mzur lakin
Imenishinda aiseee
Kweli kizur n cha starehee

Mwajuma,aisha,asha ngedere,
Wale ndo hawa hakuna hata
Anae angaika nao kukuchapia

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
ebu walengeshe hao wazuri kwangu nawaoe kama WaPo mkuu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom