Daraja la SGR la Tanzania labomolewa

Kwa sasa hata mfumue hiyo SGR yote na kuanza upya au kusitisha kabisa haijalishi kitu maana mlizima upinzani, hakuna wa kuhoji tena, na mtakoma miaka mitano ijayo.......muhimu muonje nini moto wa kuishi bila ya mtu yeyote kuhoji madudu yanayotendeka.
Mkae mkishuhudia namna Kenya inavyopepea ndio mpate akili....

We jamaa ni mburura mpaka nakosa la kukujibu
 
Daraja la Nkuramah kama sijakosea ndio limebomolewa upande mmoja wa support,kukamilika ni ngumu sana Seth na Rugememarira wamekataa kukiri kosa hivyo pesa ya kumalizia hakuna sehem nyingine ya kutoa, ikimbukwe fedha kutoka kwa wafanyabisahara zimechukuliwa zote mradi haukuisha, fedha kutoka Bureau zote zilichukuliwa mradi haujaisha kwa sasa tunasubiri pesa kutoka Mbinguni
Tutapata za Joe Biden mkuu, aliyekuwa anatuletea gozigozi na kutuita shit hole countries katimuliwa Ikulu kama mwizi
 
Pita na ukicha wako kule mekaa kama vicha nisinge pigia kura tahir mm yani kujenga ofisi mnachukua miaka 25 bado ni bora ya choo changu uko hapa unaongea ujinga tu...
Hapa sasa ndiyo nimekuekewa kwamba ni wale wale mapimbi mlioshikiwa akili pale lumumba.
 
Tony254
Uchaguzi Tanzania 2020 umevurugwa na itaongezea miradi mingi mikubwa kama SGR kushindwa kukamilika ndani ya muda uliopangwa kutokana na wadau-wa-Maendeleo toka nje kukerwa na mchakato mzima wa uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2020 hivyo kuzuia grants, loans, PPP financing projects n.k

Ripoti ya Mhandisi wa TRC mwaka 2019 Mradi wa SGR kuchukua angalau miaka 15 kukamilika :

29 October 2020

TUMEPANGA KUNUNUA VICHWA VYA TRENI 39, TUNATAKA TRC IWE MFANO AFRIKA


Source : TRC RELI TV
 
Tony254
Uchaguzi Tanzania 2020 umevurugwa na itaongezea miradi mingi mikubwa kama SGR kushindwa kukamilika ndani ya muda uliopangwa kutokana na wadau-wa-Maendeleo toka nje kukerwa na mchakato mzima wa uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2020 hivyo kuzuia grants, loans, PPP financing projects n.k

Ripoti ya Mhandisi wa TRC mwaka 2019 Mradi wa SGR kuchukua angalau miaka 15 kukamilika :

29 October 2020

TUMEPANGA KUNUNUA VICHWA VYA TRENI 39, TUNATAKA TRC IWE MFANO AFRIKA


Source : TRC RELI TV


umekaa wapi unasubiri ulichoandika kitimie dada yangu???

utazeekea hapo.kimsingi ndio inakwenda kujengwa miradi mikubwa kuliko wakati wowote nchini.
 
umekaa wapi unasubiri ulichoandika kitimie dada yangu???

utazeekea hapo.kimsingi ndio inakwenda kujengwa miradi mikubwa kuliko wakati wowote nchini.

GeoPolitics ya CCM Mpya kuifanya Tanzania taifa-kubwa imefeli kwa CCM Mpya kuibomoa nafasi yake Tanzania kuwa eneo la kimkakati kiuchumi, kisiasa na kikanda kwa CCM Mpya kuibomoa nyumba yake mwenyewe kama inavyosimuliwa ktk Biblia kuwa mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.

Nini CCM Mpya katika uhalisia imefanya kuiua nafasi hiyo? Tanzania imejijingea maadui wa kufikirika kikanda mfano kikanda, kimataifa imetafuta mabeberu wa kufikirika ambao ni maruhani, ndani ya nchi imeua demokrasia, uhuru na haki na hivyo kukimbiza wawekezaji wa ndani, wawekezaji wa kikanda na wawekezaji wakubwa wa kimataifa.
Geopolitics : politics, especially international relations, as influenced by geographical factors.
 
GeoPolitics ya CCM Mpya kuifanya Tanzania taifa-kubwa imefeli kwa CCM Mpya kuibomoa nafasi yake Tanzania kuwa eneo la kimkakati kiuchumi, kisiasa na kikanda kwa CCM Mpya kuibomoa nyumba yake mwenyewe kama inavyosimuliwa ktk Biblia kuwa mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.

Nini CCM Mpya katika uhalisia imefanya kuiua nafasi hiyo? Tanzania imejijingea maadui wa kufikirika kikanda mfano kikanda, kimataifa imetafuta mabeberu wa kufikirika ambao ni maruhani, ndani ya nchi imeua demokrasia, uhuru na haki na hivyo kukimbiza wawekezaji wa ndani, wawekezaji wa kikanda na wawekezaji wakubwa wa kimataifa.
Wawekezaji wanakimbizwa kwa style hii?

 
GeoPolitics ya CCM Mpya kuifanya Tanzania taifa-kubwa imefeli kwa CCM Mpya kuibomoa nafasi yake Tanzania kuwa eneo la kimkakati kiuchumi, kisiasa na kikanda kwa CCM Mpya kuibomoa nyumba yake mwenyewe kama inavyosimuliwa ktk Biblia kuwa mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.

Nini CCM Mpya katika uhalisia imefanya kuiua nafasi hiyo? Tanzania imejijingea maadui wa kufikirika kikanda mfano kikanda, kimataifa imetafuta mabeberu wa kufikirika ambao ni maruhani, ndani ya nchi imeua demokrasia, uhuru na haki na hivyo kukimbiza wawekezaji wa ndani, wawekezaji wa kikanda na wawekezaji wakubwa wa kimataifa.
Wawekezaji wanazidi kukimbia kweli

 
GeoPolitics ya CCM Mpya kuifanya Tanzania taifa-kubwa imefeli kwa CCM Mpya kuibomoa nafasi yake Tanzania kuwa eneo la kimkakati kiuchumi, kisiasa na kikanda kwa CCM Mpya kuibomoa nyumba yake mwenyewe kama inavyosimuliwa ktk Biblia kuwa mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.

Nini CCM Mpya katika uhalisia imefanya kuiua nafasi hiyo? Tanzania imejijingea maadui wa kufikirika kikanda mfano kikanda, kimataifa imetafuta mabeberu wa kufikirika ambao ni maruhani, ndani ya nchi imeua demokrasia, uhuru na haki na hivyo kukimbiza wawekezaji wa ndani, wawekezaji wa kikanda na wawekezaji wakubwa wa kimataifa.
Wawekezaji wa akimbia sio mchezo

 
GeoPolitics ya CCM Mpya kuifanya Tanzania taifa-kubwa imefeli kwa CCM Mpya kuibomoa nafasi yake Tanzania kuwa eneo la kimkakati kiuchumi, kisiasa na kikanda kwa CCM Mpya kuibomoa nyumba yake mwenyewe kama inavyosimuliwa ktk Biblia kuwa mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.

Nini CCM Mpya katika uhalisia imefanya kuiua nafasi hiyo? Tanzania imejijingea maadui wa kufikirika kikanda mfano kikanda, kimataifa imetafuta mabeberu wa kufikirika ambao ni maruhani, ndani ya nchi imeua demokrasia, uhuru na haki na hivyo kukimbiza wawekezaji wa ndani, wawekezaji wa kikanda na wawekezaji wakubwa wa kimataifa.
Wawekezaji wanatimka

 
Kilicho bomolewa sio daraja ni upande moja wa cable stayed bridge sababu ya muingiliano pale kamata ikumbukwe kuna flyover inatakiwa kujengwa , kuna meter gauge inapita chini pia SGR viaduct so ikaleta shida jinsi ya kujenga flyover , wakati unapiga domo ujue viaduct ilianza kujengwa kabla ya design ya flyover
Kama ndivyo basi tukubali kwamba hapo kuna uzembe kwa sababu mradi wa Flyover ya KAMATA unafahamika since 2014... sasa how come leo tunaambiwa ikaleta shida ya kujenga flyover wakati hilo suala linafahamika for years now?!
 
GeoPolitics ya CCM Mpya kuifanya Tanzania taifa-kubwa imefeli kwa CCM Mpya kuibomoa nafasi yake Tanzania kuwa eneo la kimkakati kiuchumi, kisiasa na kikanda kwa CCM Mpya kuibomoa nyumba yake mwenyewe kama inavyosimuliwa ktk Biblia kuwa mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.

Nini CCM Mpya katika uhalisia imefanya kuiua nafasi hiyo? Tanzania imejijingea maadui wa kufikirika kikanda mfano kikanda, kimataifa imetafuta mabeberu wa kufikirika ambao ni maruhani, ndani ya nchi imeua demokrasia, uhuru na haki na hivyo kukimbiza wawekezaji wa ndani, wawekezaji wa kikanda na wawekezaji wakubwa wa kimataifa.
Wawekezaji ndukii

 
GeoPolitics ya CCM Mpya kuifanya Tanzania taifa-kubwa imefeli kwa CCM Mpya kuibomoa nafasi yake Tanzania kuwa eneo la kimkakati kiuchumi, kisiasa na kikanda kwa CCM Mpya kuibomoa nyumba yake mwenyewe kama inavyosimuliwa ktk Biblia kuwa mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.

Nini CCM Mpya katika uhalisia imefanya kuiua nafasi hiyo? Tanzania imejijingea maadui wa kufikirika kikanda mfano kikanda, kimataifa imetafuta mabeberu wa kufikirika ambao ni maruhani, ndani ya nchi imeua demokrasia, uhuru na haki na hivyo kukimbiza wawekezaji wa ndani, wawekezaji wa kikanda na wawekezaji wakubwa wa kimataifa.
Unaongea kama kakako lisunge...sasa subiri wanaume wakuonyeshe kazi....sita shanga ukiwa bado fukara ...sababu kitu unajua ni kuplay safe
 
Uchunguzi wangu wa kina umebaini kuwa kuna sehemu la daraja la SGR hapo Dar limebomolewa. Hii ni kwa sababu ya planning mbaya ya serikali ya Tanzania.

Mnajenga miradi ovyo ovyo bila kukaa chini na kufanya planning. Sasa daraja la reli linabomolewa kwa sababu linakinga flyover.

Hili daraja lililobomolewa litachukua zaidi ya mwaka moja kulijenga tena. Mradi huu ulikuwa ukamilike mwaka uliopita lakini sasa sioni ukikamilika hadi Yesu arudi.

Yaani kilomita 200 ya reli imewashinda kabisa kujenga na bado mnataka kushindana na Wakenya? Mbona msimalize ujenzi wa kilomita hizi chache kabla hamjakuja huku kulinganisha

Watu walio Dar wekeni picha.

Aha haaa
That's not a news. It's not uncommon, it can happen anywhere at any point in time.
 
Mkorinto and Naton Jr,
Hapo mlikuwa bado mna heshimika kabla ya mchakato wa uchaguzi kuanza na kihitimika 28 October 2020 Tanganyika na Zanzibar.

Sasa ni ukurasa mpya ambapo CCM Mpya ndani ya nchi, kikanda na kimataifa kuelekea 2025 dunia inawatazama kwa mtazamo wa sura nyingine baada ya mask / kinyago kuvuliwa 28 October 2020 na ukweli wa utawala wa CCM Mpya kuwa peupe hadharani kuhusu masuala ya demokrasia, haki , uhuru n.k ambalo ni suala mtambuka mpaka ktk biashara, uwekezaji na diplomasia.
 
umekaa wapi unasubiri ulichoandika kitimie dada yangu???

utazeekea hapo.kimsingi ndio inakwenda kujengwa miradi mikubwa kuliko wakati wowote nchini.
Wewe huwa una tabia mbaya ya kubatiza kila mwanaume huku JF kuwa mwanamke. Nani amekuambia kuwa bagamoyo ni mwanamke? Hii sio mara ya kwanza wewe kufanya hivi.
 
Mkuu acha wapumbavu waropoke. hii shule uliyowapa umepoteza nguvu zako bure. Tunawaambia kuwa tayari imeisha hiyooo na kibaraka wao tayari kafungiwa chumbani ubalozini. Yanayoendelea huko, hatujui.

Yule jamaa anatafuta kiki, lkn bado ngoma inadunda.
😛😛😛
 
Back
Top Bottom