Data bundle Tanzania

Data bundle Tanzania

TTCL

2gb - 2,000 Tsh / wiki 1
3gb - 2,500 Tsh / wiki 1
5 GB - 5,000 Tsh / mwezi 1,
 
Mie GB 1.5 za tigo zinanitosha sana kwa sababu sio mtu wa kuangalia angalia video sana,huwa naperuzi mara nyingi

Nazipata kwa sh 5000 tu kwa week
Voda napata GB 1.2 kwa wiki na nyongeza ya dakika 100 voda kwenda voda na dakika 30 mitandao yote na sms 500 japo nahisi situmii hata moja
 

Attachments

  • Screenshot_2020-02-06-17-03-34-1.jpg
    Screenshot_2020-02-06-17-03-34-1.jpg
    24.2 KB · Views: 8
Mimi nazipata kwa 1500
Kwa ss tigo vifurushi vyao ni ushuzi mtupu yn wamebadilisha kila kitu natamani kuitupa chooni laini yao haina mana yyte, yn apa kilichobaki ni mazoea tu ila line hamna, na kwa bundle za kisenge km hz wasahau km ipo cku ntajiunga kwa line yao maamaee
 
Back
Top Bottom