Darasa la Prof. Kabudi Halikuwa la Lazima!

Darasa la Prof. Kabudi Halikuwa la Lazima!

Unajua kitu!!!!!! ????ni kwamba hoja iliyobaki kwa wapinzani hasa chadema ni kimsingizia rais kuwa anavunja katiba ya nchi !! Only that!!! Na kwa sababu wanajua Wa Tanzania wengi siyo wasomi na wengi ni wavivu Wa kufikiri wanajua 2020 watakuja na hoja hiyo potofu kwa wananchi hasa vijana wasiyotumia akili kufikiri na waloyoshiba mahaba feki !!!Kusema kweli kwa sasa hawana hoja na siyo threat kwa Serikali au chama tawala!!! Na hii inatimiza utabili Wa Dr Slaa kuwa upinzani usipotafuta hoja nyengine utakufa!!! This is now happening slowly!!! Huwezi pata popularity kwa kimsingixia rais
 
Mkuu sio wote wako busy na uongozi.. kuna wengine sisi majiniaz tunapenda siti za nyuma "chilling"...joking. sio kila kipanga anataka kuwa kiongozi.. plus vipanga wako busy na mambo makubwa sana hawana hata muda wa kupoteza kuwa kiongozi..
Ndio kama hawa kina Prof Kabudi? Na mbona wakiteuliwa hawakatai?
 
Hakuna suala la kudhania hapa kwa sababu, uzoefu umeonesha wazi watu katika kulinda madaraka yao wapo tayari hata kuyapinga yale ambayo waliyaamini na kuyasimamia kwa miaka kadhaa!!!

Humphrey Pole Pole wakati akiwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba; alipiga kelele sana kuhusu nafasi ya Ukuu wa Wilaya to the point hakuna ambae alidhania ingetokea siku Pole pole angekuja kukubali nafasi ya u-DC kwa bashasha!!

Kitila Mkumbo, wakati akiwa Mshauri wa ACT Wazalendo na Mhadhiri wa DUCE, alimkosoa JPM kwa tabia yake ya kufanya uteuzi zake kwa Wahadhiri wa Vyuo kwa kile alichodai hatua hiyo ya JPM inapunguza nguvu kazi ya watoa taaluma vyuo vikuu!!!

Siku JPM alipomteua Kitila Mkumbo kuwa Katibu Mkuu; watu tulimtarajia angeikana nafasi hiyo kwa sababu ilikuwa inapunguza nguvu kazi ya watoa taaluma lakini kinyume chake, Mkumbo nae alifurahia kweli kweli uteuzi huo!!!

Dk. Harrison Mwakyembe kila mmoja alimshuhudia alivyokuwa anayakana maandiko yake mwenyewe wakati wa kikao cha Bunge la Katiba!!! Mwakyembe aliliazimika kuyakana maandiko yake kwa sababu tu ya kulinda uwaziri wake!!!!

Siku anateuliwa Profesa Kabudi niliwaambia watu tusubiri viroja vya msomi mwingine atakavyokuwa anayakana yake aliyokuwa anayasimia! And for real, it's just a matter of time na Kabudi nae ataingia kundi hilo hapo juu!!!

Mifano ipo mingi ambayo yote hiyo inathibitisha jambo moja tu: HAKUNA SUALA LA KUDHANIA hapa bali ndio uhalisia wenyewe unless kama huyo Kaimu Jaji Mkuu ni very exceptional!!!

Sasa, Kaimu Jaji Mkuu nae haitashangaza hata kidogo kuona anachotamani yeye sio kubakia kuwa Kaimu Jaji Mkuu bali kuwa Jaji Mkuu kabisa!! I hate to say this, lakini uzoefu umeshaonesha JPM hayupo tayari kufanya kazi na mtu anayezingua kwa sababu yoyote ile!!!! Hata pasipo na sababu za maana, atakuondoa!!!

Kama ndivyo, kwanini basi nae Kaimu Jaji Mkuu asiwe very cautious na utendaji wake ambao bila shaka anaota siku moja awe Jaji Mkuu kabissa badala ya kukaimu nafasi hiyo?!
Ulitaka.Mheshimiwa Profess Kitila (PhD) akatae "ulaji"'ang'ang'ane na chaki? Unajua Marupurupu ya KM vs Mathieu chuo kikuu cha umma TZ?
 
Tundu lisu amekutana na gwiji. Hata mmutee vipi anapwaya alikuwa anapewa kiki na wasiojua sheria. Sasa kaja mwenyewe. Ila nilikuwa nasikia siku nyingi sana kuwa tundu lieu hajui sheria Bali ni mwanaharakati tu Wa sheria na mpayukaji pasipo kujua lolote ndo mana kabudi kasema mwanasheria yeyote anapaswa kuwa na busara siyo kila kitu kinatatuliwa na sheria bali jamii nabethics sake.
Kocha na mchezaji nani anayecheza vizuri uwanjani.
Unaweza kumpanga Morinho kuichezea Man U
 
Hoja ya lissu mbona iko wazi kabisa...hajasema kuwa rais amekosea..anachosema lissu ni kuwa sheria zetu/katiba hazijaweka limit ya kuwa na acting chief Justice

Kitu ambacho kinaweza kuwa na madhara...hivi hebu chukulia kwa mfano rais aendelee kuwa na kaimu jaji hadi mwaka 2020.....hili jambo lin athari katika utendaji wa jaji

Kwa bahati mbaya Watu wengi huwa hamumuelewi Lisu kwa kipindi hicho anaongea...mnakuja kumuelewa baada ya miezi kadhaa au miaka kadhaa kupita
Basi haeleweki. Mbona Kabudi kaeleweka?
 
Unajua kitu!!!!!! ????ni kwamba hoja iliyobaki kwa wapinzani hasa chadema ni kimsingizia rais kuwa anavunja katiba ya nchi !! Only that!!! Na kwa sababu wanajua Wa Tanzania wengi siyo wasomi na wengi ni wavivu Wa kufikiri wanajua 2020 watakuja na hoja hiyo potofu kwa wananchi hasa vijana wasiyotumia akili kufikiri na waloyoshiba mahaba feki !!!Kusema kweli kwa sasa hawana hoja na siyo threat kwa Serikali au chama tawala!!! Na hii inatimiza utabili Wa Dr Slaa kuwa upinzani usipotafuta hoja nyengine utakufa!!! This is now happening slowly!!! Huwezi pata popularity kwa kimsingixia rais
this is too low mkuu
Ndio kama hawa kina Prof Kabudi? Na mbona wakiteuliwa hawakatai?
 
Hakuna suala la kudhania hapa kwa sababu, uzoefu umeonesha wazi watu katika kulinda madaraka yao wapo tayari hata kuyapinga yale ambayo waliyaamini na kuyasimamia kwa miaka kadhaa!!!

Humphrey Pole Pole wakati akiwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba; alipiga kelele sana kuhusu nafasi ya Ukuu wa Wilaya to the point hakuna ambae alidhania ingetokea siku Pole pole angekuja kukubali nafasi ya u-DC kwa bashasha!!

Kitila Mkumbo, wakati akiwa Mshauri wa ACT Wazalendo na Mhadhiri wa DUCE, alimkosoa JPM kwa tabia yake ya kufanya uteuzi zake kwa Wahadhiri wa Vyuo kwa kile alichodai hatua hiyo ya JPM inapunguza nguvu kazi ya watoa taaluma vyuo vikuu!!!

Siku JPM alipomteua Kitila Mkumbo kuwa Katibu Mkuu; watu tulimtarajia angeikana nafasi hiyo kwa sababu ilikuwa inapunguza nguvu kazi ya watoa taaluma lakini kinyume chake, Mkumbo nae alifurahia kweli kweli uteuzi huo!!!

Dk. Harrison Mwakyembe kila mmoja alimshuhudia alivyokuwa anayakana maandiko yake mwenyewe wakati wa kikao cha Bunge la Katiba!!! Mwakyembe aliliazimika kuyakana maandiko yake kwa sababu tu ya kulinda uwaziri wake!!!!

Siku anateuliwa Profesa Kabudi niliwaambia watu tusubiri viroja vya msomi mwingine atakavyokuwa anayakana yake aliyokuwa anayasimia! And for real, it's just a matter of time na Kabudi nae ataingia kundi hilo hapo juu!!!

Mifano ipo mingi ambayo yote hiyo inathibitisha jambo moja tu: HAKUNA SUALA LA KUDHANIA hapa bali ndio uhalisia wenyewe unless kama huyo Kaimu Jaji Mkuu ni very exceptional!!!

Sasa, Kaimu Jaji Mkuu nae haitashangaza hata kidogo kuona anachotamani yeye sio kubakia kuwa Kaimu Jaji Mkuu bali kuwa Jaji Mkuu kabisa!! I hate to say this, lakini uzoefu umeshaonesha JPM hayupo tayari kufanya kazi na mtu anayezingua kwa sababu yoyote ile!!!! Hata pasipo na sababu za maana, atakuondoa!!!

Kama ndivyo, kwanini basi nae Kaimu Jaji Mkuu asiwe very cautious na utendaji wake ambao bila shaka anaota siku moja awe Jaji Mkuu kabissa badala ya kukaimu nafasi hiyo?!
Kwa jinsi mlivyotuaminisha Lowassa ni fisadi hatukutarajia mumkaribishe kwenye Sacco's yenu achilia mbali kuwa mgombea kwenu na kumsafisha
 
Hoja ni kwamba jaji mkuu akiwa kaimu basi anaweza kupindisha sheria na kujaribu kujipendekeza ili apate ujaji mkuu.
 
Nimesikiliza kwa makini kile kinachoitwa "darasa" la Prof. Kabudi jana Bungeni kuhusiana na suala la Kaimu Jaji Mkuu na hasa hoja nzima ya kukaimiwa kwa nafasi ya Jaji Mkuu. Inasikitisha kwanza kwamba kuna watu wanasifia kuwa ametoa "darasa" na kwamba watu walikuwa wanamsikiliza kama wanafunzi katika Shule ya Msingi Mtakuja!

Je, ni kweli kile alichokisema watu walikuwa hawakijui? Ni kweli wabunge na wanasheria walioko Bungeni walikuwa hawajui yale yaliyokuwa yanasemwa?

Kuna hoja ya kuuliza swali; kwamba - kwanini Rais amemteua mtu kukaimu Ujaji Mkuu kwa muda wote huu. Swali ambalo halipaswi kuulizwa na tulilikataa wakati ule ni kuhusu mamlaka ya Rais kumteua mtu kukaimu Ujaji Mkuu. Hili liko ndani ya mamlaka ya Rais (Presidential prerogative). Lakini pia swali hili kwa ukubwa wake halipaswi kuulizwa isipokuwa kisiasa (political question) ili watu kupata hoja za kisiasa au ujiko wa kisiasa. Kwamba, mtu anataka kuonesha kuwa Magufuli amekosa mtu wa kuwa jaji mkuu, au kwamba Magufuli ana tatizo na mahakama n.k. Hili si jambo sahihi; wabunge kama wanaona Rais anatumia muda mrefu kujaza nafasi ya jaji mkuu wana uwezo wa kubadilisha sharia na hata Katiba chini ya Ibara ya 100 ya Katiba yetu.

Kama wanataka nafasi ya Jaji Mkuu isikaimiwe indefinitely (kama hoja ya Lissu ilivyoashiria) namna pekee ni kubadilisha Katiba au sheria ili kuweka kikomo kama ilivyo katika baadhi ya nafasi za utumishi wa umma ambapo sheria inasema mtu atakaimu nafasi kwa muda fulani na baada ya hapo basi mtu wa kudumu ateuliwe au aliyekaimu athibitishwe. Wao wabunge (watunga sheria na wanaoweza kufanya mabadiliko ya Katiba) wanaweza kuweka kikomo labda kwa ajili ya mustakabali)

Kama kwa mfano Rais angejaza cheo cha Ujaji siku moja tu baada ya Jaji Othman kustaafu wapo ambao labda wangeweza kuja na hoja ya kwanini amejaza nafasi haraka bila kuonesha tafakari sana au klutumia muda kufanya utafiti wa kutosha! Lakini pia kuna swali ambalo inabidi liulizwe kwa wale wanaolalamikia - kwa Rais kuweka Kaimu Jaji Mkuu ni shughuli gani ya Mahakama Kuu ambayo haiwezi kufanyika sasa hivi kwa vile kuna kaimu Jaji Mkuu au ni kitu gani hakifanyiki katika mahakama Kuu na Mahakama ya Rufani ambacho kinapaswa kufanywa na jaji mkuu peke yake. Hili ndilo linaweza kuwa hoja ya kwanini inahitajika Jaji Mkuu na siyo Kaimu Jaji Mkuu?

Lakini kung'ang'ania kitu ambacho wote wanajua hakipo - kwamba Rais hajavunja sheria wala Katiba, na kuwa hakuna kikomo cha muda kilichowekwa kwa hoja ya kuwa ni mazoea mapya haitoshi kuwa hoja.

Lakini wapo ambao wanasema kuwa kwa kutomthibitisha Kaimu Jaji basi Kaimu Jaji anaweza asifanye anayotakiwa kufanya kwa kuhofia kuiudhi mamlaka ya uteuzi. hilo si wazo sahihi katika utawala. Unapokaimu nafasi unakuwa na madara yote ambayo unayo kwa mujibu wa kukaimu kwako. Hakuna hoja ya kumridhisha mtu au la. Makamu wa Rais anapokaimu nafasi ya Urais wakati Rais hayupo kwa mujibu wa sharia ana madara yote ambayo ameruhusiwa kuwa nayo kwa mujibu wa Katiba. Na hili ni kweli kwa mtu mwingine yeyote ambaye Rais anaweza kumpa nafasi ya kukaimu jambo lolote kwa niaba yake. Mtu yeyote professional hajali sana kama atamfurahisha mtu au la atafanya kwa mujibu wa madaraka aliyopewa. Mtu ambaye atajali kuwa akifanya jambo Fulani atamuudhi aliyemteua au chombo cha juu hafasi kushika nafasi hiyo.

Somo ambalo Kabudi angepaswa kulitoa na labda wengi wanalihitaji kulielewa ni hili la Presidential prerogatives..
Darasa lilikuwa poa.
Jamaa aliwapa watu vipande vyao.
Ila yule mzee anapenda sana sifa ya kuwa msomi kuliko wenzie.
Huwa anapenda kuwaambia wanafunzi wake kuwa C yake ni bora kuliko A ya wahadhir wengine wote![emoji87]
 
..Mchakato wa KUMTUMBUA Kaimu Jaji Mkuu ni sawa na ule uliotumika kumtumbua Mwele Malecela.

..Jaji Mkuu kamili huwezi kumuondoa bila kushirikisha jopo la majaji wa jumuiya ya madola.

..hapo ni wazi kabisa dikteta uchwara atapendelea mhimili wa mahakama uongozwe na mtu anayeweza kumtumbua wakati wowote ule.
Yaani tangu mjue neno "dikteta uchwara" hatuli hatulali. Ila mmeshindwa kutuambia fisadi ni nani baada ya kumchukua Lowassa
 
Inategemea, kwangu mimi lilikuwa ni muhimu kwani nimejifunza mengi ambayo sikuyafahamu, siyo tu kuhusu mambo ya uteuzi wa Jaji bali kwa mfano sikujua kwamba Raisi wa AK hachaguliwi na Wananchi kama wetu bali huchaguliwa na Bunge, na kwamba Chama kiko juu ya raisi wa AK na kinaweza kumuondoa madarakani kama Mbeki alivyoondolewa, hivyo nimejua tofauti ya Raisi wa AK na wetu na zipi limitations za mifumo yote miwili n.k.

Hivyo leo hii siwezi kuanza kumlinganisha Raisi wa JMTZ na Raisi wa AK kwa mfano kwani najua ni vyeo viwili vinavyofanana lkn ni tofauti!
MM sijui ndio utu uzima unamwandama au uelewa wake na wale wengine au na sisi ni tofauti na Prof kabudi alipokuwa anatoa darasa alikuwa hatoi kwa wabunge tu bali hata kwa mimi mtu wa uswazi,na ndio maana tunataka bunge liwe mubashara ili tujifunze mambo kama hayo aliyosema Kabudi ,kuwa bungeni hakuwafanye wabunge kuwa weledi wa mambo ya sheria au mambo ya kidunia.kwa hakika Prof.ametoa somo murua ndio maana waheshimiwa walituliwa kama wanafunzi wa Mtakuja
 
Hoja ya lissu mbona iko wazi kabisa...hajasema kuwa rais amekosea..anachosema lissu ni kuwa sheria zetu/katiba hazijaweka limit ya kuwa na acting chief Justice

Kitu ambacho kinaweza kuwa na madhara...hivi hebu chukulia kwa mfano rais aendelee kuwa na kaimu jaji hadi mwaka 2020.....hili jambo lin athari katika utendaji wa jaji

Kwa bahati mbaya Watu wengi huwa hamumuelewi Lisu kwa kipindi hicho anaongea...mnakuja kumuelewa baada ya miezi kadhaa au miaka kadhaa kupita
Haya tusaidie wewe athari zitakazotokea
 
Kwa jinsi mlivyotuaminisha Lowassa ni fisadi hatukutarajia mumkaribishe kwenye Sacco's yenu achilia mbali kuwa mgombea kwenu na kumsafisha
Mawazo ya hovyo hovyo ambayo badala ya kujikita kwenye hoja, hukimbilia kwenye viroja!!!

"...mlivyomkaribisha...!" Hao waliomkaribisha ambao mimi ni mmoja wao ni akina nani?!
 
Darasa lilikuwa poa.
Jamaa aliwapa watu vipande vyao.
Ila yule mzee anapenda sana sifa ya kuwa msomi kuliko wenzie.
Huwa anapenda kuwaambia wanafunzi wake kuwa C yake ni bora kuliko A ya wahadhir wengine wote![emoji87]
Huyo ndie kiboko cha yule jamaa mwanasheria/mmiliki wa lile gazeti la pale Mango,enzi hizo akiwa katibu mkuu wa vijana wa afrika alipoambiwa bwana ee hebu mpishe Kabudi jamaa alianza zengwe lakini hatimae akakubali yaishe.
 
Yaani tangu mjue neno "dikteta uchwara" hatuli hatulali. Ila mmeshindwa kutuambia fisadi ni nani baada ya kumchukua Lowassa

Msimamo wangu ni huu na haujabadilika.

..Lowassa ni fisadi ( Richmond).

..Dikteta uchwara ni fisadi ( kuuza nyumba za serikali na kununua meli mkweche).

..Chenge ni fisadi ( ununuzi wa rada).

..
 
Mwana Kijiji kakuuliza ni shughuli gani iliyokwama kutekelezeka kwa sababu kwa sasa hatuna Jaji Mkuu!? Ni ipi hiyo shughuli inayomshinda Kaimu Jaji mkuu wetu wa sasa kuitekeleza, kisa tu, si jaji mkuu!?
Kwa maana hiyo siyo lazima kuwa na Jaji Mkuu, siyo?
 
Ulitaka.Mheshimiwa Profess Kitila (PhD) akatae "ulaji"'ang'ang'ane na chaki? Unajua Marupurupu ya KM vs Mathieu chuo kikuu cha umma TZ?
Kwani ni mimi ndie nilikuwa napinga JPM kuteua Wahadhiri?! Si ni Kitila huyo huyo....

Sasa kama unatangaza hadharani kwamba Kitimoto ni haramu!!! Tunatarajia nini pale wewe mwenyewe siku ukipewa kitimoto?!
 
Back
Top Bottom