Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 81,084
- 93,908
Waliambiwa na marehemu wafyatue haswaHii spidi za kuzaana Kama mbwa hatutakaa tusonge mbele… 4 years back shule za kata zilizidi kuwa nyingi kuliko idadi ya wanaohitajika Leo itabidi tuongeze hizo shule zaidi ya zilizopo!
Serikali itakua inacheza kushoto kulia kila siku kazi ipo!
Watanzania wanazaliana Kama mchwa maendeleo itakua ni ndoto!