Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,492
- 7,962
Daraja la Kigamboni ambalo linaunganisha mji wa Kigamboni limekusanya bilioni 83 kama tozo za kuvuka daraja kwa miaka saba iliyopita.Daraja la Kigamboni lilijengwa kwa gharama ya $ 135 bilioni(337.5 bilioni)na kuwa la aina yake Afrika Mashariki.
Daraja la Nyerere ni mradi wa pamoja kati ya Serikali na NSSF. Mkurugenzi wa NSSF, Masha Mshomba amesema kwasasa daraja hilo linakusanya wastani wa bilioni 1.2-1.3 ambayo ni kama milioni 41 kwa siku.
Pamoja na ombi la kujirudiarudia la mbunge wa Kigamboni kuomba wananchi wapite bure, jambo hilo liligonga mwamba baada ya Rais Samia kusema limejengwa kwa mkopo na lazima urejeshwe.
Daraja la Nyerere ni mradi wa pamoja kati ya Serikali na NSSF. Mkurugenzi wa NSSF, Masha Mshomba amesema kwasasa daraja hilo linakusanya wastani wa bilioni 1.2-1.3 ambayo ni kama milioni 41 kwa siku.
Pamoja na ombi la kujirudiarudia la mbunge wa Kigamboni kuomba wananchi wapite bure, jambo hilo liligonga mwamba baada ya Rais Samia kusema limejengwa kwa mkopo na lazima urejeshwe.