Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,174
- 27,219
Ultra sound unapiga lini?Mkuu unauliza kuwa kama Jiwe ni muuaji aliniua lini ili hali unajua niko hai, sidhani kama uko serious.
Ultra sound unapiga lini?Mkuu unauliza kuwa kama Jiwe ni muuaji aliniua lini ili hali unajua niko hai, sidhani kama uko serious.
Kaka umemalizaWewe ni mtu wa ajabu sana, huko juu umemsema mwenzako kwamba anatoa lugha za matusi ila cha kushangaza nawewe unanaanza kuwatolea lugha chafu na kuwatukana wenzio badala ya kujibizana kwa Facts.
Personal Values ni mkusanyiko wa mambo yote ambayo mtu fulani anaona kwake ya faida na umuhimu kama vile imani, dini, tamaduni, mila,ideas, nk nk. Kila mtu ana Values zake kwenye maisha basi haina budi kumuheshimu mtu na values zake katika masha.....Haiwezekani kipimo cha akili duniani iwe kuwa mfuasi wa mbowe au chadema.
Na kipimo cha ujinga iwe Kuunga mkono mambo aliyofanya JPM which are of course Superb, never ever in this Crazy world
Mungu alipotuumba kila mtu alimpatia Free Will yaani kila mtu achague mtindo wake aupendao wa kuishi duniani na Mungu mwenyewe anaheshimu kila chaguzi ya anayofanya mwanadamu katika maisha ndio maana hua hatuingilii katika machaguzi na maamuzi yetu ya maisha.
Sasa wewe kwanini uone wenzako ni wajinga,maskini na wapumbavu kisa tu They didn't feed your ego. Heshimu values za na machaguzi watu kama Mungu anavyoyaheshimu sio lazima wote tupende mtu mmoja au kitu kimoja, hiyo ndio demeokrasia amabayo CDM imekua ikiihubiri sasa nashangaa watu wakiifuata mnawadhihaki.. Nashindwa kuelewa mnataka nini nyie binaadamu wenzangu....Kama mtu hujapenda anachokipenda basi wewe waache ondoka zako kama utashindwa kubishana nao kwa hoja.
Lazima tutofautiane mitazamo na preferences hicho ndio kinatufanya tuwe binaadamu na sio robot ambao wapo coded kuExcute a certain Task.
Binafsi kama ingekua ili JPM arudi basi mtu inatakiwa ajitolee uhai wake ningekua tayari kufanya hivyo with proud. I'll love and appreciate JPM Here and Hereafter. On this life or the Next.
Respect, You need to give it out to others. If you wat to receive it
View attachment 2236192
Umesikia habari za huko Ghana!? Mama kapokea tunzo ya JPM, vp unajisikiaje hali yako Sasa!?Mkuu unauliza kuwa kama Jiwe ni muuaji aliniua lini ili hali unajua niko hai, sidhani kama uko serious.
Pole sana kwa kushindwa kuelewa jambo dogo kama hilo, mama ndiye kasema tuzo hiyo angepewa Jiwe. Wewe unasema tuzo ya jiweUmesikia habari za huko Ghana!? Mama kapokea tunzo ya JPM, vp unajisikiaje hali yako Sasa!?
malyenge mpaka leo post zote na riwaya hujajua Old CEO ndiye Born town?Old CEO ns Mr. Born town ni watu wawili tofauti....
Hahahahaa. Watu mna ununda konki.Sawa mkuu, uko sahihi na nakubaliana na wewe. Kuna wengine Jiwe kwetu tunamuona kama muuaji, mwizi na mtu muongo muliko wote, lakini kama ulivyosema siyo lazima kila mtu amwone katika mtizamo huo.
Hata mimi namuona muuaji,mwizi na muongo. Maisha ni mwandiko, unaandika,wanaokuzunguka wanakusoma.Unamuona Jiwe Kama muuaji, alikuua lini!? Mwizi alikuibia nini!? Muongo alikuongopea nini!!?? Kua mkweli usifuate mkumbo!!!
Duh Bora Mwendazake katangulia huko jehanamu hata mkaa wake hsubski, kaua sana, alikua hataki hata kukosolewa, atakuondoa tu.Hata mimi namuona muuaji,mwizi na muongo. Maisha ni mwandiko, unaandika,wanaokuzunguka wanakusoma.
Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Lile Kaburi linafanyiwa usafi kweli siku hizi,Allency natamani nimuajiri awe anadeki choo changu cha nje.
Lile Kaburi linafanyiwa usafi kweli siku hizi,
kazikwe pale jirani lisije sahaulika km la Mobutu seseseko kuku wa zabanga
naona footnote yako ya mahaba
"Rais Wangu Dkt. J.P.Magufuli 2015–2025" "Upinzani ulikufa 2015" "CCM inapendwa kwa 100%"
Nimekuona bwege sana kupitia hii comment.Usiwe na roho ya kimasikini. Fanya kazi kwa bidii utafanikiwa tu na unyonge utakutoka. Tatizo lako kubwa ni unyonge ndiyo maana unadhani tuliofanikiwa tumepiga dili, mara sijui vyeti feki. Amka mkuu hizo ni propaganda tu na mara nyingi masikini ndiyo wanaamini kirahisi. Amini nakuambia kama bank una 20 million na kuendelea hata siku moja huwezi kumeza propaganda za watawala hata kidogo. Fanya kazi kama umachinga au kazi kama yako, kauli kama vyeti feki, ufisadi, kupiga dili halitakutoka mana kila aliyefanikiwa wewe utakuwa unamini kafanikiwa kutoka kwenye vitu kama hivyo. Je wajua yule aliyetaka kujua PhD ya Jiwe kama ni genuine au laha kilichomkuta?
Kweli leo nimeaamini,Mama ana akili kubwa kuliko Chawa wake! Chawa wa Mama wao wanawaza kusifia tu kutokana na chuki tu kutoka kwa Mtangulizi wake, ndiyo maana saa zingine Mama ana wa crush Chawa wake maana wanasifia hadi wanapitiliza ule uhalisia wenyewe!!!Pe sana kwa kushindwa kuelewa jambl dogo kama hilo, mama ndiye kasema tuzo hiyo angepewa Jiwe. Wewe unasema tuzo ya jiwe
Kifupi una akili kama za Jiwe
Hakuna nataka, ni mtazamo wako mkuuNimekuona bwege sana kupitia hii comment.
Kwishinea!!