A story that never told...!Niliwahi kufanya interview na mmiliki wa hizi chuma. Full confidence. Nn kimetokea? Uchawi? Alilewa sifa? Customer care? Nchi nyingine hawa wafanyabiashara husaidiwa maana hutengeneza ajira Ila hapa, mpaka utoke damu masikion ndo TRA wakuachie
View attachment 2860514
Pesa ya basi katika laki kula elfu tano tu....nyingine tia bank...au uvunguni🙂Biashara za mabasi faida utaanza kuiona kwa wastani wa muda miaka kuanzia miwili.
Kuna biashara ambazo zitakusaidia tu kutengeneza flow nzuri ya pesa , kuweka pesa kwenye mzunguko na kutengeneza discipline nzuri ya pesa lakini si biashara zitakazo kutoa au kukupa utajiri maradufu.
Naweza sema ni kama ile unaona kuliko kukaa na milioni 300 bank, kwa nini usiiweke kwenye mzunguko izae taratibu kuliko kukaa na pesa mwisho utaiharibu kwa matumizi ya ajabu au kutumia hovyo ikaisha.
Ni kama utumie milioni 50 kujenga nyumba utakayoipangisha kwa mwaka upate mil 4, itachukua miaka 12 kuanza kupata faida, lakini ni biashara ambayo unaweza kusomesha watoto wako hadi chuo kikuu wakitegemea kodi ya nyumba, lakini hio mil 50 ungekaa nayo ndani, isingetoboa mwaka.
Biashara ya mabasi ni nzuri kama huna pesa za tia maji tia maji, inapaswa uwe na mfuko wa kueleweka, mapato unaweka bank unakuja kuchungulia account baada hata ya mwaka au zaidi.
Si kila biashara ni kwa ajili ya faida kubwa. Ni baadhi, na unapoanzisha business unakuwa na malengo.
Hatuwezi sema amefilisika, ni maamuzi tu.
Bus za kisasa,anaenda na mda ikiondoka kama imekodiwa na sio daladala,gari nyingi ikizingua dk sifuri nyingi ishakuja ingine kuwafaulisha,uzoefu wa biashara na sio umeuza madini huyo mbio mbio unamwaga mabus.
DRR (di warawara) unalijua mkuu?Machungwa gani umeshaanza unazi sio?
Boss mtoto super Amran wamekuja wameshindana naye wamemwacha
Ally's the pride of Lake zone
Kweli Kama Abood yupo ccm kimkakati ili Ku-stabilize biashara Zane the same MO alivyokuwa Ccm na wengineoBiashara ya mabus sio biashara ya mwekezaji mzuri.
Ni biashara ya kuuzia sura kwa wapenda sifa.wapiga wa kodi zetu na watoa makafara kwao rahisi kupata damu.Au wakurupukaji baada ya kupiga madini au site.
Anaeiba Kodi zetu haoni uchungu kununua mabus au kuendesha bus Kwa Hela ya ofisi.
Ni kama zilivyo daladala nyingi ni za watumishi thus wakistaafu nazo zinapaki.
Hii ni biashara kichaa ya wabongo kuigana
Yupo Master LuxNiliwahi kufanya interview na mmiliki wa hizi chuma. Full confidence. Nn kimetokea? Uchawi? Alilewa sifa? Customer care? Nchi nyingine hawa wafanyabiashara husaidiwa maana hutengeneza ajira Ila hapa, mpaka utoke damu masikion ndo TRA wakuachie
View attachment 2860514
Ndo ya kupiga madini haya umepiga jiwe bilioni kadhaa bank statement ukienda kwa mchina na scania wanakupa business plan ya mabus ya kwenye makaratasi ukiingia field hali ni tofautiJamaa alikuwa na convoy sio poa yenye Higer, Yutong, Zhongtong na Scania Polo na ofisi za kisasa
Wachina na Scania walimblacklist, changamoto ilikuwa marejesho
Ukiscroll up message #2 imefafanua vizuri sana
Daah.... Shabiby kidume sana. Tangu nazaliwa yupo tu.Nimesema kwenye uzi mwingine, I'll c&p here:
Biashara ya mabasi ni biashara pasua kichwa kuliko zote.
Scandinavia iliyofanya Mapinduzi kwenye hii sekta ilikufa kifo Cha mende.
Hood imekufa.
Sumry chali.
Sauli yupo hoi siku zake zinahesabika, Achimwene got him in the headlock.
Dar express, Dar Lux, Rungwe waliokuwa powerhouse kwenye hii sekta wote wapo hoi. Etc etc
Turnover kwenye hii sekta ni kubwa mno. Kila miaka miwili wanakuja wengine na kupotea kama upepo household names.
Utasema usimamizi na sababu zote ila sio rahisi kusema hao wote hawajui wanachokifanya. Fanya hii biashara kama unataka kufukia pesa zako.
Utaachaje Sasa ili kulinda biashara zako.Kweli Kama Abood yupo ccm kimkakati ili Ku-stabilize biashara Zane the same MO alivyokuwa Ccm na wengineo
Lakini zuberi na najim wamedumu sana nao kitamboDaah.... Shabiby kidume sana. Tangu nazaliwa yupo tu.
Naona Zuberi na Najmunisa nao washakufa.
SCANIA kizazi jeuri.Ww ni team katarama sio?
Naipata ile Higer 754 DRR lilikuwa la masaaDRR (di warawara) unalijua mkuu?
Umesahau kutaja rangi ya Ngozi ya wamiliki wa basi tajwa. Na wote wapo mjengoni wakiteta na wafanya maamuzi katika Chama. Unategemea nn?Abood na Shabiby ndio wakongwe pekee waliobaki, zaidi ya miaka 25 kwenye game. Na wanazidi kushusha vyuma vipya. Wakongwe wengine wote walishatupa vitaulo
Tuone tu wakurugenzi wakishusha vyuma kutoka China ila mambo kwa ground sio poaNdo ya kupiga madini haya umepiga jiwe bilioni kadhaa bank statement ukienda kwa mchina na scania wanakupa business plan ya mabus ya kwenye makaratasi ukiingia field hali ni tofauti
Hana mpinzani Moro wa kumtoa hayupo,ana Dua la wazee wa kiluguru.Waendelee kujifunza kwake maana sio vibaya kujifunza Kwa MTU mwenye uzoefu. Ila Mimi naona Abood yupo Update Kama usemavyo anajua wateja wake wanahitaji nini hana ajali za hovyo n.k