Shindu Namwaka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 4,911
- 3,080
Milioni 54 kha.!
Ni mwendo wa kupigwa changa
Ni mwendo wa kupigwa changa
INATIA HAMASA NA FARAJA KUONA WATU WANAOOTA KAMA SISI...250 MLNS BANDA LA MBWA..HUYO MWINGINE 50MLNS ANAJENGA BANDA SIJUI LA NINI.HAYA NDIO MAWAZO YETU YANAPOISHIA KIAFRIKA AFRIKA.HUYU WA MWISHO WA 250 KWA BANDA LA MBWA SAAFI SANA.UMEMPATIA JAMAA VYEMA SANA SAANA.MABANDA YANGU YA KUKU KIDOGO YALINGANE NA WEWE WA 250MLNSNi kweli mkuu hela ndogo sana hiyo kulinganisha na hela iliyo tumia kagharamikia banda langu la Mbwa maana lilini cost 250 Mil
Mtoa UZI una uhakika na unachosema maana upotoshaji adhabu yake unaijua
hapa kazi tuuccm ccm ccm
swissme
Hili ndilo la Wilayani Rungwe?
Ila mkuu wewe ni wa muda mrefu humu ila mpaka leo hujajua kuanzisha thread? Thread ipo kama chipsi kavu...
KiteputepuWamelibatiza jina la kichefuchefu ukipita unanesanesa kama upo mziki
Kweli elimu ni jambo muhimu mmnooo.. Hebu cheki na hao wananchi wamejitokeza kushuhudia uzindipuzi wa hilo daraja..
Nitarudi baadaye.
Wapite tu hawajakatazwa Mkuu kwikwiKwahiyo wenye magar hawapiti