macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 22,085
- 40,194
Bongo, sehemu serikali inatoza tozo wakikuambia kwa siku wanakusanya fedha milioni moja, inabidi uzidishe hicho kiasi mara mbili kisha ujumlishe na robo yake ili upate makusanyo halisi.Ndogo au ni kubwa haifikiki?
Binafsi naona hata hiyo 41m per day ni ndogo