JF imekua kama kijiwe cha kahawa tu siku hizi!! Hili nayo thread?!!!!Wakuu kwanza poleni kwa joto kali la usiku wa kuamkia leo.
But kuna jambo la ziada jana usiku.
Usiku wa jana ulikua mrefu sana kuliko mchana, jee ni hili Jua la Ikweta ndio chanzo au ni mawenge yangu tu?
Maana kila nikishituka usingizini nakuta kimyaaaaaa!!!!
Mpotezee huyoAhsante kwa comment..
Siamini macho yangu kwa huo mchapio, khaa! hebu sema tena ulitaka kumaanisha nini..!Kuna siku nililala na njoo lol niliona hapakuchi kabisa
[emoji23] [emoji23] [emoji15] alilala na NJOO cha kushukuru hakuchapia akasema alilala na nyooSiamini macho yangu kwa huo mchapio, khaa! hebu sema tena ulitaka kumaanisha nini..!
Ni kwel mkuu nunua net naona mbu wanakuamsha kila saaWakuu,
Kwanza poleni kwa joto kali la usiku wa kuamkia leo.But kuna jambo la ziada jana usiku.Usiku wa jana ulikua mrefu sana kuliko mchana, je ni hili Jua la Ikweta ndio chanzo au ni mawenge yangu tu?
Maana kila nikishituka usingizini nakuta kimya!
kwani Wonderful yule mwanamke ulompata JF hamjapelekana kwa kuhani kweli??Hahaaahaaaa Jamaa yetu alikuwa na mchepuko guest, tena mke wa mtu
mda si mrefu .......[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] Lowassa leo kasalimika Mungu mkubwa
Wakuu,
Kwanza poleni kwa joto kali la usiku wa kuamkia leo.But kuna jambo la ziada jana usiku.Usiku wa jana ulikua mrefu sana kuliko mchana, je ni hili Jua la Ikweta ndio chanzo au ni mawenge yangu tu?
Maana kila nikishituka usingizini nakuta kimya!
Wakuu,
Kwanza poleni kwa joto kali la usiku wa kuamkia leo.But kuna jambo la ziada jana usiku.Usiku wa jana ulikua mrefu sana kuliko mchana, je ni hili Jua la Ikweta ndio chanzo au ni mawenge yangu tu?
Maana kila nikishituka usingizini nakuta kimya!
Wakuu,
Kwanza poleni kwa joto kali la usiku wa kuamkia leo.But kuna jambo la ziada jana usiku.Usiku wa jana ulikua mrefu sana kuliko mchana, je ni hili Jua la Ikweta ndio chanzo au ni mawenge yangu tu?
Maana kila nikishituka usingizini nakuta kimya!
kwa kawaida tarehe 21march na 23september jua huwa ikweta,na katika kipindi hicho mchana na usiku huwa sawa,kwa swali lako ki sayansi si kweli kuwa usiku ulikuwa mrefu labad kwa sababu zako binafsi kama msongo wa mawazo,ukosefu wa fedha nk vinaweza kuchangiaWakuu,
Kwanza poleni kwa joto kali la usiku wa kuamkia leo.But kuna jambo la ziada jana usiku.Usiku wa jana ulikua mrefu sana kuliko mchana, je ni hili Jua la Ikweta ndio chanzo au ni mawenge yangu tu?
Maana kila nikishituka usingizini nakuta kimya!
ndio maana ya hoja mchanganyiko,waache watiririke mkuuJF imekua kama kijiwe cha kahawa tu siku hizi!! Hili nayo thread?!!!!