lugha kama hz ndio zinachochea uhasama, watu wakiamua kufanya kweli mnaililia serikal na jesh lenu
Hata hali ikiwa swari hatutaki kiona mashehe wakishika Biblia kwenye mihadhara yao na kuistafsiri wanavyotaka wao. Kila mtu ahubiri cha dini yake.
Serikali inafanya makosa makubwa kuacha hii Redio WAPO ndio chanzo ni kashfa na matusi makubwa kwa viongozi wa kiislam.
... .....amua kufanya kweli,.... shwaiinilugha kama hz ndio zinachochea uhasama, watu wakiamua kufanya kweli mnaililia serikal na jesh lenu
Tv/radio imaan ndio virus wakuu.
Unafikiri sisi hatuwezi kuleta noma?.... Mna lipi ambalo mmetuzidi? Zaidi ya hekima sisi tuna hekima na busara zaidi so hatuwezi kugombana na mataahira buta yakiendelea kutukalia kichwani tutayanyoosha kweli kweli
Dini yao ndiyo inawataka washike Biblia Takatifu. Wasipofanya hivyo, watakula wapi!!
ATN TV NA RADIO WAPO ni janga la kitaifa.
Serikali inafanya makosa makubwa kuacha hii Redio WAPO ndio chanzo ni kashfa na matusi makubwa kwa viongozi wa kiislam.
redio iman.
kuna kigazeti al nuur na kisiwa nafkiri chief editor wake ni shetani na msaidizi ni pepo mchafu.
Nikweli kabisa Radio inayochochea uchomaji wa Nyumba za Ibada ni ya Mashetani tena watangazaji wake wanavaa matineti pedo na wana Ndevu za kutosha huwa wanapenda gahawa na Kashata pia Kuhudhuria Hitma ili wale pilauRedio ya mashetani mkuu hiyo.