muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,995
- 15,056
Nimechanganya Ni maana mwaka 2018!..Sasa mkuu hapo kasogeza mbele au karudisha nyuma au ulikuwa na maana nyingine......!!!??
Nimechanganya Ni maana mwaka 2018!..Sasa mkuu hapo kasogeza mbele au karudisha nyuma au ulikuwa na maana nyingine......!!!??
Next time ukilipa kodi TRA waambie pesa yako isitumike kuonesha mapokezi ya viongozi wa nchi rafiki wakimbelea nchini.Hapa nashuhudia television ya Taifa ikionesha mapokezi ya Rais kabila moja kwa moja, je kuna umuhimu gani wa kodi za Watanzania kutumika kuonesha hayo mapokezi moja kwa moja huku Bunge live likishindwa kuoneshwa Live!!
![]()
Upo karne mbili za fikra nyuma! Hivi unajua ni mamilioni mangapi ya wazungu mate yanawatoka kwa Congo DRC! You are very naiive!Raisi anajivunia nini kutoka kwa mtu huyu....mwenye mikono ya chuma ya kung'ang'ania madaraka hata kwa kupoteza uhai wa wananchi wake....!!??
Au tuamini ule msemo kuwa ndege wafananao daima huruka pamoja.....!!!!
Muhimu sana! Pengine moja katika mazungumzo ni kurejesha wafanya biashara wa drc watumie bandari yetu baada ya kuikacha.Hapa nashuhudia television ya Taifa ikionesha mapokezi ya Rais kabila moja kwa moja, je kuna umuhimu gani wa kodi za Watanzania kutumika kuonesha hayo mapokezi moja kwa moja huku Bunge live likishindwa kuoneshwa Live!!
![]()
Isingeonesha ungesema pia!Hapa nashuhudia television ya Taifa ikionesha mapokezi ya Rais kabila moja kwa moja, je kuna umuhimu gani wa kodi za Watanzania kutumika kuonesha hayo mapokezi moja kwa moja huku Bunge live likishindwa kuoneshwa Live!!
![]()
Nakushangaa wewe unayeshangaa.Nashangaa wanaoshabikia ujio wa Rais Kabila........
Atakuwa Tanzania kwa siku tatu na TRIP YA KWANZA NI BANDARINI KESHO.Huyu huenda kesho atakuwa bandarini maana na yeye huitumia.. Ngoja tuone mikakati gani itakayowekwa.
Kiitifaki, rais anapokea rais tu, kwa kumbukumbu zangu mpaka sasa ni Kagame na Kabila ndo wamekuja kwa official trip na sio kwa ajili ya mikutano.Wageni wa wanaongea english wanapokea na Makamu au PM, wageni wanaojua kiswahili anaenda mwenyewe mkuu uwanja wa ndege!!!
Yah kasogeza[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Kabila,nimesikia kasogeza mbele uchaguzi mpaka 1918?..kweli?
Mbona Mbowe amebadilisha na husemi kituKufanya nini? Kabila anataka kubadilisha katiba atawale milele! Hafai kumtembelea Rais wetu atamwambukiza visivyofaa!
Mkuu ndege mbovu mim cjawauzia, wamenunua canada teh
1918......[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Kabila,nimesikia kasogeza mbele uchaguzi mpaka 1918?..kweli?