Ruge Opinion
JF-Expert Member
- Mar 22, 2006
- 1,838
- 707
Hatakuwa DC wa kwanza wa darasa la saba. JK aliishamteua mwingine anaitwa Hawa Ngulume. Alivurunda kila mahali alipopelekwa mwishowe akamtema.
darasa la mtu si hoja katika ngzi fulani za uongozi kama ma dc wa bongo wanakazi gani zaidi ya kutimiza yale aliyoagizwa,unahitaji gigrii kuwa dc wa serikali ya ccm? Kuna kazi awapo wilayani wakati mkurugenzi ndiye mtaalam wa mipangoi ya maendeleo ya ccmndugu wana jamii katika kile kinachoonekana kulipana fadhila ndani ya serikali hii, aliyekuwa mbunge wa chalinze 2005-2010 ramadhani a maneno, alishindwa vibaya kwenye kura za maoni mwaka 2010 baada ya kuwadanganya wapiga kura wake kwamba angejiendeleza kielimu,na hakufanya hivyo, mpaka anateuliwa mkuu wa wilaya ya kigoma elimu yake ni darasa la saba_____________tafakari.
inaweza ikawa ni kuwadhihirishia wale wanaosema kuwa DC sio kazi ya kuwagharimu walipa kodi. Na kizuri zaidi safari hii imeeleweka zaidi kuwa ni wawakilishi wa CCM na wala sio wananchi kwa ujumla wao.
Kibaya zaidi ni kuwa hii tume ya Katiba imeshaanza kuleta mashka mashaka na huenda katika mapendekezo yao wasikifute hiki cheo!
Hivi hawa wasomi wetu tunaojitapa nao wamelisaidiaje Taifa letu?
Huyu jamaa alimaliza degree ya social works mwaka 2010 pale chuo cha ustawi. Tuandike vitu baada ya kufanya utafiti. Sio kila mtu aliyeteuliwa hana uwezo. Au ulitaka uteukiwe wewe.
Ndugu wana jamii katika kile kinachoonekana kulipana fadhila ndani ya serikali hii, aliyekuwa mbunge wa chalinze 2005-2010 RAMADHANI A MANENO, alishindwa vibaya kwenye kura za maoni mwaka 2010 baada ya kuwadanganya wapiga kura wake kwamba angejiendeleza kielimu,na hakufanya hivyo, mpaka anateuliwa mkuu wa wilaya ya KIGOMA elimu yake ni DARASA LA SABA_____________TAFAKARI.
Ndugu wana jamii katika kile kinachoonekana kulipana fadhila ndani ya serikali hii, aliyekuwa mbunge wa chalinze 2005-2010 RAMADHANI A MANENO, alishindwa vibaya kwenye kura za maoni mwaka 2010 baada ya kuwadanganya wapiga kura wake kwamba angejiendeleza kielimu,na hakufanya hivyo, mpaka anateuliwa mkuu wa wilaya ya KIGOMA elimu yake ni DARASA LA SABA_____________TAFAKARI.
Ni kweli kabisa jamaa ana bachelor degree ni social work kwa tuwe tunaandika vitu tulivyo na uhakika.
sina uhakika na uwezo wake wa kuongoza lkn kuhusu chuo Ni kweli kabisa jamaa ana bachelor degree ni social work na sio darasa la saba tuache upotoshaji kwa hyo tuwe tunaandika vitu tulivyo na uhakika.
siyo degree mkuu alimaliza diploma pale CBE hata magazeti yalipublish nnayo nakala hapa ya mwananchi!
Ndugu wana jamii katika kile kinachoonekana kulipana fadhila ndani ya serikali hii, aliyekuwa mbunge wa chalinze 2005-2010 RAMADHANI A MANENO, alishindwa vibaya kwenye kura za maoni mwaka 2010 baada ya kuwadanganya wapiga kura wake kwamba angejiendeleza kielimu,na hakufanya hivyo, mpaka anateuliwa mkuu wa wilaya ya KIGOMA elimu yake ni DARASA LA SABA_____________TAFAKARI.
Yule mzenji?????
Weee, jamaa ni wabishi kule balaa...Ndo maana amepelekwa KIGOMA,,,,,NO CHALLENGES OVA THERE
penye red hayo ni mawazo mfu hivi mtu akiongea kingereza ndo msomi?kwa hiyo wale chokaraa wa mitaani uganda wanaongea kiingereza nao ni wasomi?mhhh. kazi kwelikweli, kama ni darasa la 7 kwelikweli atakuwa hata ung'eng'e haupandi! na ikitokea wakija wageni kutembelea wilaya yake kutoka ng'ambo atakuwa anawakimbia kama mshikaji wangu fulani ambaye ni mwenyekiti wa halmashauri na ni standard 7 lever anapatashida sana wakija wageni lazima atakula kona na kumwachia kazi makamu mwenyekiti wa halmashauri ambaye ni form 4 amsaidie kazi
mhe. kanyunyu una hakika na ulichokiandika? bw. maneno alikuwa mbunge wa jimbo la chalinze katika bunge lililopita na minimum qualification ya ubunge ni elimu ya kidato cha nne, ni vipi angeukwaa ubunge bila kuwa na elimu hiyo. kumbuka huyu aligombea na omary madega kwenye kura za maoni ndani ya ccm mwaka 2005 ambaye kwa vyovyote asingenyamaza angemlipua tu maneno kama kweli ni darasa la saba. bunge lililopita mbunge pekee aliyefahamika kutokuwa na elimu ya kidato cha nne ni samwel chitalilo aliyekuwa mbunge wa buchosa. wapiga kura walimfungulia kesi ya kudanganya kuhusu elimu yake lakini kwasababu ambazo hazijulikani kesi hiyo haikufanikiwa.