Data bundle Tanzania

Data bundle Tanzania

Mie GB 1.5 za tigo zinanitosha sana kwa sababu sio mtu wa kuangalia angalia video sana,huwa naperuzi mara nyingi

Nazipata kwa sh 5000 tu kwa week
😂😂 Dah! Wewe wamekuweka kitengo Cha "MUFILISI" na watakufilisi tu! Hebu fanya uje halotel hiyo 5000 utapata gb 7 wiki...
 
😂😂 Dah! Wewe wamekuweka kitengo Cha "MUFILISI" na watakufilisi tu! Hebu fanya uje halotel hiyo 5000 utapata gb 7 wiki...
😂😂😂😂😂
Halotel wasumbufu wanataka kitambulisho cha NIDA kwenye usajili,mi nina namba tu
 
Mie GB 1.5 za tigo zinanitosha sana kwa sababu sio mtu wa kuangalia angalia video sana,huwa naperuzi mara nyingi

Nazipata kwa sh 5000 tu kwa week
Duh kweli tgo hawaelewek watu wengine wanapata GB2 kwa 1500/week
 
Angalau halotel wako vzr, unapga *150*88# vocha na vifurushi unachagua 1, me huwa najiunga mara tatu cha buku napata GB 3 bac wiki nzma naenjoy tu video, kuperuzi na speed iko vzr tu co hao wajinga tigo.
Screenshot_2020-02-05-10-48-55.jpeg
 
Back
Top Bottom