Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,873
- 37,650
Ulitaks aseme waTZ mtakufa?Watu wanataka kuambiwa kama Mange " Watanzania hii game tutashinda, Trust Me" fvck this lady
Uko sahihi kabisaa, limedhihirishwa hilo jana.Wapendwa Tembeeleni Kambi za kaki mtaona wenyewe!!
mkiona mahema kwenye hizo Kambi mapya mapya mjue ni maandalizi , maelekezo yamesha toka!!
Take care, Hawa jamaa hawajajifunza!!
"SHOOT TO KILL"
na waliowashoot wamepongezwa na wamehaidiwa vinono!
Watch out
COz of hotubaUmethibitisha fact gani?
Ndio lengo sasa na yeye asivyitaka kufikiri marambili anaona ni sawa kisa ulinzi usWashauri wa bibi wanampoteza mazima
Hakuna njia niliyopotea labda kama wewe ndo uelewa wako mdogo ndo maana mtu anakwambia story ambayo hata muuza kahawa anaijua wewe unaiita factKama hujaelewa umepotea njia.
Kwani wewe ufikiri hawatauwa?COz of hotuba
Nguvuniliyotumika ni halali
Serikali imejipanga.....
Ye slisema ht tar 9 wataua tu rsia
Umeelewa?
Mbona amekiri ss?Alisema hakuna kukiri.
Ulitaks aseme waTZ mtakufa?
Kuna mtu alijua plan ilikua shoot to kill??
Hakuna ubaya kuwa postive
Pia kila mabadiriko yana postivr na negative effect....
Change is inevitable
Huw? Mi sijui
Ila wakati ukuta huwezi kushindana nao!
Ila shost unajua kutupa ya jikoniiiii, japo inaumizaa, ila wee tupee hivyo hivyo sasa tutafanyajeee?/Mwenyewe leo ana cheeeka, ...........
😅😅😅👋 Kilikosekana tu kijora leo😅😂🤣.... Mmechambwa leo🤣🙏(jokes jamani msinune sasa)
Any ways Poleni wapendwa, Iko hvi jumamosi wiki hii tunaanza rasmi
Title ni " The shadow president"
uskose
Enheeee, nawakumbusha....... Safarii hii wamewapa na RPG 😂😂👋 WALE WAKAKI, (Jokes) Sema maelekezo ni asionekane mtu barabarani ana kitu kinaitwa ngoba, ni mwendo wa shoot to kill!!
Kama walivyo mpongeza kwa lakimbili security guard mmoja kwa kumimina za kutosha ndivyo wamehaidiwa zaidi, so watch out!! Stay safe ...
Baadae ntarudi Kuna kajambo kananikereketa sana!!
Sawa sawaMimi nimeongelea hapa, kwasababu Yoga anatoa info. za the otherside, na yanayo endelea.
Sasa kuna watu wanataka kusikia wanachotaka wao kama anavo sema mange wakati sio uharisia.
Mm mwenyewe ni pro - mabadiliko lkn the fact ni kua we must be ready to Die in order to stop SSH otherwise tufanye mambo mengine.
Kwani hukumsikia jana, kawabananga waja kuwa wana ufukara na maisha duni, yaani Pa1 na hao anaowapa takrima.Umaskini mbaya sana, Hivi mtu analipwa laki 2 then anaendelea kubaki huo huo upande?
Nimekopi kwa mtu hapa Jf
Tangu zamani kanisa kuu lilisimamia "transition ya Tanganyika kuwa Tanzania"ndio maana lilimuandaa Burito kambarage nyerere aisimamie hiyo transition!
Sio ajabu Tena kanisa kubwa likimtumia Tundu antipas kufanikisha Tanzania mpya kupitia slogan"no reforms no election"na kweli wamefanikiwa coz mwitikio umekua mkubwa sana Hadi CNN, BBC and co wamepata Cha kuripoti jana na nyie mmemuingiza mtegoni Kwa kumpa matumaini hewa!!
Hayati chuma hakufikia viwango hivi vya kuvuka mstari alipoingizwa mtegoni kama boss lady wa sasa!
Kinachosubiriwa ni transition TU kuelekea Tanzania mpya!coz TEC wamecheza karata zao na mtuhumiwa kakiri kwamba"ilibidi nguvu kubwa itumike ili kuiokoa serikali dhidi ya mapinduzi"hiyo ni kukiri kwamba ilibidi atoe order ya mauaji ya waaandamanaji,kimedani amehalalisha kushughulikiwa kimedani yaani kakiri wazi yeye ni muuaji na alitoa order ya kuua na hao majeshi ya nchi jirani ni yeye aliyaingiza Ili kuua raia wake mwenyewe!
Kifupi ni kwamba kitima ametumika kumuingiza kingi ili vikosi kazi vya kimedani vitumike kumaliza kazi!!
No reforms no election ulikua mtego wa kumuingiza kingi afanye mauaji na mauaji yanahalalisha due process elewa neno due process!!
Nasubiri!
Unaeleweka, mtego ulikuwa wazi sanaNimekopi kwa mtu hapa Jf
Tangu zamani kanisa kuu lilisimamia "transition ya Tanganyika kuwa Tanzania"ndio maana lilimuandaa Burito kambarage nyerere aisimamie hiyo transition!
Sio ajabu Tena kanisa kubwa likimtumia Tundu antipas kufanikisha Tanzania mpya kupitia slogan"no reforms no election"na kweli wamefanikiwa coz mwitikio umekua mkubwa sana Hadi CNN, BBC and co wamepata Cha kuripoti jana na nyie mmemuingiza mtegoni Kwa kumpa matumaini hewa!!
Hayati chuma hakufikia viwango hivi vya kuvuka mstari alipoingizwa mtegoni kama boss lady wa sasa!
Kinachosubiriwa ni transition TU kuelekea Tanzania mpya!coz TEC wamecheza karata zao na mtuhumiwa kakiri kwamba"ilibidi nguvu kubwa itumike ili kuiokoa serikali dhidi ya mapinduzi"hiyo ni kukiri kwamba ilibidi atoe order ya mauaji ya waaandamanaji,kimedani amehalalisha kushughulikiwa kimedani yaani kakiri wazi yeye ni muuaji na alitoa order ya kuua na hao majeshi ya nchi jirani ni yeye aliyaingiza Ili kuua raia wake mwenyewe!
Kifupi ni kwamba kitima ametumika kumuingiza kingi ili vikosi kazi vya kimedani vitumike kumaliza kazi!!
No reforms no election ulikua mtego wa kumuingiza kingi afanye mauaji na mauaji yanahalalisha due process elewa neno due process!!
Nasubiri!
Vikosi kaz vya kimedani viingie kazini noma sana … hap ndio unasikia kitu inaitwaNimekopi kwa mtu hapa Jf
Tangu zamani kanisa kuu lilisimamia "transition ya Tanganyika kuwa Tanzania"ndio maana lilimuandaa Burito kambarage nyerere aisimamie hiyo transition!
Sio ajabu Tena kanisa kubwa likimtumia Tundu antipas kufanikisha Tanzania mpya kupitia slogan"no reforms no election"na kweli wamefanikiwa coz mwitikio umekua mkubwa sana Hadi CNN, BBC and co wamepata Cha kuripoti jana na nyie mmemuingiza mtegoni Kwa kumpa matumaini hewa!!
Hayati chuma hakufikia viwango hivi vya kuvuka mstari alipoingizwa mtegoni kama boss lady wa sasa!
Kinachosubiriwa ni transition TU kuelekea Tanzania mpya!coz TEC wamecheza karata zao na mtuhumiwa kakiri kwamba"ilibidi nguvu kubwa itumike ili kuiokoa serikali dhidi ya mapinduzi"hiyo ni kukiri kwamba ilibidi atoe order ya mauaji ya waaandamanaji,kimedani amehalalisha kushughulikiwa kimedani yaani kakiri wazi yeye ni muuaji na alitoa order ya kuua na hao majeshi ya nchi jirani ni yeye aliyaingiza Ili kuua raia wake mwenyewe!
Kifupi ni kwamba kitima ametumika kumuingiza kingi ili vikosi kazi vya kimedani vitumike kumaliza kazi!!
No reforms no election ulikua mtego wa kumuingiza kingi afanye mauaji na mauaji yanahalalisha due process elewa neno due process!!
Nasubiri!
Utakuwa umetutendea haki tunaokuamini.jumamosi wiki hii tunaanza rasmi
Title ni " The shadow president"
uskose
Umenitisha kiongozi!Nimekopi kwa mtu hapa Jf
Tangu zamani kanisa kuu lilisimamia "transition ya Tanganyika kuwa Tanzania"ndio maana lilimuandaa Burito kambarage nyerere aisimamie hiyo transition!
Sio ajabu Tena kanisa kubwa likimtumia Tundu antipas kufanikisha Tanzania mpya kupitia slogan"no reforms no election"na kweli wamefanikiwa coz mwitikio umekua mkubwa sana Hadi CNN, BBC and co wamepata Cha kuripoti jana na nyie mmemuingiza mtegoni Kwa kumpa matumaini hewa!!
Hayati chuma hakufikia viwango hivi vya kuvuka mstari alipoingizwa mtegoni kama boss lady wa sasa!
Kinachosubiriwa ni transition TU kuelekea Tanzania mpya!coz TEC wamecheza karata zao na mtuhumiwa kakiri kwamba"ilibidi nguvu kubwa itumike ili kuiokoa serikali dhidi ya mapinduzi"hiyo ni kukiri kwamba ilibidi atoe order ya mauaji ya waaandamanaji,kimedani amehalalisha kushughulikiwa kimedani yaani kakiri wazi yeye ni muuaji na alitoa order ya kuua na hao majeshi ya nchi jirani ni yeye aliyaingiza Ili kuua raia wake mwenyewe!
Kifupi ni kwamba kitima ametumika kumuingiza kingi ili vikosi kazi vya kimedani vitumike kumaliza kazi!!
No reforms no election ulikua mtego wa kumuingiza kingi afanye mauaji na mauaji yanahalalisha due process elewa neno due process!!
Nasubiri!
MmhNimekopi kwa mtu hapa Jf
Tangu zamani kanisa kuu lilisimamia "transition ya Tanganyika kuwa Tanzania"ndio maana lilimuandaa Burito kambarage nyerere aisimamie hiyo transition!
Sio ajabu Tena kanisa kubwa likimtumia Tundu antipas kufanikisha Tanzania mpya kupitia slogan"no reforms no election"na kweli wamefanikiwa coz mwitikio umekua mkubwa sana Hadi CNN, BBC and co wamepata Cha kuripoti jana na nyie mmemuingiza mtegoni Kwa kumpa matumaini hewa!!
Hayati chuma hakufikia viwango hivi vya kuvuka mstari alipoingizwa mtegoni kama boss lady wa sasa!
Kinachosubiriwa ni transition TU kuelekea Tanzania mpya!coz TEC wamecheza karata zao na mtuhumiwa kakiri kwamba"ilibidi nguvu kubwa itumike ili kuiokoa serikali dhidi ya mapinduzi"hiyo ni kukiri kwamba ilibidi atoe order ya mauaji ya waaandamanaji,kimedani amehalalisha kushughulikiwa kimedani yaani kakiri wazi yeye ni muuaji na alitoa order ya kuua na hao majeshi ya nchi jirani ni yeye aliyaingiza Ili kuua raia wake mwenyewe!
Kifupi ni kwamba kitima ametumika kumuingiza kingi ili vikosi kazi vya kimedani vitumike kumaliza kazi!!
No reforms no election ulikua mtego wa kumuingiza kingi afanye mauaji na mauaji yanahalalisha due process elewa neno due process!!
Nasubiri!