bhikola
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,130
- 1,660
Ndugu wana jamii katika kile kinachoonekana kulipana fadhila ndani ya serikali hii, aliyekuwa mbunge wa chalinze 2005-2010 RAMADHANI A MANENO, alishindwa vibaya kwenye kura za maoni mwaka 2010 baada ya kuwadanganya wapiga kura wake kwamba angejiendeleza kielimu,na hakufanya hivyo, mpaka anateuliwa mkuu wa wilaya ya KIGOMA elimu yake ni DARASA LA SABA_____________TAFAKARI.
Kanyunyu acha kutumia makalio kuwaza/ kufikiri wewe, na nataka nikwambie wazi kuwa hakuna correlation relation kati ya elimu na utendaji
Maprofesa tulionao wametusaidia nini tanzania, kama siyo kutuibia tu! Angalia kagame anavyoijenga Rwanda anatofautiana sana na huyu ziro wenu anayekimbilia kuitwa dk kwa phd za kupewa. anamawazo mgando kama yako kuwa akiitwa dr basi atakuwa kama slaa kwasababu naye ni dr.
angalia maprofesa wanavyoshindwa kuongoza hata familia zao tu (tembelea vyuo vikuu uone familia za wasomi zilivyogawanyika), hujiulizi kwanini ndoa nyingi zinavunjika mijini kuliko na wasomi na si vijijini waliko darasa la saba na f4 wa kata? sasa mtu anayeshindwa kuongoza familia (mke 1, watoto 2, haousegirl 1, na mbwa, na kuku kadhaa) ataweza kuongoza watz?