Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Status
Not open for further replies.
Sogea mitaa ya posta mpya jenga la Exim Bank halafu ongea hayo maneno uone utakavyogombaniwa kama mpira wa kona, wewe endelea kubweka tu nyuma ya Laptop.

Mkuu Ritz haya maandamano Chadema wameshinikiza nini?
 
Last edited by a moderator:
Mimi huwa namshangaa sana Ritz! Hata kama ni muislamu wa siasa kali uislamu wetu hauna chuki na upande wa pili namna hiyo! Kwanza muislamu yoyote uislamu wake hauwezi kukamilika kama hakiri kutambua uwepo wa ukristo kama jinsi ukristo unavyotambua uwepo wa uislamu! Uelewa mdogo ndio unamfanya Ritz anakuwa mbumbumbu wa mambo ya dini kiasi hiki!

Hapa leo anawatetea ccm na kusahau kuwa ccm ndio waliichafua cuf kuwa ni chama cha udini n
a kigaidi, baadae haohao wakasema chadema ni chama cha wakristo lakini wao hawasemi kuwa ni chama cha dini gani! Sasa ukija hapa ukimuona jinsi ritz anavyotoa povu la udini unajua kabisa aidha uelewa wake ni mdogo au yuko hapa kwa kazi maalum ya kipato kutoka Lumumba.

Mimi ni muislamu lakini napingana sana na misimamo ya Ritz! Alisha diriki kuniambia Mohamedi na chadema wapi na wapi?! Huu ni upovu iliopiitiliza na tangu siku ile niliamua kumsamehe bure na kumkabidhi Mungu maana nimeona ni mtu ambae ana uabisha hata uislamu wenyewe.



Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums.

Hongera mwana chadema, ila ujue kuwa Hawatakuwa radhi nawewe hata pale utakapofuata mila zao.
 
jamani wana CDM tutake hii advantage.......hima tulianzisheni
mimi nimeamua kujiunga nao ilinijifunze kuandamana mkitaka tujiunge tukitoka hapa tukaweke kambi mnazi mmoja mpaka JK atoke magogoni wakuu.
 
Mpaka muda huu Saa 10:21 Waislamu bado wako Wizara ya Mambo ya ndani, Barabara zimefungwa, Baadhi ya Shughuli za Muhimu za Kiuchumi zimesimama, Baadhi ya Maofisi yamefungwa.

Hivi ni Serikali au CCM inashindwa kuwaondoa au kuongea nao Waislamu waliondamana na shughuli za Uchumi na Kazi kurejea katika hali ya Kawaida maeneo ya Posta?

Naohofia Vurugu na Mali za watu zisije kuharibiwa tu.
 
It's very unfortunate that asilimia kubwa wanaokashifu maandamano haya tena kwa lugha za kejeli ni wale wale wanaofahamika kwamba ni wafuasi wa CHADEMA!! Hapa ndipo watu kama akina Mkandara wanapopata taabu kwani pamoja na Uislamu wao bado ni wapenzi wakubwa wa CHADEMA!!

Hivi sasa akiingia, atalazimika kujibishana na wale wale ambao wana itikadi moja katika kuiondoa CCM madarakani! Kama kweli CHADEMA wana lengo la kweli la kutafuta haki basi nilitarajia wawaunge mkono watu mbalimbali na makundi yao ikiwa kuna wanachokipigania! Na kama si lazima kuwaunga mkono, basi busara ingekushauri kukaa kimya kuliko kuwadhihaki kwa maneno ya kejeli! Hali kama hii ndiyo inayowafanya baadhi ya Waislamu waamini kwamba CHADEMA ni kwa ajili ya watu fulani tu......inakuwa ngumu kuyapinga madai kama hayo hasa ukizingatia maoni ya Pro-CHADEMA.

Mie nilikimbilia eneo la tukio muda mrefu tu uliopita; pale hamna cha CHADEMA wala CCM na bango mojawapo linasomeka "POLISI ACHENI DHULUMA, SENSA IMEFELI MAUAJI YA NINI?" Sasa mnataka kusema watu kama hao hawana madai ama hojaya msingi?! BInafsi, nimehesabiwa sensa na sikuona sababu ya kususia zoezi hilo. Hata hivyo, siwezi kuwa mkosefu wa busara ikiwa nitadhihaki wale waliogomea na kuwaita wajinga kwani nafahamu, kila mtu ana jambo lenye maslahi kwake. Lenye maslahi kwako si lazima liwe na maslahi kwa mwingine.

Ukifahamu hivyo, basi utagundua ni ujuha kumdhihaki mwingine kwa kumtaka aamini kama unavyoamini wewe! Anyway, kama unataka aamini kama unavyoamini wewe; ya nini basi kumtaka afanye hivyo huku ukimkejeli?!
 
Sasa hapa ndipo napoishangaa hii intelijinsia ya polisi.Polisi hawakujua kuwa kuna maandamano yamepangwa?

Ingekuwa ni chadema intelinjsia ya polisi ungeisikia.

Ovyo kabisa.

This is double standard.
 
Nchimbi atajibu nini akiulizwa kuhusu haya maandamano. Hivi anaweza kusema waislam wanahatarisha amani ya nchi?
Mungu ni mkubwa. Watu wafungua tawi wakalipuliwa na mabomu eti hawatii amri halali za serikali. Siku tano baada ya kifo wanaandamana wengine na wanavunja amri hiyohiyo halali ya serikali lakini hatuoni hata pikipiki moja ya jeshi la polisi.
Tusiposikia CCM na serikali yake wakitoa tamko kali dhidi ya haya maandamano , basi, propaganda zote kuhusu CDM kuwa chama cha vurugu tunazizika rasmi.
Mungu ni mkubwa na bado atatuonyesha mengi.
 
Hii swala nimemshangaa sana aliyeanzisha. Suala la udhu halikuzingatiwa. Mazingira yalikuwa hayaruhusu kabisa. Anyway, wataalam wa dini wanafahamu zaidi!

Rejao, ardhi yote ni Twahara/safi labda kuwe na mikojo/kinyesi kibichi. Na pia kama maji hamna unaweza kutayamamu/kupangusa chini then mkononi na usoni. Kisha unaweza kuswali hamna kikwazo, kama ni Muislamu soma Mlango wa Udhu utaona yote. Pamoja Mkuu
 
Wakati najiunga Jf miaka ya nyuma kabla sijala BAN ya life nilikuwa na mawazo kama yako,nilikuwa mfuasi mzuri sana wa CDM nilitumia muda mwingi sana kuwabadili ndugu na marafiki kuniamini juu ya cdm kama sio chama cha udini na ukanda,lakini kadri nilivyokaa hapa jukwaani nikaona kiasi gani wafuasi,wapambe,na hata viongozi wa cdm kwa kauli zao juu ya imani yangu sio nzuri,nikagundua kabisa hiki ni chama cha aina gani na kinataka nini,nikajitoa kabisa kushabikia hiki chama na nikaanza kuwahamasisha rafiki zangu na jamaa zangu wajiandikishe JF kwa wingi ili wagundue nini kipo ndani ya chadema ukweli nimeshaunganisha member wengi sana hapa JF,na nitaendelea kuwahamasisha wajiunge jf ili wajionee ukweli wa udini wa cdm na chuki ya cdm juu ya jamii ya kiislam,JF imeipa umaarufu CDM na JF hii ndio itaimaliza CDM,tutakutaka 2015 mungu akipenda ndio tutajua kati yao na sisi nani wengi?

Na ukaamini kila anayeuponda uislam ni CDM tena nyuma ya keyboard tukiwa tunajuana kwa ID tu! Labda ungefikiri upya........Hya hiyo 2015 upande upi unaousema utakuwamo, maana nina hakika hata huo una watu wendawazimu wanaokashifu dini, kufuja rasilimali, kuna wezi, wenye maneno ya hovyo n.k.

BTW Inawezekana hujui pia strategy za siasa za ushindani...............Nakueleza hivyo kwa sababu mimi si shabiki wa chama chochote wala member lakini najua nachokisema
 
Wanaandamana katika mambo yenye kipaumbele kidogo na kuacha yenye kipaumbele kikubwa.

Wangeandamana kudai kuongezwa majengo ya Chuo Kikuu cha Waislamu [cha] Morogoro hawa jamaa wangekuwa mbali sana kielimu. tangu Mkapa alipowapa majengo hayo ya serikali miaka 10 iliyopita hawajaongeza darasa hata moja.

Una ushahidi wa hili la kutoongezwa majengo?
 
Polisi wamekuwa wapole balaaaaaaaaaaaaa nani anatakakuwa muhanga wa what said Tume au kamati. No bomu,No flying object
 
Namuona mtu wa shoka Ponda ndio anayeongoza umati mkubwa wa maandamano.
kwani INTELINJESIA YA MWEMA haikufanya kazi au ni kwa CDM tu?? hapo ndo huwa sipendi ubongo wngu kusumbuliwa na upuuzi.maana hayo yanafanyika mbele ya ofisi. je hakujulishwa mapema ili ayazuie au anaogopa???
 
Mimi huwa namshangaa sana Ritz! Hata kama ni muislamu wa siasa kali uislamu wetu hauna chuki na upande wa pili namna hiyo! Kwanza muislamu yoyote uislamu wake hauwezi kukamilika kama hakiri kutambua uwepo wa ukristo kama jinsi ukristo unavyotambua uwepo wa uislamu! Uelewa mdogo ndio unamfanya Ritz anakuwa mbumbumbu wa mambo ya dini kiasi hiki!

Hapa leo anawatetea ccm na kusahau kuwa ccm ndio waliichafua cuf kuwa ni chama cha udini n
a kigaidi, baadae haohao wakasema chadema ni chama cha wakristo lakini wao hawasemi kuwa ni chama cha dini gani! Sasa ukija hapa ukimuona jinsi ritz anavyotoa povu la udini unajua kabisa aidha uelewa wake ni mdogo au yuko hapa kwa kazi maalum ya kipato kutoka Lumumba.

Mimi ni muislamu lakini napingana sana na misimamo ya Ritz! Alisha diriki kuniambia Mohamedi na chadema wapi na wapi?! Huu ni upovu iliopiitiliza na tangu siku ile niliamua kumsamehe bure na kumkabidhi Mungu maana nimeona ni mtu ambae ana uabisha hata uislamu wenyewe.



Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums.

Tupambane kwenye siasa kwenye dini wewe mtupu kabisa, mie na wewe sijui nani ambaye anauabisha Uislama...ngoja nikunukuu maneno yako..."Muislam yeyote Uislam wake hauwezi kukamilika kama hakiri kutambua uwepo wa Ukiristo" haya ni maneno ya mohamed Mtoi, sijui kayapata wapi.

Nakala kwa zomba, njiwa, Ngogoseki, Mkandara, Mwali, NasDaz, Tume ya Katiba, Rejao, mnyanyaswaji, Ngongoseke, na Waislam wote JF.
 
Last edited by a moderator:
Wakati najiunga Jf miaka ya nyuma kabla sijala BAN ya life nilikuwa na mawazo kama yako,nilikuwa mfuasi mzuri sana wa CDM nilitumia muda mwingi sana kuwabadili ndugu na marafiki kuniamini juu ya cdm kama sio chama cha udini na ukanda,lakini kadri nilivyokaa hapa jukwaani nikaona kiasi gani wafuasi,wapambe,na hata viongozi wa cdm kwa kauli zao juu ya imani yangu sio nzuri,nikagundua kabisa hiki ni chama cha aina gani na kinataka nini,nikajitoa kabisa kushabikia hiki chama na nikaanza kuwahamasisha rafiki zangu na jamaa zangu wajiandikishe JF kwa wingi ili wagundue nini kipo ndani ya chadema ukweli nimeshaunganisha member wengi sana hapa JF,na nitaendelea kuwahamasisha wajiunge jf ili wajionee ukweli wa udini wa cdm na chuki ya cdm juu ya jamii ya kiislam,JF imeipa umaarufu CDM na JF hii ndio itaimaliza CDM,tutakutaka 2015 mungu akipenda ndio tutajua kati yao na sisi nani wengi?

Wewe hacha upoyoyo wako, kama kuna baadhi ya watu/wanachadema wanaupinga uislamu humu JF ndio unatoa conclusion kwamba chadema ndio kinapinga uislamu? it does make sense? elimu yako imekaaje wewe?
Mimi ni mwanachadema na ni mkristo ila sipingi uislamu na nilikua nataka kipengele cha dini kiusishwe ktk dodoso za sensa, unaniweka ktk kundi lipi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom