Hoshea
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 5,415
- 3,761
Kwa sasa hata mfumue hiyo SGR yote na kuanza upya au kusitisha kabisa haijalishi kitu maana mlizima upinzani, hakuna wa kuhoji tena, na mtakoma miaka mitano ijayo.......muhimu muonje nini moto wa kuishi bila ya mtu yeyote kuhoji madudu yanayotendeka.
Mkae mkishuhudia namna Kenya inavyopepea ndio mpate akili....
We jamaa ni mburura mpaka nakosa la kukujibu