Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,293
Ufafanuz mkuu hicho ni nini? Uelewa tunatofautiana, ila taarifa ni mhimLooks like we have reached the end. Only escalation, scaling-up and intensification remains to be done.
Mwanahabari, Mwandishi na Mwenyekiti wa Bodi ya Gazeti la Raia Mwema Jenerali Ulimwengu amepata ajali asubuhi mapema leo. Yupo hospitali Muhimbili kitengo cha mifupa Moi kwa matibabu.
Tutaendelea kuwaletea taarifa.
Mwanahabari HuruView attachment 388029
View attachment 388027
Hahahaaaaa!! Daaah!moi ya wapi kenya
Hata mimi nimejiuliza swali kama hilo...kama yeye ndiye aliyekuwa dereva, basi MUNGU amtie nguvu.hii ni ajali au shambulizi? mbona gari imepigwa upande wa dereva?