Mama yangu mawazo yako ni mazuri sana, mie mwanao sina wasi wasi na wewe mama yangu. Mie la kuongeza hapo, mchakato wa ukusanyaji pesa ufanyike mapema, ili kuweza kupanga taratibu zinafota ili sherehe ifanyike katika muda muafaka.
Napenda kuja kama nitakuwepo. Na napenda kuwakaribisha Wadada kati ya 5 na 10 ambao watathibitisha kuja na nitawatolea. Wadada wakiwa wengi Wakaka watakuja tu.
Kazi mojawapo nitakayofanya ni kuhamasisha michango JF ili tusiishie kula na kunywa tu maana JF pia inahitaji msaada wenu na pesa mnazo.
Kama vipi mmechukia basi mi siji tena!
bora umaintain anonymity maana lara na Ciello watavunjana miguu
stay blessed my good son. nakupenda mwanangu.
khaaa! nani akatae ofa kama hii lol!
haya mm namba moja utanilipia sawa?? kisa adhabu yako uniambie kwann salam zangu za new yr hukujibu?? tatu niambie kwann sim yako haipatikan wakati kuna ishu muhimu nilitaka kuongea na wewe??
sitaki hela yakoNapenda kuja kama nitakuwepo. Na napenda kuwakaribisha Wadada kati ya 5 na 10 ambao watathibitisha kuja na nitawatolea. Wadada wakiwa wengi Wakaka watakuja tu.
Kazi mojawapo nitakayofanya ni kuhamasisha michango JF ili tusiishie kula na kunywa tu maana JF pia inahitaji msaada wenu na pesa mnazo.
Kama vipi mmechukia basi mi siji tena!
location yako imenitega mwali karibu sana, hapa kulipia muhimu lol!
nitafurahije sasa kukuona???
Nitolee mimi wa kwanza!!!!!! Nitakuja i promise!
yaani ina maana wewe haujamliza mshiko maskukuu yote haya?! Kweli Mungu ni mzuri, nna overdraft nmb sina hamu!Ujue nini mama, mlitakiwa mkusanye michango mapema sana, unajua watumishi wa serikali hadi kufikia tarehe 15 au 10 watakua wagumu sana kutoa hiyo pesa ( 20000 ) ni kheri kufanya mapema kabla hawajamaliza pesa zao.
Poa (just to note am a SHE):glasses-nerdy: