Bongo tumechoka Amani , viongozi na Raia Wanataka kunyukana tunaona wenzentu Sudan , Congo na Somalia wanafaidi haya ngoja yatukute.Wapendwa Tembeeleni Kambi za kaki mtaona wenyewe!!
mkiona mahema kwenye hizo Kambi mapya mapya mjue ni maandalizi , maelekezo yamesha toka!!
Take care, Hawa jamaa hawajajifunza!!
"SHOOT TO KILL"
na waliowashoot wamepongezwa na wamehaidiwa vinono!
Watch out
So watu wafanye nini?Wapendwa Tembeeleni Kambi za kaki mtaona wenyewe!!
mkiona mahema kwenye hizo Kambi mapya mapya mjue ni maandalizi , maelekezo yamesha toka!!
Take care, Hawa jamaa hawajajifunza!!
"SHOOT TO KILL"
na waliowashoot wamepongezwa na wamehaidiwa vinono!
Watch out
Kwa hiyo???Wapendwa Tembeeleni Kambi za kaki mtaona wenyewe!!
mkiona mahema kwenye hizo Kambi mapya mapya mjue ni maandalizi , maelekezo yamesha toka!!
Take care, Hawa jamaa hawajajifunza!!
"SHOOT TO KILL"
na waliowashoot wamepongezwa na wamehaidiwa vinono!
Watch out
So watu wafanye nini?
Mkuu umeanza kutupanga, Dotto Biteko na magufuli hawana undugu wowote, Wala hawakua poia na urafiki wala ukaribu wowote.Watanzania wajinga sana yaani mtu amejaza wasukuma. Mama akaingia akajaza wazanzibari mpaka wilayani. Rais aliyeanzisha kufukuza kazi bila mchakato. Mama kafukuza wakurugenzi wa TISS wangapi ? Rais aliyependelea kwao, Nenda unguja ukaone palivyobadilika. Rais wa kwanza aliyemteua ndugu yake Biteko kuwa waziri. Mama sasa kaweka mkwe na binti kwenye uwaziri. Ombeni sana Mungu katiba ibadilishe la sivyo Rais ajae mwendo ni ule ule. Matatizo yite yatakayokuja mbeleni yameanzishwa na Magufuli. Watu walianza kutekwa na kupotezwa kipindi chake.
Hili la watu kuanza kutekwa wakati wa magufuli si kweli. Watu waneanza kutekwa toka zamani, mwandishi Stan katabalo alitekwa na kupotezwa baada ya kuandika habari za loliondoWatanzania wajinga sana yaani mtu amejaza wasukuma. Mama akaingia akajaza wazanzibari mpaka wilayani. Rais aliyeanzisha kufukuza kazi bila mchakato. Mama kafukuza wakurugenzi wa TISS wangapi ? Rais aliyependelea kwao, Nenda unguja ukaone palivyobadilika. Rais wa kwanza aliyemteua ndugu yake Biteko kuwa waziri. Mama sasa kaweka mkwe na binti kwenye uwaziri. Ombeni sana Mungu katiba ibadilishe la sivyo Rais ajae mwendo ni ule ule. Matatizo yite yatakayokuja mbeleni yameanzishwa na Magufuli. Watu walianza kutekwa na kupotezwa kipindi chake.
Mkuu nilikutajia mwandishi Stan Katabalo hii ilikua enzi ya nwinyiDr Ulimboka alitekwa na akapatikana nitajie watu waliotekwa na kupotea kabla ya Magufuli.
Dotto ni mpwa kwa Magufuli mtoto wa dada yakeMkuu umeanza kutupanga, Dotto Biteko na magufuli hawana undugu wowote, Wala hawakua poia na urafiki wala ukaribu wowote.
mahema yameandaliwa kwa ajili ya nani kwenye hizo kambi?Wapendwa Tembeeleni Kambi za kaki mtaona wenyewe!!
mkiona mahema kwenye hizo Kambi mapya mapya mjue ni maandalizi , maelekezo yamesha toka!!
Take care, Hawa jamaa hawajajifunza!!
"SHOOT TO KILL"
na waliowashoot wamepongezwa na wamehaidiwa vinono!
Watch out
Kwamba Sasa hayatatumika mabegi ya kwenye majumba yenye nembo ya alama ya msalaba na nyoka Tena!!! Maana mahema yanazuia picha kupigwa kutoka angani!!!hizo Kambi
asylum for all kakis and their famillies living in the society, they have been told to live in those hemas from first Dec till further notice since their intelligence told them their the target!!mahema yameandaliwa kwa ajili ya nani kwenye hizo kambi?
Hofu yao tu, Watanzania hawawezi kufanya hayo, roho hizo wanazo wao.Nope, measures to protect their fellow kakis and their families,
Hata USA mpaka wanafika pale walichapana sanaWhat a disgrace, tunashabikia sijui timu magu na timu blaablaa wakati tunaoumia ni sisi raia wa kawaida, eti timu flani hawajausoma mchezo, kuna wapumbavu wengi hapa mkipewa nafasi mtatupeleka kuzimu na sio shimoni.
Wamechochea nini na wamemchochea nanNi kweli ila kwa upande fulani ni wachochezi
Bahati nzuri watanganyika wa sasa sio wa miaka ya 60 huko, hawa hawaogopi kifo, kawataarifu kina Kizimkazi hatutarudi nyuma.asylum for all kakis and their famillies living in the society, they have been told to live in those hemas from first Dec till further notice since their intelligence told them their the target!!
Hawatakuwa wa kwanza wao watu walianza kufa kipindi cha kina kinjektireWaage kabla ya kutoka hyo siku, ikiwa ni pamoja na kuandika WOSIA
Wapendwa Tembeeleni Kambi za kaki mtaona wenyewe!!
mkiona mahema kwenye hizo Kambi mapya mapya mjue ni maandalizi , maelekezo yamesha toka!!
Take care, Hawa jamaa hawajajifunza!!
"SHOOT TO KILL"
na waliowashoot wamepongezwa na wamehaidiwa vinono!
Watch out
Wanaolinda usalama wa raia na mali zao uniform zao ni rangi gani?? Mbona code nyepesi hyoHii code ya kaki imenitos mchezoni