huo ni wivu wa maendeleo inamaana yeye akianzisha hiyo kampuni tayari mnamuhusiha na kigogo . hivi unafikiria hapa tanzania hakuna watu ambao wanashindwa kufanya hivyo tatizo la watanzania mna wivu ndio maana hatuendelelui
unaweza kujaribu kufanya kazi lakini kama mazingira ya biashara yamekaa kama TZ inakuwa vigumu kutoka mkuu. Labda uwe tayari 'kuvipa mgongo' Vitabu Vitakatifu ambapo ni vigumu. Sio vizuri kila mtu akistaafu sehemu taratibu za kwenda kisutu zinaandaliwa, hivyo sivyo! Akili ya binadamu ukiipa mazingira mazuri ina uwezo wa kufanya mambo makubwa na ndio maana wenye pesa (kutegemea alivyozipata) anachagua nchi au mahali pa kuwekeza. Usipende nchi iwe kivutio cha wauza madawa na wakwepa kodimzee wangu biashara ina asili yake,siyo kila mtu anaweza kuwa businessman,ile ni talent,career,skill,sio pesa mzee wangu
unajua mdau wewe acha kujadili ya watu jadili yakwako kwamba utatoka vipi kimaisha
wakati ww unaandika haya hakuna mtu anaye kulipa wakati wenzako wanaingiza taratibu
ww unabaki kupiga domo.
pole weeeeeeeeeee
ila wanatoa kazi ya ukonda kama unataka kwa ww unaweza ukapata
badala ya kupiga domo kwenye mtandao ukampige kule kwenye magari maana kule utalipwa
watanzania tumekuwa watu wa hivi na 'mikwala' mingi, nakumbuka tulikuwa watu wa kwanza kuleta basi lenye choo (Scandinavia) kwenye ukanda huu lakini ukiuliza wenyewe hawataki hata kukumbushwa!
Akina Akamba/Dar Exp walikuwepo by then na (hapo kwenye red) bado wapo na ratiba zao zilezile.
Hii biashara ya kuingiza mabasi 50 (hata 100) ni pesa ambazo zinatoka kwenye source zisizoeleweka na si ajabu 'money laundering' iko kwenye mchakato hapo. Ngoja tusubiri; tutajua na tutaona ukweli wao!(
Kuna watu wana pesa mpaka wanaumwa what is 50 buses na ukifuatilia sana utakuta mtu ana mkopo bank wao kila anyeinuka basi kuna mkono wa kigogo shenzi taiphuo ni wivu wa maendeleo inamaana yeye akianzisha hiyo kampuni tayari mnamuhusiha na kigogo . hivi unafikiria hapa tanzania hakuna watu ambao wanashindwa kufanya hivyo tatizo la watanzania mna wivu ndio maana hatuendelelui
Kuna watu wana pesa mpaka wanaumwa what is 50 buses na ukifuatilia sana utakuta mtu ana mkopo bank wao kila anyeinuka basi kuna mkono wa kigogo shenzi taip
Uvivu wa fikra,uswahili na upumbavu ndyo umewajaa nyote mlocomment negatively..against Dar LuxBus.. tatizo hampendi kuwa Creatives, actives and honest...hii ni principle fupi tu kuyakuta mafanikio hayo anoyahusisha na Mkuu wa Kaya.. Opportunities sasa zipo tena nyingi tu lkn ninyi mkitumia muda wenu kupiga domo humu mtabaki hvyo hvyo mwisho njaa itakufanya muolewe..tena waoaji wa style za D. Comeroun.. huyu mwenye Dar Lux ni bwana mdogo sana tena huenda hata unamzidi kiumri but dogo yupo smart on thinking kfupi ni mpiganaji na halali..tena sidhani kama ashawah kutana uso kwa uso na huyo mkuu wa kaya na mwnaye kama mnavyodai.. Wasiwasi mwingne ni elimu zenu maana mnaonekana hata hamjui nn mnacokiongelea hata mkatoka nje ya mada husika...huenda pia mkawa ni wapambe wa baadhi ya wadau kwe sekta hii ambao si wabunif wanategemea thirt part consultancy kuendesha biznes zao na badala yake wanatumia mbina za fitna kuua biznes za wengne.. mimi naamini kwa kichwa cha huyu dogo,subirini muone mapinduzi kwenye hii sekta, labda wamwue maana wivu nao ukizidi tabu! Ana basi 1 tu maandalizi yake yanaashiria kujipanga na katizama mbele...kidogo kidogo ataongeza mabasi kwani mbuyu pia ilianza kuota kama mchicha..