Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,404
Tena mpaka uzidishe mara mbili ndo upate hela ya mboga..... ahahahhahaha hii nchi hii...!!Mbona 50m ni hela ndogo sana.
Pesa hiyo hata Nyumba hujengi labda Banda.
Tena mpaka uzidishe mara mbili ndo upate hela ya mboga..... ahahahhahaha hii nchi hii...!!Mbona 50m ni hela ndogo sana.
Pesa hiyo hata Nyumba hujengi labda Banda.
Mbona 50m ni hela ndogo sana.
Pesa hiyo hata Nyumba hujengi labda Banda.
inategemea na mkoa ulioko.. kule kwetu m50 unajenga nyumba kama mbili na ushee.Mbona 50m ni hela ndogo sana.
Pesa hiyo hata Nyumba hujengi labda Banda.
Hata sahani za disposable nyingine zinaweza kutumika mara zaidi ya moja, punguza maswali mkuu!Je lina uimara?swali lingine la kujiuliza uzito unaotakiwa kupita ktk daraja hilo ni ton ngapi?
Tunapangiana kuuliza maswali tena.....Hata sahani za disposable nyingine zinaweza kutumika mara zaidi ya moja, punguza maswali mkuu!
Twambie wewe mkuu, usahihi ni upi? gharama iliyotumika ni sahihi ama waliotoa hii taarifa walijamulia wao tu bila kufanya utafiti ama vp?Non sense., usilolijua litakusumbua. Nenda halmashauri uombe Bill of Quantities ndio urudi na majungu yako hapa.
ukihoji utahojiwa kiongozi!Tunapangiana kuuliza maswali tena.....
North koreaaa hii
Hili jINA LINATUCHANGANYA KWANI TAARIFA YA AWALI ILISEMA LITAITWA Jenepher so so ...Wamelibatiza jina la kichefuchefu ukipita unanesanesa kama upo mziki
Hakuna designer, bali aliye paste. Yapo mangi tu tangu enzi za mkoloni, sijui ka lile la Kondoa mjini bado lipo.Nani designer wa hilo daraja!?