Dar: Mabasi ya Mikoani na nje ya Nchi, yaanza kutumia Kituo kipya cha Mbezi Luis

Niko hapa Mbezi Mwisho hatua chache kabisa karibu na stand mpya ya Mbezi baadhi ya. Mabasi yaliyotoka mkoani yameshaanza kuingia kituo kikuu cha mabasi Mbezi.

View attachment 1634423View attachment 1634423
Picha nyingine nalea View attachment 1634424View attachment 1634425View attachment 1634433View attachment 1634442View attachment 1634444View attachment 1634444
Mambo ya kimagufuligufuli, sijui haraka ya nini kuhamia kwenye facility ambayo haijakamilika...desperation katika kila jambo, hovyo
 
[to QUOTE="Bushmamy, post: 37400584, member: 563908"]
Kweli Kabisa, laiti angejua Mwenyewe angejionea aibu
[/QUOTE]
 
Ukweli HAKUNA KITU HAPO, hawa viongozi wetu kila mtu ana hofu, sasa kilichofanyika mpaka kukimbiza watu asubuhi yote pasi taarifa ni nini, wananchi wanajua ni 31.11.2020 ndiyo mabasi yangeanzia hapo.

Otherwise kuna kitu cha ajabu kimefanyika kwenye hiyo stendi, angalia hizi picha na hicho kitu kilicholetwa pale juu 😭😭.

1941769_IMG_20181215_152101.jpg

hqdefault.jpg
 
Niko hapa Mbezi Mwisho hatua chache kabisa karibu na stand mpya ya Mbezi baadhi ya. Mabasi yaliyotoka mkoani yameshaanza kuingia kituo kikuu cha mabasi Mbezi.

=====

Kituo kipya Cha Mabasi yaendayo mikoani na nje ya nchi Cha Mbezi Luis kimeanza rasmi majaribio leo ambapo Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge amesema kwa Sasa kituo hicho kinaweza kuanza kutumika Kutokana na miundombinu muhimu ya kituo kuwa Katika Hali mzuri.

Akizungumza wakati wa zoezi la majaribio lililowahusisha Askari wa usalama barabarani na Wadau wa vyombo vya usafiri, RC Kunenge ameshuhudia Mabasi yakiingia na kutoka pasipo usumbufu wowote.

Aidha RC Kunenge amesema kwa Sasa kinachoendelea ni matengenezo madogomadogo ya umaliziaji wa jengo na miundombinu mingine ambapo Hadi Sasa Ujenzi umefikia zaidi ya 90%.

Pamoja na hayo RC Kunenge amesema Ujenzi wa barabara ya kuingia kituoni hapo nao unaendelea vizuri chini ya Wakala wa TANROAD ambapo amewahimiza kuongeza kasi ili wakamilishe mradi mapema.

Hata hivyo RC Kunenge ameongeza kuwa wamejipanga vizuri kuhakikisha maagizo ya Rais Dkt. John Magufuli ya kutaka Ujenzi ukamilike mwishoni mwa mwezi huu yanatimia.
View attachment 1634424View attachment 1634425View attachment 1634433View attachment 1634442View attachment 1634444View attachment 1634930View attachment 1634931View attachment 1634932View attachment 1634933View attachment 1634934View attachment 1634935View attachment 1634936View attachment 1634937View attachment 1634938View attachment 1634939View attachment 1634940

Kuna mambo mawili naona kama hayakaa sawa
  1. Drainage kwa maji ya mvua haijatazamwa maana maji yametuama hayaelekei kunakotakiwa
  2. Nilitegemea mabasi yaegeshwe kuelekeza uso sehemu iliyoezekwa ili wasafiri warahisishiwe kuingia kwenye bus iwapo kuna mvua hayo mapaa yawakinge
 
Ukweli HAKUNA KITU HAPO, hawa viongozi wetu kila mtu ana hofu, sasa kilichofanyika mpaka kukimbiza watu asubuhi yote pasi taarifa ni nini, wananchi wanajua ni 31.11.2020 ndiyo mabasi yangeanzia hapo.

Otherwise kuna kitu cha ajabu kimefanyika kwenye hiyo stendi, angalia hizi picha na hicho kitu kilicholetwa pale juu 😭😭.

View attachment 1635019

View attachment 1635020
Ila hii stendi ni fire 🙉🙉
 
Wana haraka ya nini, mbona barabara za kuingia na kutoka hazijakamilika, hilo vumbi sasa halafu ndio unalipia duka sh laki 6 kwa mwezi
 
Hayo mabasi yanapita barabara gani kuingia hicho kituo? Jana usiku nimepita hapo Mbezi terminal lkn barabara ya kuingia kituoni bado inajengwa.

Vv
 
Back
Top Bottom