Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,427
- Thread starter
- #81
Ni kweli kabisa. Dunia imeshatambua kuwa Tanzania ni dictatorship. Hakuna demokrasia huko Tanzania.Mkorinto and Naton Jr,
Hapo mlikuwa bado mna heshimika kabla ya mchakato wa uchaguzi kuanza na kihitimika 28 October 2020 Tanganyika na Zanzibar.
Sasa ni ukurasa mpya ambapo CCM Mpya ndani ya nchi, kikanda na kimataifa kuelekea 2025 dunia inawatazama kwa mtazamo wa sura nyingine baada ya mask / kinyago kuvuliwa 28 October 2020 na ukweli wa utawala wa CCM Mpya kuwa peupe hadharani kuhusu masuala ya demokrasia, haki , uhuru n.k ambalo ni suala mtambuka mpaka ktk biashara, uwekezaji na diplomasia.