Date na mwanamke mzuri ila usioe mwanamke mzuri

Date na mwanamke mzuri ila usioe mwanamke mzuri

Sasa wazuri waolewe na nani?
Wazuri sana huwa wanalewa sifa sana na hivyo kijisikia na kuwa na dharau kea wenza wao wakijiaminisha ni wengi wanaowahitaji. Ukatae usikubali ndo uzoefu unavyotuonesha. Ndiyo maana mleta mada anawakubali ila anasema kuwaweka ndani utapata shida sana nao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG-20170509-WA0020.jpg
 
Nikweli lkn pia siyo kweli.

Kipimo kiwepo cha mzuri na mbaya ili kuondoa utata
 
Katika maisha ukitaka upate mafanikio ya haraka na kuondokewa na msongo wa mawazo yasiyo ya lazima basi hakikisha una date na warembo wakali wa kila namna kadri upendavyo lakini chonde chonde usithubutu kuoa mwanamke mzuri tena hasa ukiwa hauna hela, hapo utakuwa hujamuoa wewe bali umewaolea wenzako.

Msichana mzuri mchezee tu kisha muache , ukitaka kuoa oa mwanamke wa wastani sio mzuri sio mbaya utafanikiwa sana maishani.
mzalishe watoto kila mwaka,

n0 r0se with0ut th0rn
 
Yaani ni kweli kabisa nilipitia warembo wengi sana na wenye Elimu na Kazi Nzuri lakini ni Majuto mtupu nimeoa mwanamke mwenye Elimu ya La Saba na Uzuri wa Kawaida Na Enjoy kweli kweli Siwakumbuki tena Wale Nyodo Style

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazuri wanakuaje jamani...Kwani ukiwaoa mke wa pili Hawafai pia!
 
Kumbe na sie wabaya tuna soko[emoji23], Asante kwa kunipa moyo..maana nilishajikatia tamaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom