Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,485
- 34,788
Usinambie hamo mavi alikuwa anafukua tope la majizo , ?? 🤣Kuna faili lake na Majizo ni vile watu wanamlindia heshima majizo tu lingeachiwa pia 😂😂😂
Usinambie hamo mavi alikuwa anafukua tope la majizo , ?? 🤣Kuna faili lake na Majizo ni vile watu wanamlindia heshima majizo tu lingeachiwa pia 😂😂😂
Mimi sio mzee mwenzako unikome! Rayvanny alituma screenshot zenye maandishi tu na sehemu za picha alificha.Zee zima huna hata akili ya ku reason
sasa nimejichukua video
lakini je nani kazivujisha?
Huoni waliingilia privacy ya mtu?
watu wengine mnatia aibu
Maana yake Mwijaku alimchukua video Menina, ila hii ya Harmonize atasema hizo video zimetokaje kwake? Sababu akikubali alimtumia Paula tayari anakuwa amesambaza.
Rayvanny anacheza kama Messi, kijeba akijakustuka ameshazama. tatizo kijeba anaenda na kelele za insta hatumii ubongoHaya mambo ya kupelekwa polisi kila wakat rayvanny itam Cost na kumuaribia Cv ataonekana ako na shida sehemu, kila siku tu yeye polisi , naomba Mungu leo alale Hata I Night nitafurah sana hiz mbwa zimezid umbea, Boss wao aliyewatuma safar hii watanyooka
Inamtosha kununua bundleyani anachofanya ni kaz bure ,kesi za mtandaoni faini zake haizidi million 5
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mnapenda kuchanga mambo, ni ugomvi wa Rayvanny na Harmonize, na mkumbuke hapo Rayvanny anajibu ule waraka wa Mmakonde uliojaa unafiki mwingi
Mkuu hiyo ni exclusive aina muda itapelekwa mjini game bado mbichi hii na uzuri kijeba anapita mule mule kwenye script 😂😂Usinambie hamo mavi alikuwa anafukua tope la majizo , ?? 🤣
Safari hii atashitak masela wote kitaa, 😂😂 Sisi kazi yetu ni kushareMkuu hiyo ni exclusive aina muda itapelekwa mjini game bado mbichi hii na uzuri kijeba anapita mule mule kwenye script 😂😂
Siku ukipata mtu wa kukufikisha orgasim utanielewa
sawa sisi hatuna akili nyie wenye akili mmepiga step gani za maisha....mnashindwa wasaidia mama zenu huko mbeya wapate mahali pazuri pa kujistiri mnajiita wajanja,Toka day one tunawaambia wanaomshabikia Hamo hawana akili ni mbumbumbu hata management yake imejaa viazi watupu. Walikuwa wanasifia mboo ya Hamo sasa hvi wanalialia tu na V Vanny Boy anavyoupiga mwingi
wamlipe kwa mujibu wa sheria zipi?
Nani kafanya black mail ,? yeye ameshajitengenezea dhana ya kwamba he can't move without WCB scandle ,.... Alianza kumparamia Rayvanny Kwa walaka mreeefu , sasa WCB watampa anachotaka but in negative way ..... Yeye atulie afanye mziki sio kufata fata watu nyuma kama ma nzi .....mbona akina Marioo type yake wapo wanafanya vyema...
kaka una stress tafuta mpunga akili ipoesawa sisi hatuna akili nyie wenye akili mmepiga step gani za maisha....mnashindwa wasaidia mama zenu huko mbeya wapate mahali pazuri pa kujistiri mnajiita wajanja,
mbumbumbu mwingine ambae anakaa na baba wa kambo na kumhudumia kabisa hapo kamsahau aliemkuza na anaona hadi mapaja ya bi mkubwa wake ila amaona its fine...
Sasa kama kashikwa hizi threads mnazopambana kuporomosha kila baada ya dakika za nini wewe kiazi ??Mpaka sasa anajua kashikwa wapi ndio maana anaangaika mara nyimbo mara polisi. Tulia utazame mchezo wewe mlupo.
Tunapondaponda kichwa tumalize kazi
Baada ya muda mtaelewa, game imechezwa kikubwa hii imeacha mhaho kwa kijebaKwa jinsi threads ziko nyingi inaelekea kichwa hakimaliziki kirahisi,wewe sijui ndio Rayvanny,kwa kutaka revenge inaonyesha Konde kuwashtaki kiliwauuuumaaa,sasa hivi Kondeboy usiachie mpaka Vanny boy mtu mzima awekwe selo,yaani hata kulala lala week nzima police....