Dark days 17/03/20...

Swali gum kwangu hili mkuu jibu lake sina
Mwanachama yetote wa "The Club of Rome" huyo lazima huwa ni pia ni wa 'Illuminati" hawa huwa ni watu wenye ushawishi mkubwa katika siasa za nchi zao na za kikanda.

Hata wakitoka madarakani bado huwa wana majukumu ya kudumu ya kufanya kuendana na matakwa ya wakati ya siasa za nchi zao, za kikanda, na pia hata za kidunia. Mtanzania aliyekuwa na "degree" za juu kidogo ni Mzee wa Lupaso, ila huyu sina uhakika sana naye, ila taarifa za mitandandao ya Kenya zinasema ameshafikia tayari ya kumi.
 
Mwanachama yetote wa "The Club of Rome" huyo lazima huwa ni pia ni wa 'Illuminati" hawa huwa ni watu wenye ushawishi mkubwa katika siasa za nchi zao na za kikanda. Hata wakitoka madarakani bado huwa wana majukumu ya kudumu ya kufanya kuendana na matakwa ya wakati ya siasa za nchi zao, za kikanda, na pia hata za kidunia.
Thanks mkuu kwa kunielimisha
 
Mwanachama yetote wa "The Club of Rome" huyo lazima huwa ni pia ni wa 'Illuminati" hawa huwa ni watu wenye ushawishi mkubwa katika siasa za nchi zao na za kikanda. Hata wakitoka madarakani bado huwa wana majukumu ya kudumu ya kufanya kuendana na matakwa ya wakati ya siasa za nchi zao, za kikanda, na pia hata za kidunia.
Ila kama hutojali mkuu naomba fafanua hapo ,THE CLUB OF ROME, ipo vipi hii, na watu hujiungaje huko ? Thanks
 
Mwanachama yetote wa "The Club of Rome" huyo lazima huwa ni pia ni wa 'Illuminati" hawa huwa ni watu wenye ushawishi mkubwa katika siasa za nchi zao na za kikanda.

Hata wakitoka madarakani bado huwa wana majukumu ya kudumu ya kufanya kuendana na matakwa ya wakati ya siasa za nchi zao, za kikanda, na pia hata za kidunia. Mtanzania aliyekuwa na "degree" za juu kidogo ni Mzee wa Lupaso, ila huyu sina uhakika sana naye, ila taarifa za mitandandao ya Kenya zinasema ameshafikia tayari ya kumi.
mbenge shukurani kwa jibu.
Kwa Mr BTHongera zake au pole yake.
Na vipi Degrees za Illuminat na Freemasons ni gapi hasa?
 
Mwanachama yetote wa "The Club of Rome" huyo lazima huwa ni pia ni wa 'Illuminati" hawa huwa ni watu wenye ushawishi mkubwa katika siasa za nchi zao na za kikanda.

Hata wakitoka madarakani bado huwa wana majukumu ya kudumu ya kufanya kuendana na matakwa ya wakati ya siasa za nchi zao, za kikanda, na pia hata za kidunia. Mtanzania aliyekuwa na "degree" za juu kidogo ni Mzee wa Lupaso, ila huyu sina uhakika sana naye, ila taarifa za mitandandao ya Kenya zinasema ameshafikia tayari ya kumi.
Ulipo sema "The Club of Rome" umenikumbusha mbaaali sana, enzi hizo za Gazeti la Tazama, safu ile mwandishi Gideon akiandika maswala ya Freemasons, Gazeti hili sijui lilikufa au bado lipo?
 
THE CLUB OF ROME
1713168131499.png
 
Back
Top Bottom