Upo sahihiIpo Upanga kama sijakosea karibu na Regency Hospital
Hesabu inakupiga chenga mkuuAnaanza la kwanza akiwa na miaka 7, lakini anamaliza la kwanza akiwa na miaka 8
At ceteris peribus...others remain constant umenikumbusha hili neno nilikuwa nalipenda balaa
Hivi magaidi ndo wanaanza kujifunzia shabaha kwenye vifua vya wadogozao?Kwa hiyo mkuu unataka kusema huenda mtoto alishaanza kupata mafunzo ya kigaidi? Lazima tuanze kuunga dotz
ale mvua tu huwezi weka moto hovyohovyo tu kama wallet mpaka watoto wanaifikia.Maisha ya dogo ndio yashaingia kwenye kiza...baba mtu naye anaweza kula mvua
Tatizo wengi wanaanza kutoa hukumu alafu hukumu iliyotolewa ndo inatengenezewa story.Ila bado yawezekana huyu mtoto amejifyatulia mwenyewe kwenye harakati za kuchezea akijua ni toy
Yawezekana pia huyo mtoto alikuwa anamnyang'anya dogo kwenye hizo harakati ikamfyatukia
Yawezekana mambo mengi sana
Yawezekena pia huyu dogo kitendo cha kumchukua na kumpeleka kwao kilitokana na uoga na kusema ni shot ya umeme yawezekana ni uoga au pia inawezekana na yeye hakuwa anajua kilichotokea
Labda alikuwa chumbani kwake akasikia mlio/kishindo akawaza ni shot ya umeme, pengine alimuacha dogo akiangalia Tv sebuleni ivyo ni raisi kuhusi ni shot dogo labda kagusa gusa nyaya.
Kusema huyu mtoto kampiga mwenzie risasi ni jambo la ajabu ikiwa hakuna aliyeshuhudia tukio. Ingetosha kusema mtoto afa kwa risasi Dar. Kisha iwekwe iyo stori sasa.
Mambo ni mengi pengine dogo alikuwa hata hajui kama baba yake ana mkwaju/bastola.
Kwani zilipita dakika ngapi tangu mlipuko hadi dogo kuletwa na aliyemleta alikuwa kwenye hali gani na je bastola imekutwa wapi na tukio lilitokea eneo gani hapo nyumbani?
Kama bastola imekutwa ndani inaweza ikawa sababu ya dogo kutokufanya ilo tukio maana angeenda kuificha hiyo bastola si kashasema ni shot ya umeme, kwanini ushahidi ubaki wazi wazi?.
Anyway tuishie hapa kwanza.
Sawa mzunguMiaka 17 -18 ni umri wa A level
Tatizo wengi wanaanza kutoa hukumu alafu hukumu iliyotolewa ndo inatengenezewa story.
lakini shahidi ambaye ni ndugu wa marehemu anasema kijana alikuja kambeba marehemu na kasema alipigwa na shoti ni jukumu la mtuhumiwa kusema mahakamani nani n muhusikaMtu mkubwa ndo kafanya dogo atakuwa kabebeshwa zigo tu.
Uzembe una gharama sawa na ujingaMotive ya mauaji ni nini? Wivu wa kimapenzi au wamedhulumiana kibiashara? Nop, haingii akilini sababu muhanga ni mtoto wa miaka 10!
1. Inawezekana ilikuwa accidental discharge...walikuwa wanacheza, kumbe baba aliiacha moja kwenye chamber.
2. Inawezekana muhanga alikuwa anaichezea, akajiipiga mwenyewe (kwa bahatimbaya), na ili dogo ku cover story, ilibidi aseme shoti ya umeme.
3. Pamoja na yote hayo, funzo kwa wazazi wanaomiliki silaha za moto wanapaswa kukumbuka sheria namba moja ya umiliki wa silaha kuwa 'konkodiko mlango wa chuma, ukiufungua hauna huruma'.
Poleni wahanga (pande zote mbili za familia).
Wanataka wachezeshe ukubwa wa kesiMiaka 17 yuko kidato cha tatu mbona amechelewa kuanza shule
Hii nahisi ni zaidi ya nyuzi 180. Tufanye 360 kabisa, tumalizane na kale ka mduara ndgKuna mambo yanatokea na kubadili maisha ya mtu kwa nyuzi 180.
Pole sana kwa familia ya mfiwa.
Sisi ilikuwa unasalimia kama ni mtu mpya,unatambulishwa kisha unandoka eneo hilo,kisha wakikuhitaji unaitwa.Kumbuka watoto wa siku hizi haswa mboga saba hawana adabu 70% yao
Yani kwetu ukisha fikisha miaka 12 chumba cha Mama na Baba kilikuwa kituo kidogo cha polisi!
Yani kama wame lala na kuna kitu unataka unatakiwa ugonge mlango mara moja tu! Ole wako ugonge mara 2 Na huna jambo la maana utajuta!
Yaani Mungu awa laza mahala pema peponi wazazi wangu mafunzo waliyo nipa sijawahi kupata tatizo lolote na na mtu maishani kwangu!
Siku hizi una fika kwa mtu unakaribishwa ndani Toto kubwa kabisa limekaa kwenye kochi limeweka miguu juu lina cheza game adi liambiwe litoke 🤔
Sisi enzi hizo mgeni kaja nyumbani tuna msalimia kwa dabu utulivu una kuwa 100%