Denis denny
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 5,780
- 7,835
Pole yahe,naimani atapona
Pole yake
Pole yake
Inatisha !Mwanahabari, Mwandishi na Mwenyekiti wa Bodi ya Gazeti la Raia Mwema Jenerali Ulimwengu amepata ajali asubuhi mapema leo. Yupo hospitali Muhimbili kitengo cha mifupa Moi kwa matibabu.
Tutaendelea kuwaletea taarifa.
Mwanahabari HuruView attachment 388029
View attachment 388027
Jamani tuwe macho na ajali hizi katika awamu hii! Nina wasiwasi na kama ni ajali tu kama tunavyojua huyu baba anajulikana kimisimamo katika kutetea demokrasia!
kwa jinsi tunavyoenda siwezi kushangaa ikiwa set up! Pitia the East African kujua mismamo wake dhidi ya serikali hii dhalimu!Kesi ilishahukumiwa ya hiyo ajali kujua kagongwa au yeye ndie kasababisha hiyo ajali?
Hiyo gari ilikuwa inatembea mwendo gani?Mwanahabari, Mwandishi na Mwenyekiti wa Bodi ya Gazeti la Raia Mwema Jenerali Ulimwengu amepata ajali asubuhi mapema leo. Yupo hospitali Muhimbili kitengo cha mifupa Moi kwa matibabu.
Tutaendelea kuwaletea taarifa.
Mwanahabari HuruView attachment 388029
View attachment 388027