DAR: Rais Kabila awasili Tanzania

DAR: Rais Kabila awasili Tanzania

Kaja kujaribu kusafisha jina lake huku maana Magufuli anakubalika Afrika nzima sasa hivi kama president ambaye sio corrupt, huyu Kabila nasikia uchaguzi wao wameuahirisha hadi 2018, toka lini uchaguzi ukawa cancelled miaka miwili, hehehe! anataka akomae kuendelea ka Mugabe au yule jamaa wa Uganda.
 
The birds of the same feathers .......... ........
 
Hawa ndio watu wa karibu wa mtukufu..Kagame..museven..kabila....kazi ipo
 
Jamani!! ndege mbovu lini tena wakati ni mpya? hebu tumpongeze Rais wetu jamani kwa kutuletea ndege ili ATCL yetu ianze kuchanja mbuga.
Mkuu hata nimeziona hizo ndege zaidi ya mtandaoni?
Siwezi kukiri kuwa ni mbovu kwani cna uhakika wa tetesi hizi, acha watu waongee ck zitawaumbua
 
Upo karne mbili za fikra nyuma! Hivi unajua ni mamilioni mangapi ya wazungu mate yanawatoka kwa Congo DRC! You are very naiive!
Kwa hiyo mtu pekee Congo nzima wa kudhibiti mate ya wazungu juu ya nchi hiyo ni Joseph Kabila tu? Wewe ni li..pumba kabisa. Suppose akifa leo ingawa hiyo ni mipango ya Mungu ina maana Congo DR inauzwa kwa wazungu papo hapo?
 
Back
Top Bottom